UtdProfile_
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 255
- 314
Unawezaje kuishi mjini, kama DSM, bila deal la maana
๐ค๐ค๐ค๐ค
๐ค๐ค๐ค๐ค
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu uwe na marafiki wenye pesa na uwe chawa. Haha natania bana ๐๐๐. Tafuta kazi mjini pagumu sana.Unawezaje kuhishi mjini, kama DSM, bila deal la maana๐ค๐ค๐ค๐ค
Hahaha mwisho wa siku ....umarioo
Ahahahahahaha Sasa kwenyee Suala la uchawaa hapo kipengelee, tuwe kama hakina mwijakuuu๐๐๐๐Muhimu uwe na marafiki wenye pesa na uwe chawa. Haha natania bana ๐๐๐. Tafuta kazi mjini pagumu sana.
Daaaah ๐๐๐๐umarioo
Daaaah umenisaidia kuulizia hapooo ๐๐๐๐Hahaha mwisho wa siku ....
Duuuuh nd maisha blood sema one day kila kitu kitakuwa amonabelee ๐ฅ๐ฅ๐ฅNipo kwenye hii situation mda huu
Naaaam blood umenena points hapaaaTunafanya biashara zile watu wanazoona za kiduanzi....kwa siku naficha 6450.....
Nyingine naficha buku 3....ila kwenye chamu uongo ndo nauli na hela ya kula..
.michezo..
Vicoba....day waka night drive....saidia fundi....vibarua vya kulima kwenye masaiti na nje ya mji....kuokota chupa etc
Ndio maana akee sasa madil tunapatajeeee ????Dili ni kila kitu.
๐๐๐๐๐๐๐คญ๐ค๐ค๐ค๐คBongo Dili akili yako tu.
Uza hata mboga utolala njaa
Daaaah ๐๐๐๐Nakaa karibu na mochwari maiti ikichukuliwa cha machana naenda kula huko
Sasa tunapata Vp connection mpwaaaa๐ค๐ค๐ค๐คMadili!! Kila kitu Ni "connection"