hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
AiseeAnaitwa Maussa,
View attachment 1702066
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeAnaitwa Maussa,
View attachment 1702066
Mwili umempatia fursa ya kiuchumiAnaitwa Maussa,
View attachment 1702066
😂 😂 😂Grand P , anatafuta matatizo tu, maana huyo bibie akimlalia kwa juu lazima Grand p, apate changamoto ya upumuaji
Mtu unabanwa pumzi na mbavu halafu unakufa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3]Hako kajamaa kanamzigo wa kufa mtu usikachukulie poa wanawake wanakagombea balaa
Huhuhuh nawee unataka kuwa follow?Huyo mwanamke au grand p wanatumia jina gani insta?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa Madame si wanasema mapenzi hayachagui.yani hawaendanina huyo dada hiloumbo lake ndio kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke hata kulala na tembo anaweza ilimradi tu tembo awe anatoa pesa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu watasema kafata hela[emoji23][emoji23][emoji23]
Imeisha hiyoooooohViwiko vyako vya mkono vinatanua magotini, na viganja vinavuta nyayo mpaka kwenye mabega.
Chini ya kiuno kuna mto mmoja au miwili.
Hapo ukigusa tu ....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Grand P , anatafuta matatizo tu, maana huyo bibie akimlalia kwa juu lazima Grand p, apate changamoto ya upumuaji
Kwanini sasa..Sio kweli Boss
Kaka wa watu mnamuonea wivu kapata dada la dadaKwanini sasa..
Huyu jamaa pamba zake wala hazina gharama. Kitambaa che size ya taulo tu unamshonea juu na chini.Grand P katika pozi
View attachment 1701718
Kiboko ya Grand P anaitwa Eudoxie
View attachment 1701719View attachment 1701721Mtot mkali akiwa paris, shukrani kwa Grand P
View attachment 1701722View attachment 1701723View attachment 1701724View attachment 1701725View attachment 1701726
Mkuu japo kapicha tafadhali cha huyo AmidaHivi uzuri wa huyu dada ni upi?? Labda mm nimeangalia Tofauti lakini hakuna lolote hana uzuri wowote..Congo pale kuna dada anaitwa Amida yule ndio chombo.