Tupa kule Mondi, kutana na Grand P celeb anayemiliki mtoto mkali Afrika nzima

Tupa kule Mondi, kutana na Grand P celeb anayemiliki mtoto mkali Afrika nzima

Mie nashinda huko insta kushuhudia futuhi zao, yaan wanachekesha hadi baas,
Kuna clip huyu mmama alikua km anamkalia jamaa (kupakatwa), jamaa alitoa kelele na ile sauti km nyuki na lafudhi isiyoeleweka,
Nilicheka nusu nizimie wallah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo mwanamke au grand p wanatumia jina gani insta?
 
Hivi anapiga mishe zipi huyo mwamba?
Anaitwa Maussa,
Screenshot_20210214-100127~2.jpg
 
Dah balaa mkuu.Kwa tako hilo na mipaja hiyo huyu dogo kuuona ufalme itakua ni kw mbinde sana sina uhakika kuuingia.ndio maana picha zote anaonekana mwenye mawazooo[emoji23]
Hahahahahaha aisee umenichekesha kwa sauti .
 
Back
Top Bottom