Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

Mbona husemi kuhusu mpemba ..

Groceries - za kuuza vinywaji Tungi

Kama zote mpemba ..

Ngono zembe ..

Hiv .. NK

Ngastuka a machaliii kundesaaa..

Kuchapiana nje njeee
 
bila kusahau ujambazi wa silaha tdm
Kawaida Sana .. Ila hawakushoot .. wanachukua kibunda wanapita hivi.

Dili za watu fumbia macho Kama hujaona .. huchukui round..


Unaenda deals Fake .. Unae mchongo .. mchongo .. mchongo .. ingia soma ramani ... Ingia mchezoni ..

People's are after money .. money ..money money ...


Ngastukaaa a machaliii kundesaaaa
 
Zile deal za Black market upande wapili nyuma ya frame za Viatu ule upande unazalisha sana Madoni Kila mwezi kwenye deal za:-
Vipodozi.
Vitenge.
Mafuta ya Kula.
Sukari.
Sigara .
Mbegu za Mahindi / Zamsed.
Mafazeti used kutoka Zimbabwe, South Africa.
USD ;- zinatoka Congo na unazipata upande wapili, Pombe za Viroba, na Pombe za vichupa vidogo wanauza Bei ya Tshs 1000/= na Viroba vinaanzia 250-500 maeneo ya Black na Iboya.
Kuna matajiri wanspiga Hela kwenye Biashara ya kubadilisha Fedha, yeye ana Supply fedha Kwa Vijana jioni anarudishiwa na Faida , Hao wanaitwa wenye Visima , mtu ana Supply hata billioni Moja Kwa Vijana wake 30 wanaokwenda kutafuta Dolla Hadi Congo.
Kuna Wababe kwenye Biashara ya Mafuta ya Petroleum kupeleka upande wa Zambia Kuna Yule Msomali wa Petroafrica mwenye upara aliwakamata sana wa Zambia.
Kuna Yule Tajiri wa Valentine Bar ya Pale Boarder na Valentine night club Jamaa anajimbiza sana kaanzia kwenye Bar Hadi kushika soko la Viatu Hadi Kumiliki Kusoma pale Kisimani.
Yupo Dubai Tyre Jamaa anakimbiza sana kwenye biashara ya Tyre Sasa amehamia kwenye Mafuta Bei zake za Tyre ni kama Dar es salaam. Yupo yule Manyanya ameshika biashara za maduka balaa pale Boarder piya yeye ndie amehamia kwenye vituo vya Mafuta, Wapo Hawa Jamaa wa Olympic petroleum anauza Mafuta Kwa wholesale Kwa Bei ya Depot'.
Mjii wa Tunduma una Bank zaidi ya Sita, Petrol Station zaidi ya Hamsini, lodge na Bar zimetapaka Kila baada ya nyumba mbili or tatu,
Biashara ipo vizuri Sana hapo
 
Zile deal za Black market upande wapili nyuma ya frame za Viatu ule upande unazalisha sana Madoni Kila mwezi kwenye deal za:-
Vipodozi.
Vitenge.
Mafuta ya Kula.
Sukari.
Sigara .
Mbegu za Mahindi / Zamsed.
Mafazeti used kutoka Zimbabwe, South Africa.
USD ;- zinatoka Congo na unazipata upande wapili, Pombe za Viroba, na Pombe za vichupa vidogo wanauza Bei ya Tshs 1000/= na Viroba vinaanzia 250-500 maeneo ya Black na Iboya.
Kuna matajiri wanspiga Hela kwenye Biashara ya kubadilisha Fedha, yeye ana Supply fedha Kwa Vijana jioni anarudishiwa na Faida , Hao wanaitwa wenye Visima , mtu ana Supply hata billioni Moja Kwa Vijana wake 30 wanaokwenda kutafuta Dolla Hadi Congo.
Kuna Wababe kwenye Biashara ya Mafuta ya Petroleum kupeleka upande wa Zambia Kuna Yule Msomali wa Petroafrica mwenye upara aliwakamata sana wa Zambia.
Kuna Yule Tajiri wa Valentine Bar ya Pale Boarder na Valentine night club Jamaa anajimbiza sana kaanzia kwenye Bar Hadi kushika soko la Viatu Hadi Kumiliki Kusoma pale Kisimani.
Yupo Dubai Tyre Jamaa anakimbiza sana kwenye biashara ya Tyre Sasa amehamia kwenye Mafuta Bei zake za Tyre ni kama Dar es salaam. Yupo yule Manyanya ameshika biashara za maduka balaa pale Boarder piya yeye ndie amehamia kwenye vituo vya Mafuta, Wapo Hawa Jamaa wa Olympic petroleum anauza Mafuta Kwa wholesale Kwa Bei ya Depot'.
Mjii wa Tunduma una Bank zaidi ya Sita, Petrol Station zaidi ya Hamsini, lodge na Bar zimetapaka Kila baada ya nyumba mbili or tatu,
Uwashauri wajenge viwanda maana Hivyo vitu bado miji mingi inavyo saiz matajiri wakongwe walisha hama kwenye hizo mambo wanawekeza kwenye maviwanda ili iwe rahisi hata ku control kampun zao na kingine kariakoo itabaki kuwa kariakoo uliza wafanyabiashara wangapi hapo tunduma wamehamia kariakoo na kwanini hawakubaki kuendelea kuwekeza tunduma na wengine wameenda miji mingine
 
Na miji sazi huduma za kijamii zinatawanywa kwa lengo la mji utawanyike Sasa angalia tunduma huduma zote muhimu wamepeleka mpemba je Kuna future ya mji hapo Yan vwawa itakuja iwape mfano wa mji unavo takiwa kuwa miji mingi saiz huduma zimetawqnywa ndo maana miji inasambaa hawalundikan sehemu moja
 
1694162379515.jpg
 
Maeneo mazuri na bei nzuri kupata chumba ni maeneo yapi kwa hapo Tunduma ?
Maeneo tulivu ni Kuanzia Majengo mapya nyuma ya Gapco petrol station nenda ma huo upande Hadi mwisho wa Mji kuelekea Sumbawanga Road, piya Nyerere secondary , Msongwa, njia panda Msongwa Hilo eneo ndio Kali Kwa Tunduma. Piya jaribu Dampo pale jirani Kwa Furaha, Momba garage, Kwa mchaga wa Viatu, Kwa Mzee Joseph Baba mkwee wa Manyanya like eneo limetulia . Piya mtaa wa Manyanya nyuma ya kabisa la Roma hapo kwenye Rasta barabarani
 
...Mama samia... Hivi huwa unajisikiaje mama yetu raia wa nji yako wanavokujadili kwa mazuri na mabaaaya unayowatendea...
 
Mkuu kama wewe ni mtu wa Mpira , jichanganye pale Kisimani wanapobadili, Fedha , Kuna kijiwe kipo pembeni ya duka la simu maarufu kama lauphone , Anza kijichanganya pale Kwa Story za Mpira , acha habari za Siasa , yupo Mnyakyusa Moja mfupi kwenye kile kijiwe ni mbishi sana, Ila Kuna watu poa sana pale , wapo Jamaa wawili ukifika Waulizie Mr Solo mshabiki sana Arsenal, na Mr Parti Mshabiki wa Man United, ukifika jitambilishe Kwa hao Jamaa wawili watakupa muongozo ni watu wazuri sana kwa Tunduma, Hao watakusadia,, Ila Kuna jamaa wengine pale Mnyamwanga Wwa Arsenal, Rashidi wa Man U, mgogo, Na Jamaa Moja kibongecwa Chelsea. Ila hakikisha unamuona Solo mwambie ni nomelekezwa na mtu wa Mpira
We jamaa unatisha. Kuna uzi wangu mwingine umeelezea Karatu kiundani. Mimi na wewe inaonekana tumepita maeneo mengi ya hii nchi.
 
We jamaa unatisha. Kuna uzi wangu mwingine umeelezea Karatu kiundani. Mimi na wewe inaonekana tumepita maeneo mengi ya hii nchi.
Popote ninapokwenda huwa napenda kijichanganya sana, siwe mtu wa ofisini huwa na cheza na Fursa sana mfano karatu ni Mji ambao Hadi Leo ukinipa mchongo wa kurudi sifikirie mara mbili , Karatu ni sehemu pekee utakuta Dola za kimarekani zinatumika kununua vitu. Ukifika sehemu na kupata bahati ya kuishi hapo lazima ujuwe fursa na maeneo yake
 
Popote ninapokwenda huwa napenda kijichanganya sana, siwe mtu wa ofisini huwa na cheza na Fursa sana mfano karatu ni Mji ambao Hadi Leo ukinipa mchongo wa kurudi sifikirie mara mbili , Karatu ni sehemu pekee utakuta Dola za kimarekani zinatumika kununua vitu. Ukifika sehemu na kupata bahati ya kuishi hapo lazima ujuwe fursa na maeneo yake
Karatu kuna kina dada wana noti ndefu sana wakiongozwa na yule mwenye Sparrow Lounge.
 
Back
Top Bottom