Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Salamu kiongozi, mwenye dhamana yangu na watanzania wenzangu.
Naomba niwe mjumbe wa wanawake wote wenye ulemavu, haswa wale ambao wanaviungo vyote vya mwili ila wanakosa usikivu,
~ Elimu kwao imekuwa kwa taabu sana kwenye Nchi yetu.
~ Ajira kwao zimekua za taabu sana.
Kundi hili nadhani ile mikopo ya halmashauri ingewazingatia sana. Maana wamekuwa watu wakutengwa sana ilhali wana nguvu zao.
Mngeliangalia hili, hata waweze kujiunga na ujasiriamali kwa mikopo ile. Maana mikopo inapotea bila kufika kwa wahusika.
Swala hili nililifuatilia na nikaona ni la kukera. Je, Wizara yako imejipangaje pia kwenye maendeleo ya wananchi wenu wa kundi hilo?
Kama mmoja wa vijana ninayepambana kuwapa moyo, kuwasaidia wanawake wa kundi hilo ningependa kupata maelezo.
Nawakilisha.
Naomba niwe mjumbe wa wanawake wote wenye ulemavu, haswa wale ambao wanaviungo vyote vya mwili ila wanakosa usikivu,
~ Elimu kwao imekuwa kwa taabu sana kwenye Nchi yetu.
~ Ajira kwao zimekua za taabu sana.
Kundi hili nadhani ile mikopo ya halmashauri ingewazingatia sana. Maana wamekuwa watu wakutengwa sana ilhali wana nguvu zao.
Mngeliangalia hili, hata waweze kujiunga na ujasiriamali kwa mikopo ile. Maana mikopo inapotea bila kufika kwa wahusika.
Swala hili nililifuatilia na nikaona ni la kukera. Je, Wizara yako imejipangaje pia kwenye maendeleo ya wananchi wenu wa kundi hilo?
Kama mmoja wa vijana ninayepambana kuwapa moyo, kuwasaidia wanawake wa kundi hilo ningependa kupata maelezo.
Nawakilisha.