Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

Kwa biashara ya vipodozi inatakiwa mtaji kuanzia shi ngapi?
Kumbuka kwanza hiyo biashara sio Halali, utakuwa unafanya Kwa magendo mtaji unaweza kutaifishwa na wewe kufungua. Ukijua Hilo ndio uanze kujuwa mtaji unaohitajika sio tu wa kununulia mzigo wa vipodozi , Weka na budget ya kulindis huo mzigo ukiwa barabarani in case ukishikwa utoe Hela faster uachiwe
 
Huu sio Mji wa kuishi Bali kufanya biashara na kuondoka.

Kamji la hovyo sana angalia kalivyo Pauka hapa 👇

View: https://youtube.com/watch?v=1bV5XC-yOH4&si=oCy7v6UjOmb3qtwM
 
Poa mkuu , utatupa mrejesho
 
Mkuu AGROPRODUCT hongera kwako! Unaijua vizuri Tunduma, "boda la wajanja". Na husiti kusambaza upendo kwa wana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…