Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
@Luv umepotea, au ulikua kwenye kampeniMungu akulipe.
sijajua umeangalia nini mpaka kufikia mkataa huu mkuu,Siku zote ukweli unatuweka huru, putting yourself first is not a selfish (kama aliamua kua na mwingine sio kosa ila alitakiwa kumuambia yule wa kwanza ukweli) mapema kabisa.
Hii Ni wewe menyeweeeeDah,huu sio miasa wangu ila ni wa mtu ninayemjua. Jamaa alikua ana tabia flani ya kiboya ya kutoa chasing a.k.a chabo...ilikua miaka ya 2006 alikuja na mwanamke akaingia naye geto akaandaa utopolo wake wa kuweka watu dirishani wakasikilizia sauti na miguno kwanza badae akalifungua kimtindo panzia huku akiwa yeye chini mwanamke juu lakini mpaka leo hii ni mkewe halali wa ndoa na watoto wawili wamepata.
Kwa kukushangaza zaidi mapenzi yetu yanazidi kuimarika kadiri ya siku zinavyosongaDuuuh wewe legend mzeee...!!
Ushuhuda jinsi elimu isivyotukomboa. Nesi mzima anapata ukimwi kizembe kisa kupata mtoto?!Duuh! Huna chochote kinachosuta moyo au? Daah! Anatia huruma sana huyo Nesi
Nesi mzima kashindwa kupimana na mtu wake? Uzembe wake.Kwahiyo wewe ni chanzo sahihi cha bidada nesi kuukwaa ukimya??
[emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Katika maisha ya vijana wengi mahusiano mengi yanakiwaga ni mwanaume kumtamani zaidi mwanamke hivyo mwanamke hugeuzwa chombo cha kustarehesha viungo vya mwanaume,
Hapo mwanaume nae mara nyingi anakuwa na plan zake kwamba hapa najipigia tu, nikimchoka naenda kwengine.
Hali inaweza kuwa tofauti mwanaume ukakolea kweli kweli kwa huyo binti unaemchukulia poa ambae huwa unajipigiaga tu,
Baada ya muda waweza kuta mazingira yamekufanya tu uvute kabisa jiko ndani.
Tupe mkasa wako
Huyo nesi alikuwa anafanya maamuzi akiwa katika panic hasa baada ya kuona jamaa kaoa mtu mwingine na nesi umri wake ndio huo kuanzisha mahusiano mapya ya kumpeleka hadi ndoani ilikuwa safari nyingine, hivyo basi nadhani alivyojileta huyo jamaa nesi akaingia mzima mzima akijua anatuliza maumivu yake kumbe ndio kajipigilia misumariUshuhuda jinsi elimu isivyotukomboa. Nesi mzima anapata ukimwi kizembe kisa kupata mtoto?!
What goes around comes around, maisha yana staili ya kipekee sana kulipiza ubaya tuliofanyia wenzetuBaada ya kumaliza chuo, nikatafuta kashule kujishikiza nikisubiri ajira ya nilichosomea. Kuna wiki nilikua mwalimu wa zamu, ukiwa zamu unakaa skuli hadi weekends jmos na j2.
Sasa jumamosi hiyo akaja huyo binti. Aliwahi soma hapo kabla sijaja, kaja kufata vyeti vyake.. nkamwambia vyeti vinakaa ofisi ya mkuu, na mkuu yupo siku za kazi. Nikachukua namba kwamba jumatatu kabla hajaja nimcheki kama mkuu yupo au laa.
Siku ile ile nkaanza mtongoza kwa simu. Na wakati huo plan yangu ilikua nipite tuu maana nilikua na mchumba wangu nesi ambae nasubiri nipate ajira rasmi nioe.
Siku nyingine ya kazi kaja kuchukua cheti, jioni kapitia geto, ingawa alininyima mzigo kisa bado mapema.. ila weekend inayofata alikuna geto na akanipa mzigo.
So nikawa na mademu wawili rasmi. Tatzo likaanza, nkaona namna anavonihendo huyu denti, ni tofauti na mchumba wangu nesi.
Denti akawa so romantic, ananiita mume wangu, ananijali mno. Basi nkawa naendelea kumla. Ghafla mimba hii hapa. Na nilijiwekeaga kwamba sitakuja kutoa mimba yangu. Nkasema usitoe ntaitunza.
Nahisi kwao walimshawishi ahamie maana nkaona anahamishia kimoja kimoja. Siku akija geto anaondoka baada ya siku 3, mara wiki mara akahamia mazima..
Nkafanya process za posa, nkalipa mahali, akajifungua sahv dogo ana 4yrs. Mwaka jana 2019 nmefunga nae ndoa. Na sahiv ni mama k.
Back to nesi, ile me kuoa ilimvuruga sana. Sababu anasema alikataa wengi kisa alikua na uhakika na mimi. Age ilikua imesonga alkua na 27yrs ile 2017. Mwaka jana nilipofunga ndoa yeye akiwa na 29yrs akagive up kuhusu kuolewa, akaamua atafute mtoto.. katka kutafuta mtoto akakutana na jamaa kumbe ni hiv +. So nesi nae akaukwaa. Mimba akipata zinatoka. Hadi sahv bado hajapata.. (Hizi story nazipata kwa shosti yake ambae me ni rafiki)
ungemzalisha tu huyo nesi ili kumpooza machungu na sio kumuuaBaada ya kumaliza chuo, nikatafuta kashule kujishikiza nikisubiri ajira ya nilichosomea. Kuna wiki nilikua mwalimu wa zamu, ukiwa zamu unakaa skuli hadi weekends jmos na j2.
Sasa jumamosi hiyo akaja huyo binti. Aliwahi soma hapo kabla sijaja, kaja kufata vyeti vyake.. nkamwambia vyeti vinakaa ofisi ya mkuu, na mkuu yupo siku za kazi. Nikachukua namba kwamba jumatatu kabla hajaja nimcheki kama mkuu yupo au laa.
Siku ile ile nkaanza mtongoza kwa simu. Na wakati huo plan yangu ilikua nipite tuu maana nilikua na mchumba wangu nesi ambae nasubiri nipate ajira rasmi nioe.
Siku nyingine ya kazi kaja kuchukua cheti, jioni kapitia geto, ingawa alininyima mzigo kisa bado mapema.. ila weekend inayofata alikuna geto na akanipa mzigo.
So nikawa na mademu wawili rasmi. Tatzo likaanza, nkaona namna anavonihendo huyu denti, ni tofauti na mchumba wangu nesi.
Denti akawa so romantic, ananiita mume wangu, ananijali mno. Basi nkawa naendelea kumla. Ghafla mimba hii hapa. Na nilijiwekeaga kwamba sitakuja kutoa mimba yangu. Nkasema usitoe ntaitunza.
Nahisi kwao walimshawishi ahamie maana nkaona anahamishia kimoja kimoja. Siku akija geto anaondoka baada ya siku 3, mara wiki mara akahamia mazima..
Nkafanya process za posa, nkalipa mahali, akajifungua sahv dogo ana 4yrs. Mwaka jana 2019 nmefunga nae ndoa. Na sahiv ni mama k.
Back to nesi, ile me kuoa ilimvuruga sana. Sababu anasema alikataa wengi kisa alikua na uhakika na mimi. Age ilikua imesonga alkua na 27yrs ile 2017. Mwaka jana nilipofunga ndoa yeye akiwa na 29yrs akagive up kuhusu kuolewa, akaamua atafute mtoto.. katka kutafuta mtoto akakutana na jamaa kumbe ni hiv +. So nesi nae akaukwaa. Mimba akipata zinatoka. Hadi sahv bado hajapata.. (Hizi story nazipata kwa shosti yake ambae me ni rafiki)
Hahahah nipo , uko poa lakini?@Luv umepotea, au ulikua kwenye kampeni
Niko poa best, nikajua uneenda kuomba kura maana sijakuona long timeHahahah nipo , uko poa lakini?
Tunapishana tu mumy, kampeni sitaki wajumbe wenyewe hawaelewekiNiko poa best, nikajua uneenda kuomba kura maana sijakuona long time
Dahhhhh......
Mungu anisamehe sana