Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mh kubwa ombi letu sisi tunaomba jina la wizara ibadirishwe na kuwa Wizara ya Ustawi wa Jamii kwasababu unapoongelea makundi maalumu wazee na watoto hawa wote baba yao au mama yao ni ustawi wa jamii na tunaomba maendeleo ya jamii iende kwenye Wizara ya Mipango huko ndiko kunawafaa kwani huko ndiko wanaweza wakajadili kwa kina jinsi gani wataleta maendeleo kwa jamii kwa kupanga mikakati bora lakini sio huku huku tuna deal sana na matatizo ya watu binafsi na ndoa na wazee.
In general, matatizo yanayoikumba jamii na linapo kuja swala la kufanya linkage tutawatafuta hao maendeleo ya jamii kama tuna vyo watafuta wanasheria for the purpese client kupata haki yake tunaingiliwa kazi na maendeleo ya jamii.
Sisi kama maafisa ustawi wa jamii wanatubana kufanya kazi yetu ndio maana ata mikopo kwa walemavu hawapati walengwa badala yake wanapata watu hambao hawahusiki.
Hili nalo kero, lichunguze tena tumesema sana huku lakini hatusikilizwi
In general, matatizo yanayoikumba jamii na linapo kuja swala la kufanya linkage tutawatafuta hao maendeleo ya jamii kama tuna vyo watafuta wanasheria for the purpese client kupata haki yake tunaingiliwa kazi na maendeleo ya jamii.
Sisi kama maafisa ustawi wa jamii wanatubana kufanya kazi yetu ndio maana ata mikopo kwa walemavu hawapati walengwa badala yake wanapata watu hambao hawahusiki.
Hili nalo kero, lichunguze tena tumesema sana huku lakini hatusikilizwi