Tupa kule Mondi, kutana na Grand P celeb anayemiliki mtoto mkali Afrika nzima

Dah balaa mkuu.Kwa tako hilo na mipaja hiyo huyu dogo kuuona ufalme itakua ni kw mbinde sana sina uhakika kuuingia.ndio maana picha zote anaonekana mwenye mawazooo[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani khaaaaah
 
Mie nashinda huko insta kushuhudia futuhi zao, yaan wanachekesha hadi baas,
Kuna clip huyu mmama alikua km anamkalia jamaa (kupakatwa), jamaa alitoa kelele na ile sauti km nyuki na lafudhi isiyoeleweka,
Nilicheka nusu nizimie wallah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe umejuaje kafata pale hela? Kwani upo kwenye moyo wake?
 
Kwanini unasema tupa kule Mondi, kwahiyo mkuu hao madem aliozaa nao Mondi ndio unaona ni pisi kali sana? Hamissa? Zari? Tanasha? Dah jitahidi utembee tembee mkuu
 
Hivi uzuri wa huyu dada ni upi?? Labda mm nimeangalia Tofauti lakini hakuna lolote hana uzuri wowote..Congo pale kuna dada anaitwa Amida yule ndio chombo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…