cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Naunga mkono hoja.Ni jambo jema lonalopaswa kuigwa na wizara nyingine, lakini pia kama ingewezekana ingekuwa mungefungua official account ya wizara itapendeza zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja.Ni jambo jema lonalopaswa kuigwa na wizara nyingine, lakini pia kama ingewezekana ingekuwa mungefungua official account ya wizara itapendeza zaidi
Tatizo hapo ni Ulemavu au kuombaomba!?Asante Mheshimiwa Dr. Gwajima kuungana nasi.
Kuna Hawa walemavu wanaotaabika na kuishi Kwa Kuomba omba mahali mbalimbali, Je hawatengewi bajeti na Serikali ya kuwahudumia?
Tatizo ni Kuomba omba wakati tuna wizara Kwa ajili ya walemavu na inatengewa Bajeti Kila Mwaka Wa fedha.Tatizo hapo ni Ulemavu au kuombaomba!?
Kuombaomba ni tabia ya mtu, si kila mlemavu ni ombaomba...kuondoa ombaomba wenye Ulemavu sio jukumu la Serikali pekee, ni juhudi zako mm na wewe! Kwako wewe Bw. Kichhoff anza na kuondoa fikra potofu kuwa walemavu ni watu wa kupew na Serikali! Serikali jukumu lake ni kiweka mazingira ya kuondoa vikwazo na kutoa fursa na kuwezesha watu wenye Ulemavu!Tatizo ni Kuomba omba wakati tuna wizara Kwa ajili ya walemavu na inatengewa Bajeti Kila Mwaka Wa fedha.
Nakupongeza mh. Waziri umefanya jambo la kipekee kabisa ambalo Mawaziri wengi wamelishindwa, hongera sana, naomba waziri wa ardhi naye aige hili, kwani ni njia rahisi zaidi ya kuwasiliana na watanzania wale ambao sio rahisi kukufikia, hasa katika kupata ushauri, maoni, malalamiko na mengi ya aina hii.Ahsante Sana, nimepokea. Na kwa mawasiliano zaidi ya ushirikiano kwa maendeleo na ustawi wa jamii unaweza kunifikia kwa ujumbe kwenye 0734124191 au 0765345777 (tuma ujumbe nitakusoma). Ubarikiwe. Tunahitaji umoja wa jamii kwa maendeleo na ustawi wa jamii [emoji120]
Hili nalo ni la waziri? Nenda kwa padri au sheikh mkamalize hukoAsante mungu kwa nafasi hii,
Mh waziri mke wangu alishakata taraka tangu 2019 na bado tunaishi pamoja hadi leo nikiamini ni mke wangu wa ndoa, na mm nimekutana nayo mwez januari mwaka huu na sijamwambia ila naumwa mawazo na sina Amani juu yake huyu mtu,n ikichukua hatua gani katika hili nisionekane kutenda ukatili?
Nimeihifadhi hii nyaraka kwa faida zangu na hajagundua kama nishaiona na niko nayo,nifanyeje?
Kuna shule moja ( ya Serikali ) Kawe nyuma tu ya Kituo cha Polisi ina Mwanafunzi Shoga na anajiuza mno kwa Wanaume Kijiweni Kwake nyuma ya Kituo cha DalaDala cha Ukwamani jirani na Fundi Computer maarufu hapo aitwae Badi.Heri ya Pasaka wana JamiiForums,
Mimi ni Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Makundi Maalum.
Ninayo furaha kujiunga nanyi katika mtandao huu. Nimekuwepo hapa tangu 2015 kama msomaji zaidi lakini sasa rasmi nitakuwa active member.
Naamini JF itakuwa sehemu nzuri ya kupokea maswali, maoni na mawazo yenu kuhusu namna tunavyoweza kuboresha maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake, na watu wenye makundi maalum nchini Tanzania.
Hivyo, ninawakaribisha nyote kushiriki kwenye majadiliano haya na mimi niko tayari kujibu maswali yenu na kusikiliza maoni yenu na hata kuyafanyia kazi haraka pale inapobidi.
Unaweza kutoa maoni yako kwenye mjadala huu au kupitia ujumbe wa faragha (PM).
Karibuni
Mheshimiwa Gwajima D, kule PM kuna ka ujumbe kako.Heri ya Pasaka wana JamiiForums,
Mimi ni Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Makundi Maalum.
Ninayo furaha kujiunga nanyi katika mtandao huu. Nimekuwepo hapa tangu 2015 kama msomaji zaidi lakini sasa rasmi nitakuwa active member.
Naamini JF itakuwa sehemu nzuri ya kupokea maswali, maoni na mawazo yenu kuhusu namna tunavyoweza kuboresha maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake, na watu wenye makundi maalum nchini Tanzania.
Hivyo, ninawakaribisha nyote kushiriki kwenye majadiliano haya na mimi niko tayari kujibu maswali yenu na kusikiliza maoni yenu na hata kuyafanyia kazi haraka pale inapobidi.
Unaweza kutoa maoni yako kwenye mjadala huu au kupitia ujumbe wa faragha (PM).
Karibuni
Duuuh hii hatari sana.Kuna shule moja ( ya Serikali ) Kawe nyuma tu ya Kituo cha Polisi ina Mwanafunzi Shoga na anajiuza mno kwa Wanaume Kijiweni Kwake nyuma ya Kituo cha DalaDala cha Ukwamani jirani na Fundi Computer maarufu hapo aitwae Badi.
Kila la Kheri.