Tupe mkasa wako ulivyoishia kumuoa uliyedhani utapiga na kusepa

Tupe mkasa wako ulivyoishia kumuoa uliyedhani utapiga na kusepa

Watu wamekuwa emotional sana kuhusu story ya Nurse, pamoja na kuwa aliumizwa roho kwa kuachwa, mwisho wa siku maisha ni yako na jukumu la kujitunza ni lako binafsi.Kama mtu ambaye anafanya kazi za afya ilibidi awe makini zaid kwa vitu kama iv,kupata HIV kwa ngono kisa unataka mtoto inaleta maswali mengi kuhusu umakini wa huyo demu.Ingawa wote hatujui kesho lakin,kuna kujitahidi.
Ilobakia kuombeana,kuna dawa nzuri siku hizi anaweza kuishi maisha ya furaha na amani akipata support nzuri.
Well said mkuu, mimi nilikwazwa na usimuliaji wako tu lakini hayo mengine ni huyo nurse mwenyewe ameyatafuta, apambane nayo
 
Miaka ya nyuma kidogo kuna jamaa yangu alienda mbeya huko vijijini ndani ndani kuna mishe gani sijui alikua anapiga huko. Sasa jamaa kutokana na hali ya kule baridi na nini akakamatia guluguja moja matata akawa anasogeza nalo siku kiaina. Mara paap.. likanasa ujauzito! Jamaa kapambana nalo sana litoe likagoma kabisaa na likaamua kuhamia geto anapokaa mshkaji likadai limefukuzwa kwao.

Jamaa kuona ivyo akaona isiwe tabu akali taimu akabeba vitu vyake vichache akaliachia geto yeye akarudi zake chuga maskani. Maisha yakaendelea kama kawaida jamaa akasahau kabisa kuhusu lile guluguja tukawa tunagombania magoli kitaa.

Siku ya siku tumekaa zetu kibarazani tunapiga stori mbili tatu na mwana mara tunaona polygon shape moja ina tumbo kubwaa inakuja uelekeo wetu. Kadri ilivyokua inatusogelea ndio mwana anazidi kuwa mwekundu maana jamaa alikua mweupe. Aisee jamaa hakuamini lile guluguja limekuja likiulizia mpaka likafika home!! Jamaa ndio kukalishwa na wazee pale akabanwa akakubali kweli yeye ni mhusika. Basi ikabidi jamaa awe mpole tuu na guluguja lake sasa atafanyaje? Mtoto amekuja kuzaliwa yaani ni fotokopi huulizi kitu. Mpaka leo tunavyoongea jamaa yuko na guluguja lake maisha yanaenda.
We jamaaa mungu anakuona. Hahaha
 
Inaonekana Nesi alikua hana ile amsha amsha (vionjo) ya kuonesha mapenzi kwa jamaaa, yupo yupo tu kama dish.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu sio mimi bana.. ni mshkaji wangu wa karibu. Ningekua ni mimi ningesema tu maana hamna anaenijua humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hilo neno guluguja ndiyo liliniacha hoi, nikikumbuka wanyaki walivyo mapande na miguvu haaa haaaa
 
Unampa mimba msichana wa watu kwa bahati mbaya.. Picha linaanza ni yatima hana baba wala mama... Hana kazi alipokuwa anafanya alifukuzwa sababu ya Uja uzito wako alafu bado nigger unamkimbia. !?

Jitafakari sana kijana huo sio ujanja.
 
Unampa mimba msichana wa watu kwa bahati mbaya.. Picha linaanza ni yatima hana baba wala mama... Hana kazi alipokuwa anafanya alifukuzwa sababu ya Uja uzito wako alafu bado nigger unamkimbia. !?
Kuna mtu alifanya hivyo.
Akamkimbia.
Na katelekeza mtoto mpaka leo.
Yule dada kapanga chanika anafanya ujasiriamali.
 
Kuna mtu alifanya hivyo.
Akamkimbia.
Na katelekeza mtoto mpaka leo.
Yule dada kapanga chanika anafanya ujasiriamali.
ᴜɴɢᴇᴋᴜᴀ ᴍᴡᴀɴᴀᴜᴍᴇ ɴɪɴɢᴇsᴇᴍᴀ ᴀᴜ ɴᴅᴏ ᴡᴡ ɴɴ
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kosa lako ninaloliona hapa ni kumfata demu mwingine huku uko na mwingine. Nafikiri ulipaswa kuchagua moja tu. Kuwa na msimamo kuwa upo na huyu mwingine akatafute maisha mengine.
Hayo mengine ni makosa yake. Huwezi kukata tamaa sababu you are 29 na umeachwa. Wala kufika 30 sio sababu ya kufanya mwanamke hakubali mwanaume mradi katamka ndoa.
Pengine alipangiwa mwanaume bora kuliko wewe lakini pupa ikampeleka pabaya.
Kuna umuhimu mkubwa sana wa kukaa ndani ya misingi ya dini au mila na desturi zetu. Otherwise effect kama hizi ni kubwa sana.
Utafanyaje chaguo kwa kitu kimoja lazima uwe na vitu zaidi ya kimoja ili uweze kuchagua vyema.
 
Kuna mtu alifanya hivyo.
Akamkimbia.
Na katelekeza mtoto mpaka leo.
Yule dada kapanga chanika anafanya ujasiriamali.
Daah hapana aisee...!! Kuna vitu inabdi uwe na rohoo ya kikatili sana kufanyaa
 
Back
Top Bottom