Hayo ni yale unayoyajua kua anayafanya na anapata hayo unayosema anamiliki.Huoni labda kuna mengine huyajui na yanafanywa naye,ilimradi apate sifa kua ana mafanikio?Anamiliki ghorofa
Ana Kazi katika media, ubalozi katika makampuni na pote wanamgombania kwa dau kubwa
Kubwa zaidi huwa anapewa hadi promotions za issues za kiserikali
Hiyo ndio reward ya kuwa kama mwijaku. Ndio standard ya kuwa influencer mwenye mafanikio Tanzania.. Ndio future ya hii generation. Pole mkuu
Nimekuelewa sana.
Ukipitia comment utaona hali halisi ilivyo kwa sasa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Endelea kumsaidia
anamaisha mazuri kuliko wewe, mwijaku usimwone anafanya ujingwa , huo ujinga kalipwa hela nzuri tuHuyu jamaa naona uchawa ndio kageuza ajira yake Rasmi.
Inasikitisha namna mtu anavyojidhalilisha kusifia binadamu wengine.
Naamini hata Mungu mwenyewe hapendi.
Napenda kumshauri huyu ndugu atafute shughuli nyingine au anaweza fungua kampuni ya PR awe msemaji wa celebrities na watu wataohitaji huduma kama zake, badala ya kujidhalilisha namna hii.
Yaani hii clip anayosifia bango la harusi ya mobeto limenisikitisha mno, na kunifanya niombee wanangu wasije kuwa machawa. Inasikitisha mno.
Badilika ndugu mwijaku bado una muda wa kufanya hivyo.
View attachment 3236829
Hizi ni tabia za watu wa pwani, ndiyo huwa ''wanafanya kazi'' kwa kutumia mdomo. Ndiyo maana maeneo hayo hayana maendeleo. Hata Tanzania sasa hivi uongozi umejikita kwenye huu utamaduni wa ''kutenda'' kwa kutumia midomo. Bila shaka hii haiwezi kuwa ndiyo future ya Tanzania sembuse generation. Ni mapitio ya muda tu kwani huwezi kudanganya watu wote kwa muda wote. Nchi haiwezi kuendeshwa kwa maneno na ukweli utadhihirika baada ya muda.Anamiliki ghorofa
Ana Kazi katika media, ubalozi katika makampuni na pote wanamgombania kwa dau kubwa
Kubwa zaidi huwa anapewa hadi promotions za issues za kiserikali
Hiyo ndio reward ya kuwa kama mwijaku. Ndio standard ya kuwa influencer mwenye mafanikio Tanzania.. Ndio future ya hii generation. Pole mkuu
Kweli vyote anavyo ila pata picha vijana wote au kijana wako anakuwa na mtizamo wa uchawa kama Mwijaku.Anamiliki ghorofa
Ana Kazi katika media, ubalozi katika makampuni na pote wanamgombania kwa dau kubwa
Kubwa zaidi huwa anapewa hadi promotions za issues za kiserikali
Hiyo ndio reward ya kuwa kama mwijaku. Ndio standard ya kuwa influencer mwenye mafanikio Tanzania.. Ndio future ya hii generation. Pole mkuu
Kizazi cha ovyoAnamiliki ghorofa
Ana Kazi katika media, ubalozi katika makampuni na pote wanamgombania kwa dau kubwa
Kubwa zaidi huwa anapewa hadi promotions za issues za kiserikali
Hiyo ndio reward ya kuwa kama mwijaku. Ndio standard ya kuwa influencer mwenye mafanikio Tanzania.. Ndio future ya hii generation. Pole mkuu
Sikutegemea kuwa utamjibu kwa alichokiongea.Kwa maana hyo mkuu ww unaweza kufanya kitu chochote kwasababu ya pesa si ndio hata kama ni cha udhalilishaji.
Huyu jamaa naona uchawa ndio kageuza ajira yake Rasmi.
Inasikitisha namna mtu anavyojidhalilisha kusifia binadamu wengine.
Naamini hata Mungu mwenyewe hapendi.
Napenda kumshauri huyu ndugu atafute shughuli nyingine au anaweza fungua kampuni ya PR awe msemaji wa celebrities na watu wataohitaji huduma kama zake, badala ya kujidhalilisha namna hii.
Yaani hii clip anayosifia bango la harusi ya mobeto limenisikitisha mno, na kunifanya niombee wanangu wasije kuwa machawa. Inasikitisha mno.
Badilika ndugu mwijaku bado una muda wa kufanya hivyo.
View attachment 3236829
WAtoto wengi watakuwa kama yeye tena zaidi yake. Maana kwa sasa elimu na weledi tumeitupa uchawa ndiyo unalipa. Watu wasiokuwa na elimu wanapewa kipaumbele watu kama Steve Nyerere wanaweza kuonana na namba moja wakati waziri wake anahangaika.Huyu jamaa naona uchawa ndio kageuza ajira yake Rasmi.
Inasikitisha namna mtu anavyojidhalilisha kusifia binadamu wengine.
Naamini hata Mungu mwenyewe hapendi.
Napenda kumshauri huyu ndugu atafute shughuli nyingine au anaweza fungua kampuni ya PR awe msemaji wa celebrities na watu wataohitaji huduma kama zake, badala ya kujidhalilisha namna hii.
Yaani hii clip anayosifia bango la harusi ya mobeto limenisikitisha mno, na kunifanya niombee wanangu wasije kuwa machawa. Inasikitisha mno.
Badilika ndugu mwijaku bado una muda wa kufanya hivyo.
View attachment 3236829
Kuna watu wazima humu ambao nao tayari akili zao zimeshaharibika.Kweli vyote anavyo ila pata picha vijana wote au kijana wako anakuwa na mtizamo wa uchawa kama Mwijaku.
Kuna jamii nyingine zimekuwa na maendeleo sababu ya watu walio bora ,sababu marole model walio wazunguka wanafanya vitu vya maana kwa kutumia akili na talent zao na si kujipendekeza mf China. Sometimes China unaweza ukaona wanakosea ila kwa kufilter content za Tiktok na kuondoa vitu vya kipuuzi na kuviacha vya maana,ila ukitizama impact ya social networks ktk kujenga kizazi kilicho bora na chenye mitizamo chanya kwa maendeleo ya jamii China wapo sawa.
Machawa siku hizi wapo mpaka sehemu za kazi,wanawadidimiza wengine kisa yy ni chawa wa boss.Mfano kama huyo Mwijaku kwa tabia yake Kisha chafua Image ya Tanasha akatishia kumpeleka kwa Pilato akaomba Msamaha, juzi kachafua Image ya KP kampeleka mahakamani wameombana msamaha yameisha, hivi huoni huyu jamaa ni mtu wa hovyo,pamoja na hivyo anavyo vimiliki maana yupo tayari kuwaharibia wengine ili yeye atrend.
Siyo watakuwa...washakuwaWAtoto wengi watakuwa kama yeye tena zaidi yake. Maana kwa sasa elimu na weledi tumeitupa uchawa ndiyo unalipa. Watu wasiokuwa na elimu wanapewa kipaumbele watu kama Steve Nyerere wanaweza kuonana na namba moja wakati waziri wake anahangaika.
Sasa vijana wachague nini? Kuwa wasomi na wenye weledi bila pesa au kuwa machawa pro max wapate pesa? Jibu baki nalo wewe mwenyewe.
Jifananishe wewe mwenyewe Kwanza na Mwijaku kwenye mafanikio.
Laiti angefanya Mzungu mngesifu