Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Bila shaka!.. Lakini ingependeza sana kama na wengine humu wangepata uzoefu wa Tunduma.
Ni biashara gani uanze nayo?... Hiyo ni ngumu kukushauri, inategemea wewe unatamani kufanya biashara ya aina gani. Anza kwanza kutafuta chumba cha bei rahisi tu, viko vingi sana. Ukiishapata chumba na pesa ya kianzio ipo anza kutoa huduma kwa kubadilisha pesa au vuka mpaka ukajumue vipodozi Nakonde uje uuze kwenye mabasi. Wakati huo yasome mazingira kwa haraka sana, ndani ya mwezi utakuwa umeona njia ya kutokea.
Shukrani mkuu