gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,407
- 3,855
Sasa ndio tunapata picha kamiliHaya mambo ya hijabu yamekuja miaka ya karibuni baada ya kuibuka Islamic fanatism. Mimi nilisoma sekondari ya kiislamu hapa dar, mabinti hawakuwa wakivaa mavazi ya kidini enzi hizo kama ilivyo leo
Ila nyie jamaa either washamba na watupu kichwani ama mnapotosha makusudi, Tunisia haijaban Hijab Bali imeban Niqab vitu viwili tofauti. Kilichokuwa banned ni kujifunika ukabaki macho tu, wanafunzi Bado wanajifunika vichwa. Na si mnasema Waisilamu/waarabu watupu ila mkileta mada zenu za bias mnawasifia sio?Tunisia ni nchi iliyoendelea zaidi Afrika in terms of economic competivenes, na kama hilo halitoshi Tunisia ni majority waislamu hivyo unaweza hata kuuita an islamic republic kama uwingi wa waislamu ni kigezo but there is a catch, Tunisia hairuhusu wanawake kuvaa hijab shuleni, ofisini au sehemu yoyote ile inayoheshimika, swali ni kwamba kwa nini?
Binafsi naamimi kuna uhusiano mkubwa kati ya falsafa ya dini na maendeleo jamii husika, mfano kwa nini zanzibar haijaendelea kama mauritius kwa mfano?
Watoto wakiwa darasani zanzibar wamevaa hijab
View attachment 2867594
Usafiri mwendokasi mjini Tunis
View attachment 2867600
Niliwaambia waisihalamu wa tz hijabu mashuleni ni kosa na upumbavu mkubwa sana kwa taifa letu aliye leta wazo la hijabu kwenye mashule alistaili kunyongwa kwa sababu mambo kama hayo yana zalisha taifa lenye ushabiki kidini na kuligawa taifaTunisia ni nchi iliyoendelea zaidi Afrika in terms of economic competivenes, na kama hilo halitoshi Tunisia ni majority waislamu hivyo unaweza hata kuuita an islamic republic kama uwingi wa waislamu ni kigezo but there is a catch, Tunisia hairuhusu wanawake kuvaa hijab shuleni, ofisini au sehemu yoyote ile inayoheshimika, swali ni kwamba kwa nini?
Binafsi naamimi kuna uhusiano mkubwa kati ya falsafa ya dini na maendeleo jamii husika, mfano kwa nini zanzibar haijaendelea kama mauritius kwa mfano?
Watoto wakiwa darasani zanzibar wamevaa hijab
View attachment 2867594
Usafiri mwendokasi mjini Tunis
View attachment 2867600
Wakati sisi tunasoma mambo ya hijabu ayakuwepo ila mabinti walikuwa siyo malaya kama hawa wa sasa licha ya kuvaa hijabu ....tatizo watu wanapenda sana uarabu... dini ni tabia za nyoyoni na siyo mavazi ...TATIZO WA AFRIKA NI MASHABIKI WA DINIKwahiyo hijab inamfanya binti asisikie au inauzuia ubongo?
Kuoa wa wanne ni ujinga,? Mimi sio mwislamu ila hoja ya kuoa wake zaidi ya mmoja ni utamaduni mzuri,ni utamaduni wa mwafrika,mke mmoja ni utamaduni wa mzunguTena huko hkn ujinga wa kuoa wake wanne. Hkn
Ndoa Ni ya watu wawili tu
Ndugu yangu mkristo anaishi ZenjiHuu mlinganisho ni wa kijinga na kipumbavu
Hii inaonyesha jinsi gani ulivyo imbecilic humanoid
Zanzibar hawalazimishi watoto wa kiislamu kuvaa hijab, na hakuna sheria inayowataka kufanya hivyo mashuleni.
Wewe ni mpumbavu mmoja unataka kuchochea mjadala kidini.
wap kaitaja Tanzania ? Je Hijab ndo italeta mgogoro wa kidini , je Tz hijab ni lzm kwa wanafunz au maofisin ? hv waislam nan kawaloga ? kichwan huwa mpo watupu kbsSi nenda kawaulize? wewe na wajinga wenzako hamfurahi mpaka muone Tanzania imetumbwikia kwenye migogoro ya kidini!
hii ilishawakuta RwandaBinafsi naona aliyeruhusu hijab Tanzania hakuwa na mapenzi mema ya taifa hili. Hili ni bomu litauwa taifa siku za usoni. Hijab inaonesha wazi taifa lilivyogawanyika kidini. Katika mstakabali wa taifa Faida ya hijab ni ndogo kuliko hasara.
Naombea aje kiongozi jasiri apige marufuku hijab na kutumia majina ya kidini tutumie majina ya asili Kwa mfano Fyandomo Mwakalasya
Zanzibar ni lzm acha ubish wa kijingaHuu mlinganisho ni wa kijinga na kipumbavu
Hii inaonyesha jinsi gani ulivyo imbecilic humanoid
Zanzibar hawalazimishi watoto wa kiislamu kuvaa hijab, na hakuna sheria inayowataka kufanya hivyo mashuleni.
Wewe ni mpumbavu mmoja unataka kuchochea mjadala kidini.
wakijaga bara na wakafikia kwa wakristu huwa hawazivai muda mwingine , hijab inaficha uchaf wa kichwan muda mwingineHuu mlinganisho ni wa kijinga na kipumbavu
Hii inaonyesha jinsi gani ulivyo imbecilic humanoid
Zanzibar hawalazimishi watoto wa kiislamu kuvaa hijab, na hakuna sheria inayowataka kufanya hivyo mashuleni.
Wewe ni mpumbavu mmoja unataka kuchochea mjadala kidini.
hakuna anaeruhusu vimini , sio makanisani wala mtaani , ila hijab inaleta utofauti ktk jamii , km una akili ndogo hutoelewa mpk bomu likilipuka ndo utakuja kuelewa , pia hiz nguo zenu waislam zinatunza uchaf sana , nliwai pita na demu mmoja wa kiislam nlikuta nywele chafu sana yaan zinanuka mpk radha ya show ilikata nlipiga kimoja nkamdanganya nmeitwa job nkampa mpunga wa kumpunguza mawazo kila mtu akapita njia yakeChuki! chuki! chuki!
Kwanini usitamani sikumoja aje kiongozi Apige marufuku UVAAJI WA VIMINI!? Na Kwa wanafunzi Apige marufuku wavulana kuvaa vipensi Shuleni!? Na wanafunzi Wasichana wasio na hijabu watimuliwe!!
Ili kuwe na huo uwiano unaoutaka!?
Ila vazi la hijabu #LINAWAKASIRISHA Mpaka mishipa inawavimba....
𝙠𝙪𝙛𝙚𝙣𝙞 𝙣𝙖 𝙘𝙝𝙪𝙠𝙞 𝙯𝙚𝙣𝙪.
Yale mawigi plus nyie hamchambi chanzo cha UTI sugu husemi ...Kanisani mtu anaingia na viatu vina mavi ya kuku ,mtu anakojoa haoshi mtupu mpaka chupi zina ramani kuwa makini.hakuna anaeruhusu vimini , sio makanisani wala mtaani , ila hijab inaleta utofauti ktk jamii , km una akili ndogo hutoelewa mpk bomu likilipuka ndo utakuja kuelewa , pia hiz nguo zenu waislam zinatunza uchaf sana , nliwai pita na demu mmoja wa kiislam nlikuta nywele chafu sana yaan zinanuka mpk radha ya show ilikata nlipiga kimoja nkamdanganya nmeitwa job nkampa mpunga wa kumpunguza mawazo kila mtu akapita njia yake
Ndio inazuiaKwahiyo hijab inamfanya binti asisikie au inauzuia ubongo?
Kuna jambo haliko sawaSi nenda kawaulize? wewe na wajinga wenzako hamfurahi mpaka muone Tanzania imetumbwikia kwenye migogoro ya kidini!
Kwa iyo hata jina langu la 2pak niachane nalo[emoji848]Binafsi naona aliyeruhusu hijab Tanzania hakuwa na mapenzi mema ya taifa hili. Hili ni bomu litauwa taifa siku za usoni. Hijab inaonesha wazi taifa lilivyogawanyika kidini. Katika mstakabali wa taifa Faida ya hijab ni ndogo kuliko hasara.
Naombea aje kiongozi jasiri apige marufuku hijab na kutumia majina ya kidini tutumie majina ya asili Kwa mfano Fyandomo Mwakalasya
Hii ni jiografia ya kidato cha ngapi?Tunisia ni wajanja maana wanapakana na ufaransa