Wa Tukuyu Busokelo bossMnyakyusa wa Mwakaleli huyo, jamaa Ndio Mwenyekiti wa Chadema Tunduma halafu anakubalika hatari.
Njia pekee ya CCM kushinda Tunduma ni kukamata wagombea wa Chadema kuwaweka ndani hadi zoezi la kurejesha fomu liishe halafu wapite bila kupingwa.
Kinyume na hapo ni ndoto ya mchana.
Mpumbavu mwingine huyu hapa!!!Kwani hao raia Ni idara ya uhamiiaji? Wanamjua raia na asiye raia? Matatizo Mengine ya kujitakia wawache uhamiiaji wafanye kazi zao
ShukraniWa Tukuyu Busokelo boss
Mjinga mwingine huyu hapa; wape wamesema kama hauna kitambulisho wa Taifa wewe siyo raia?anagombea udiwani anakosa kitambulisho cha uraia?
Boniface Mwakabanje huyu hapa.
Kama mama ako alivo lishwa dira na kofia za ccmUongozi JF ni waombe jukwa la siasa ikifika ijumaa saa6 usiku lifungeni mpaka jumatatu watu wakishakunywa supu kuondoa hangover. Michango kwenye hii thread mingi ni ya kilevi kilevi. Watu wameshalewa.
Hao wananchi wanaondamana kwenda kituo cha polisi wawe wa mfano kwa wengine maana Lissu keshawalisha ujinga.
Wewe ni Great thinker kweli??Mjinga mwingine huyu hapa; wape wamesema kama hauna kitambulisho wa Taifa wewe siyo raia?
Dk sheni mwaka 2010 aligaiwa urais wa Zanzibar na ilikua hatakitambulisho cha kupiga kura hanaanagombea udiwani anakosa kitambulisho cha uraia?
OCD wa mbeya aliyemkamata Sugu huku leo akilinda umati wa Tulia Akson hana tofauti na huyo OCD wa Tunduma ambaye kaanza kuwabambikia kesi wapinzani mapema wote wataorozeshwa kwenye list kupelekwa mahakama ya uhalifu The Hague mara baada ya uchaguzi.Safi sana Tunduma!!! Tena chukueni ushahidi wote. Akifa mtu au kujeruhiwa mtu tu tunatuma Amsterdam. Mwaka huu lazima wanyoke
Polisi sio kazi yao kutambua raia. Hiyo ni kazi ya uhamiaji.Hata kama siyo raia wa TZ?
Dr shein mwenyewe siyo Raia kwao ni comoro kama ilivyokuwa kwa ukoo wa mzee mwinyi wote Asili yao ni comoroDk sheni mwaka 2010 aligaiwa urais wa Zanzibar na ilikua hatakitambulisho cha kupiga kura hana
Tunduma naiaminia, wale sina wasiwasi naoWanatakiwa kupigwa kiberiti ili wajue nchi hii si Mali ya ccm
Alikuwa hana kitambulisho cha uraia?anagombea udiwani anakosa kitambulisho cha uraia?
Huwa hapakaliki nakumbuka 2012 Tulibiwa Tulale saa sabaTunduma hua sio pa kufanyia majaribio ya kisiasa kabisa.,kitanuka.