Tupe mkasa wako ulivyoishia kumuoa uliyedhani utapiga na kusepa

Jamaa kapata superwoman[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hapa uliposema kakosea kutafuta demu mwingine huku anamwingine aseee unamuonea ki ukweli
 
Haaaa haaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio wewe kweli haaa haaa guluguja lako?

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hii nayo ni ya kusimulia?
 

Mkuu bado unahezea watoto wa watu kama kamari
 
Mkuu nmekupata.. lakini kosa nililofanya hapo si kutomuoa nesi. Sababu hata ningeamua kumuoa nesi ningetesa hisia za huyu mama kijacho aliyeshika mimba yangu. So sikua na option..

Kosa nililofanya ni kutokua mwaminifu na kuanza kucheat na mwanamke mwingine. Hilo nalikubali.

Na kosa jingine nadhan members wengi humu hawajanielewa ni namna nilivosimulia.. as if ni kitu poa. Nakiri usimuliaji haujakaa sawa. Lakini si kitu poa, na nesi nipo nae fresh na iliniuma saana situation aliyopitia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…