Tuongee Kifamilia leo, kama unataka kuoa au kuolewa na mna imani za dini tofauti jitafakari upya

Tuongee Kifamilia leo, kama unataka kuoa au kuolewa na mna imani za dini tofauti jitafakari upya

Majina inabidi wapewe yale neutral

Adam /Nuhu/Musa

Sophia/Rehema/Zawadi
Upo sahihi, first born ana jina la kibantu, huyu ni mvulana mkubwa Sasa ana haki ya kupiga kura, wa Pili ana jina neutral linatumiwa na dini zote za Abraham.

Wewe una akili sana, nitaangalia post zako kwa makini ili kupata muhafaka wa hii kadhaa.
 
Hili suala mbona lipo wazi always Baba ndio kichwa cha family na mwamuzi wa kila jambo.
Hivyo endapo yeye ndie anaetoa kodi ya meza, anatoa ada za watoto au kifupi all basic needs anazifanya baba.

Basi baba ndie mwamuzi wa kupanga watoto wawe dini ipi...
 
Hii ni serious case namuomba Mungu anipe muongozo jinsi ya kulimaliza hili, wahusika wananiheshimu sana ndio maana wanaamini nitatoa suluhu.

Kwa busara zangu nimewasikiliza nimeomba wanipe muda nitawaita, Sasa hapa naomba mtu ambaye hana experience Niko chini ya miguu yake asichangie abaki kuwa msomaji wa comments, you never know kupitia thread hii tukipata conclusion halisi inakwenda kuponya ndoa nyingi.

Nina ndugu zangu kadhaa wa damu kabisa wako kwenye hizi ndoa za imani tofauti, kwahiyo sipendi mtu yeyote kuleta kashfa ya imani au dini ya mtu mwingine.
 
Nitaandika kwa kifupi tu, kuna case nimeshindwa kuipa suluhu nimeitwa kuleta amani kwenye nyumba ya hao wana ndoa.

Wewe ni mwanamke muislamu olewa na mwislamu mwenzako, na kama wewe mwanaume ni Mkristo owa Mkristo mwenzako.

Issue ni ngumu, Mkristo kaka mwanamke muislamu kipindi mahaba ndindindi, Sasa ndoa imejibu Watoto Wawili, mwanamke wote anadai ni Watoto wake na wote wanapenda madrasa za kiislamu.

Sasa sitaki mada hii iwe ni mihadhara au jukwaa la kukashifu dini nyingine, nimeweka hii mada ili kuitwa ushauri wa bure.

Ikiwa mwanamke na mwanaume mmekubaliana kuweka dini zenu pembeni na mfunge ndoa bomani basi jitahidini na swala Watoto mkubaliane wakizaliwa wafuate imani gani au mgawane vipi urithi wa imani kwa Watoto na kwa hali ya Sasa muandikishiane kisheria ili lisilete tabu baadaye.

Nawapenda sana Mama zangu na Dada zangu lakini ukweli uko wazi wao ndio tatizo, wanaume huwa hawana ligi za kijinga.

Nimewashauri acheni Watoto wakiwa adult wachaguwe imani wanayotaka ila mke wa ndoa anasema Watoto ni wake, ila kimoja kipengele cha school fees mke ndio anatambuwa kama Watoto wana baba.

Nimehairisha hii case namuomba Mungu anipe busara sijui muhafaka utapatikana vipi? Inasikitisha sana Watoto wadogo kuwaharibu kisaikolojia kurithi dini za wakoloni.

Kwakweli mnaotegemea kuowa au kuolewa na watu wa dini tofauti msilipuuze hili muandikishiane kwa Wakili kama mlivyofunga mkataba wa ndoa serikalini.

Wacha nipate kwanza lager zinipe hekima kulimaliza.
Hii kesi simple tu, kwani watoto ni wa baba? Au mama? Huyo anayetambulika kuwa ndie mwenye watoto ndo wafate dini yake.
 
Katika dini mwanamke hufuata upande wa mwanaume akikaidi ni uzembe wa mwanaume husika,
Hujavaa muhusika, mfano hai kwangu mwenyewe WiFi yako aliwahi kutafuta shule ya mmoja ya Watoto wetu, ada ndefu sana na hakunishirikisha, lakini akawa na busara akanieleza wazi ada ya shule niliyotaka Mimi nilipe kule amount hiyo hiyo yeye ataongezea 2 M kwa kila mwaka.
 
Hujavaa muhusika, mfano hai kwangu mwenyewe WiFi yako aliwahi kutafuta shule ya mmoja ya Watoto wetu, ada ndefu sana na hakunishirikisha, lakini akawa na busara akanieleza wazi ada ya shule niliyotaka Mimi nilipe kule amount hiyo hiyo yeye ataongezea 2 M kwa kila mwaka.
Yani ktk dini hainaga kujadili me ni kichwa, mfano wako uko tofauti na mada
 
Hii kesi simple tu,kwani watoto ni wa baba ? au mama?,huyo anayetambulika kuwa ndie mwenye watoto ndo wafate dini yake.
Mkuu issue ni nzito kuliko unavyoichukulia wewe.

Ngoja niwe wazi ili unielewe kuna vitu sitaki kuviandika humu ili mada isije kugeuka kuwa ya kashfa za kidini.

Ila kwa ukweli wa nafsi yangu kama mwanaume ni Mkristo kuwa makini sana kuowa bomani mwanamke mwislamu ambaye kwao kuna dini dini sana.

Waislamu wao wao hawatambui ndoa kati ya Mwanamke wa kiislamu na mwanaume asiye mwislamu, kwahiyo Watoto wanatambuwa ni wa mama bila kujali mmefunga ndoa bomani.

Sasa ndugu zangu waislamu wasikatae kula nyama ya nguruwe Halafu mchuzi wanakunywa, kama uislamu inatambuwa mtoto ni wa mama basi baba asiulizwe lolote kuhusu matunzo na ada za mtoto, wao wawe ni sex partners tu kwenye hiyo ndoa yao ya bomani.
 
Upo sahihi, first born ana jina la kibantu, huyu ni mvulana mkubwa Sasa ana haki ya kupiga kura, wa Pili ana jina neutral linatumiwa na dini zote za Abraham.

Wewe una akili sana, nitaangalia post zako kwa makini ili kupata muhafaka wa hii kadhaa.
Hakuna akili, wala hayupo sahihi, mambo ya imani hayana neutral, kwamba nusu muislam na nusu mkristo, hilo halipo, wakifa watazikwaje? Dini ya baba tu, finish.
 
Kesi nyepesi sana mtoto anaitwa jina la baba au mama

Kama jina la ukoo wa baab ndio anatumia hao watoto basi ni dhahiri hao ni watesu sio wa mtume
Watoto wote Wawili wanatumia ubini wa baba yao na Kabila ni baba yao.

Wanawake naomba mjifunze kitu hapa, otherwise wale wahuni wa Kataa ndoa watazidi kupata ushindi mkubwa.
 
Mkuu issue ni nzito kuliko unavyoichukulia wewe.

Ngoja niwe wazi ili unielewe kuna vitu sitaki kuviandika humu ili mada isije kugeuka kuwa ya kashfa za kidini.

Ila kwa ukweli wa nafsi yangu kama mwanaume ni Mkristo kuwa makini sana kuowa bomani mwanamke mwislamu ambaye kwao kuna dini dini sana.

Waislamu wao wao hawatambui ndoa kati ya Mwanamke wa kiislamu na mwanaume asiye mwislamu, kwahiyo Watoto wanatambuwa ni wa mama bila kujali mmefunga ndoa bomani.

Sasa ndugu zangu waislamu wasikatae kula nyama ya nguruwe Halafu mchuzi wanakunywa, kama uislamu inatambuwa mtoto ni wa mama basi baba asiulizwe lolote kuhusu matunzo na ada za mtoto, wao wawe ni sex partners tu kwenye hiyo ndoa yao ya bomani.
Pole sana mkuu, kwa kuumiza kichwa, kuna mzee mmoja alikuwa na watoto wa kike wengi na waliolewa, mmoja aliolewa na waarabu waislam, yule mzee ni wakristo pure, sasa siku mtoto wake aliyeolewa na waarabu akija kumsalimia huku amevaa majuba, yule mzee alikuwa haongei kitu ila tu anatokwa na machozi, hasemi chochote, mpaka yule mtoto wake anapoondoka, sitasahau nikikumbuka najiskia vibaya sana..
 
Wakati mwengine ushamba wa wanawake au kuwa mtu asiyewaza mbali,hili jambo ni hatari sana inatakiwa mtu akitaka kuanzisha familia ajue anachokifanya wengi huwa hawazingatii hilo.
Sio hivyo, kwa jamii zetu za ki tz ni ngumu kukwepa kwa jinsi tulivyojichanganya, mapenzi ni upofu, hayaoni kesho...
 
Back
Top Bottom