Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Watoto wakifuata dini yangu hata huyo mwanaume sitamuheshimuIwe una hoja nzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wakifuata dini yangu hata huyo mwanaume sitamuheshimuIwe una hoja nzuri.
Mwisho wa siku mtoto amechagua kuwa Atheist halafu ana jina la Adam, hapo sijui inakuwajeMajina inabidi wapewe yale neutral
Adam /Nuhu/Musa
Sophia/Rehema/Zawadi
Kamuulize mwanamke na hawa watoto ni kabila gani? Akikujibu kamuulize mwanamke hawa watoto ni kabila gani? Na kwa nini? Akikujibu maliza kesi.Nitaandika kwa kifupi tu, kuna case nimeshindwa kuipa suluhu nimeitwa kuleta amani kwenye nyumba ya hao wana ndoa.
Wewe ni mwanamke muislamu olewa na mwislamu mwenzako, na kama wewe mwanaume ni Mkristo owa Mkristo mwenzako.
Issue ni ngumu, Mkristo kaka mwanamke muislamu kipindi mahaba ndindindi, Sasa ndoa imejibu Watoto Wawili, mwanamke wote anadai ni Watoto wake na wote wanapenda madrasa za kiislamu.
Sasa sitaki mada hii iwe ni mihadhara au jukwaa la kukashifu dini nyingine, nimeweka hii mada ili kuitwa ushauri wa bure.
Ikiwa mwanamke na mwanaume mmekubaliana kuweka dini zenu pembeni na mfunge ndoa bomani basi jitahidini na swala Watoto mkubaliane wakizaliwa wafuate imani gani au mgawane vipi urithi wa imani kwa Watoto na kwa hali ya Sasa muandikishiane kisheria ili lisilete tabu baadaye.
Nawapenda sana Mama zangu na Dada zangu lakini ukweli uko wazi wao ndio tatizo, wanaume huwa hawana ligi za kijinga.
Nimewashauri acheni Watoto wakiwa adult wachaguwe imani wanayotaka ila mke wa ndoa anasema Watoto ni wake, ila kimoja kipengele cha school fees mke ndio anatambuwa kama Watoto wana baba.
Nimehairisha hii case namuomba Mungu anipe busara sijui muhafaka utapatikana vipi? Inasikitisha sana Watoto wadogo kuwaharibu kisaikolojia kurithi dini za wakoloni.
Kwakweli mnaotegemea kuowa au kuolewa na watu wa dini tofauti msilipuuze hili muandikishiane kwa Wakili kama mlivyofunga mkataba wa ndoa serikalini.
Wacha nipate kwanza lager zinipe hekima kulimaliza.
Nitaandika kwa kifupi tu, kuna case nimeshindwa kuipa suluhu nimeitwa kuleta amani kwenye nyumba ya hao wana ndoa.
Wewe ni mwanamke muislamu olewa na mwislamu mwenzako, na kama wewe mwanaume ni Mkristo owa Mkristo mwenzako.
Issue ni ngumu, Mkristo kaka mwanamke muislamu kipindi mahaba ndindindi, Sasa ndoa imejibu Watoto Wawili, mwanamke wote anadai ni Watoto wake na wote wanapenda madrasa za kiislamu.
Sasa sitaki mada hii iwe ni mihadhara au jukwaa la kukashifu dini nyingine, nimeweka hii mada ili kuitwa ushauri wa bure.
Ikiwa mwanamke na mwanaume mmekubaliana kuweka dini zenu pembeni na mfunge ndoa bomani basi jitahidini na swala Watoto mkubaliane wakizaliwa wafuate imani gani au mgawane vipi urithi wa imani kwa Watoto na kwa hali ya Sasa muandikishiane kisheria ili lisilete tabu baadaye.
Nawapenda sana Mama zangu na Dada zangu lakini ukweli uko wazi wao ndio tatizo, wanaume huwa hawana ligi za kijinga.
Nimewashauri acheni Watoto wakiwa adult wachaguwe imani wanayotaka ila mke wa ndoa anasema Watoto ni wake, ila kimoja kipengele cha school fees mke ndio anatambuwa kama Watoto wana baba.
Nimehairisha hii case namuomba Mungu anipe busara sijui muhafaka utapatikana vipi? Inasikitisha sana Watoto wadogo kuwaharibu kisaikolojia kurithi dini za wakoloni.
Kwakweli mnaotegemea kuowa au kuolewa na watu wa dini tofauti msilipuuze hili muandikishiane kwa Wakili kama mlivyofunga mkataba wa ndoa serikalini.
Wacha nipate kwanza lager zinipe hekima kulimaliza.
Mwisho wa siku mtoto amechagua kuwa Atheist halafu ana jina la Adam, hapo sijui inakuwaje
Hao watoto wanaishi na nani?Watoto wote Wawili wanatumia ubini wa baba yao na Kabila ni baba yao.
Wanawake naomba mjifunze kitu hapa, otherwise wale wahuni wa Kataa ndoa watazidi kupata ushindi mkubwa.
Hakuna hiyo kitu, kwa waislamu kwanza hapo hakuna ndoa haitambuliki kidini na watoto wanakuwa wa mwanamke.Katika dini mwanamke hufuata upande wa mwanaume akikaidi ni uzembe wa mwanaume husika,
Nilipo-boldsio hivyo,kwa jamii zetu za ki tz ni ngumu kukwepa kwa jinsi tulivyojichanganya,mapenzi ni upofu,hayaoni kesho...
Mkuu, naomba nikuongeze uwe jiko dogo maana sio kwa nondo hizo...😂Kama ulifata dini ya mama yako ni uzembe wa baba yako,
Fatilia wanaume waliobadili dini kufata wanawake wanavyoonekana katika jamii
Anaeingia kwenye familia ya mwenzie ni ke, zamani hata ubini wa majina ya wanawake yalibadilika na kuwa ya waume zao,
Mfano mwingine
Me;Samweli
Ke;Grace
Ke ataitwa Mrs samweli kwanini isiwe Mrs Grace?
Kwa watu wasio wasomi, wenye Elimu ya chini, wasio na exposure, au upeo mkubwa wa uelewa, mambo ya ndoa na tofauti za dini, huwapa shida sana.Nitaandika kwa kifupi tu, kuna case nimeshindwa kuipa suluhu nimeitwa kuleta amani kwenye nyumba ya hao wana ndoa.
Wewe ni mwanamke muislamu olewa na mwislamu mwenzako, na kama wewe mwanaume ni Mkristo owa Mkristo mwenzako.
Issue ni ngumu, Mkristo kaka mwanamke muislamu kipindi mahaba ndindindi, Sasa ndoa imejibu Watoto Wawili, mwanamke wote anadai ni Watoto wake na wote wanapenda madrasa za kiislamu.
Sasa sitaki mada hii iwe ni mihadhara au jukwaa la kukashifu dini nyingine, nimeweka hii mada ili kuitwa ushauri wa bure.
Ikiwa mwanamke na mwanaume mmekubaliana kuweka dini zenu pembeni na mfunge ndoa bomani basi jitahidini na swala Watoto mkubaliane wakizaliwa wafuate imani gani au mgawane vipi urithi wa imani kwa Watoto na kwa hali ya Sasa muandikishiane kisheria ili lisilete tabu baadaye.
Nawapenda sana Mama zangu na Dada zangu lakini ukweli uko wazi wao ndio tatizo, wanaume huwa hawana ligi za kijinga.
Nimewashauri acheni Watoto wakiwa adult wachaguwe imani wanayotaka ila mke wa ndoa anasema Watoto ni wake, ila kimoja kipengele cha school fees mke ndio anatambuwa kama Watoto wana baba.
Nimehairisha hii case namuomba Mungu anipe busara sijui muhafaka utapatikana vipi? Inasikitisha sana Watoto wadogo kuwaharibu kisaikolojia kurithi dini za wakoloni.
Kwakweli mnaotegemea kuowa au kuolewa na watu wa dini tofauti msilipuuze hili muandikishiane kwa Wakili kama mlivyofunga mkataba wa ndoa serikalini.
Wacha nipate kwanza lager zinipe hekima kulimaliza.
Maji ya chumvi na baridi huwa hayachanganyiki kwenye mkondo bahari mmoja..Huo mtihani unawakuta familia nyingi sana tangu enzi na enzi ila hawajifunzi sababu ya mapenzi pale mwanzoni yakinoga,
Suluhu yake, Watoto wasomeshwe dini zote mbili, madrasa waende na sunday school waende, wakikua watachagua upande wenyewe hakuna haja ya kugombana wazazi.
Narudia tena mwanamke(wa dini yoyote) kukaidi kufata dini ya mwanaume ni uzembe wa mwanaume, short loud and clear,hakuna hiyo kitu, kwa waislamu kwanza hapo hakuna ndoa haitambuliki kidini na watoto wanakuwa wa mwanamke.
Pili mwanamke ndiyo anakaa na watoto kipindi kirefu kwa hivyo by default watoto watakuwa wanafuata dini ya mwanamke (awe muislamu au mkristo).
Hata wakitumia ubini so what? Imani ni kitu tafauti kabisaNarudia tena mwanamke(wa dini yoyote) kukaidi kufata dini ya mwanaume ni uzembe wa mwanaume, short loud and clear,
kwahuo mfano wako watoto wanatumia ubini upi?
Hata wafe wote bado haitasaidia.Hiyo ligi kuisha mpka mmoja afe
😂😂Kwa huu wivu uke wenza siuwezi😂😂Mkuu, naomba nikuongeze uwe jiko dogo maana sio kwa nondo hizo...😂
Hujanielewa,hata wakitumia ubini so what? Imani ni kitu tafauti kabisa