Tupe mkasa wako ulivyoishia kumuoa uliyedhani utapiga na kusepa

Well said mkuu, mimi nilikwazwa na usimuliaji wako tu lakini hayo mengine ni huyo nurse mwenyewe ameyatafuta, apambane nayo
 
We jamaaa mungu anakuona. Hahaha
 
Kuna crush wangu mmoja nimesikitishwa sana kuona eti ameoa [emoji41]
😂😂😂😂, usijali tumeumbwa kusahau.
Atasahau kuwa alifunguka kuwa kaoa, atakutokea tu na kusema yuko single
 
Inaonekana Nesi alikua hana ile amsha amsha (vionjo) ya kuonesha mapenzi kwa jamaaa, yupo yupo tu kama dish.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu sio mimi bana.. ni mshkaji wangu wa karibu. Ningekua ni mimi ningesema tu maana hamna anaenijua humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hilo neno guluguja ndiyo liliniacha hoi, nikikumbuka wanyaki walivyo mapande na miguvu haaa haaaa
 
Unampa mimba msichana wa watu kwa bahati mbaya.. Picha linaanza ni yatima hana baba wala mama... Hana kazi alipokuwa anafanya alifukuzwa sababu ya Uja uzito wako alafu bado nigger unamkimbia. !?

Jitafakari sana kijana huo sio ujanja.
 
Unampa mimba msichana wa watu kwa bahati mbaya.. Picha linaanza ni yatima hana baba wala mama... Hana kazi alipokuwa anafanya alifukuzwa sababu ya Uja uzito wako alafu bado nigger unamkimbia. !?
Kuna mtu alifanya hivyo.
Akamkimbia.
Na katelekeza mtoto mpaka leo.
Yule dada kapanga chanika anafanya ujasiriamali.
 
Kuna mtu alifanya hivyo.
Akamkimbia.
Na katelekeza mtoto mpaka leo.
Yule dada kapanga chanika anafanya ujasiriamali.
ᴜɴɢᴇᴋᴜᴀ ᴍᴡᴀɴᴀᴜᴍᴇ ɴɪɴɢᴇsᴇᴍᴀ ᴀᴜ ɴᴅᴏ ᴡᴡ ɴɴ
 
Reactions: amu
Utafanyaje chaguo kwa kitu kimoja lazima uwe na vitu zaidi ya kimoja ili uweze kuchagua vyema.
 
Kuna mtu alifanya hivyo.
Akamkimbia.
Na katelekeza mtoto mpaka leo.
Yule dada kapanga chanika anafanya ujasiriamali.
Daah hapana aisee...!! Kuna vitu inabdi uwe na rohoo ya kikatili sana kufanyaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…