Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hako kajamaa kana pesa gani...watu wa jf skuhiz wamekua vilaza kwel..yaan umeamin kajamaa kana hela.dahWanaume wenzangu tutafute pesa
Sio kweli BossYaani boss ukiitazama tu hyo picha unapata majibu jinsi ujasiri wenu ulivyo..
Mwenzio anauliza Habar za chumbani wewe unamwambia habari za shooKuna video yake akiwa kwenye shooo😂😂😂 sio mbaya kiivo anajitahidi
Duh!
Labda kama huyo dada anaiweza style ya "Pretzel" ...
Kwa mwili huo sidhani.
Kanielewa tofauti na wew ulivonielewa. Wewe unajua shoo za stejin tu sio😂😂Mwenzio anauliza Habar za chumbani wewe unamwambia habari za shoo
Viwiko vyako vya mkono vinatanua magotini, na viganja vinavuta nyayo mpaka kwenye mabega.Pretzel ndo staili gani tena hiyo
Viwiko vyako vya mkono vinatanua magotini, na viganja vinavuta nyayo mpaka kwenye mabega.
Chini ya kiuno kuna mto mmoja au miwili.
Hapo ukigusa tu ....
Siwezi kuielezea vizuri ....Hata sijaelewa mimi
Hahahaaaa [emoji86][emoji86][emoji86][emoji86] Nimecheka kwa sauti aiseeeee. Kweli kabisa sauti yake km Ambulensi.Kina sauti kama nyuki anaruka utalinganisha na diamond
TelegramLink basi mzee
Inataka nipigwe BAN?Em tuweekee link hapa..
Maana nahisi hyo dogo kamwili kamesinyaa, ukubwa ukahamia kwenye mashine!
[emoji16][emoji16][emoji16] Ni wivu tuAisee wanaume ni majasiri,ila sisi wanawake ni majasiri zaidi..khaaa
Nimecheka Sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119]Sasa wakati wa .... inakuaje na mning'inio kama huwo. Aaaaaaaa mambo mengine ndio tunashindwa kumind our business.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Style ni mbili tu...
Style ya Mbwa au Cockroach Death.
Iyo pisi ikikaa juu dogo anakohoa bandama.