Tupe mkasa wako ulivyoishia kumuoa uliyedhani utapiga na kusepa

Tupe mkasa wako ulivyoishia kumuoa uliyedhani utapiga na kusepa

Baada ya kumaliza chuo, nikatafuta kashule kujishikiza nikisubiri ajira ya nilichosomea. Kuna wiki nilikua mwalimu wa zamu, ukiwa zamu unakaa skuli hadi weekends jmos na j2.

Sasa jumamosi hiyo akaja huyo binti. Aliwahi soma hapo kabla sijaja, kaja kufata vyeti vyake.. nkamwambia vyeti vinakaa ofisi ya mkuu, na mkuu yupo siku za kazi. Nikachukua namba kwamba jumatatu kabla hajaja nimcheki kama mkuu yupo au laa.

Siku ile ile nkaanza mtongoza kwa simu. Na wakati huo plan yangu ilikua nipite tuu maana nilikua na mchumba wangu nesi ambae nasubiri nipate ajira rasmi nioe.

Siku nyingine ya kazi kaja kuchukua cheti, jioni kapitia geto, ingawa alininyima mzigo kisa bado mapema.. ila weekend inayofata alikuna geto na akanipa mzigo.

So nikawa na mademu wawili rasmi. Tatzo likaanza, nkaona namna anavonihendo huyu denti, ni tofauti na mchumba wangu nesi.
Denti akawa so romantic, ananiita mume wangu, ananijali mno. Basi nkawa naendelea kumla. Ghafla mimba hii hapa. Na nilijiwekeaga kwamba sitakuja kutoa mimba yangu. Nkasema usitoe ntaitunza.

Nahisi kwao walimshawishi ahamie maana nkaona anahamishia kimoja kimoja. Siku akija geto anaondoka baada ya siku 3, mara wiki mara akahamia mazima..

Nkafanya process za posa, nkalipa mahali, akajifungua sahv dogo ana 4yrs. Mwaka jana 2019 nmefunga nae ndoa. Na sahiv ni mama k.

Back to nesi, ile me kuoa ilimvuruga sana. Sababu anasema alikataa wengi kisa alikua na uhakika na mimi. Age ilikua imesonga alkua na 27yrs ile 2017. Mwaka jana nilipofunga ndoa yeye akiwa na 29yrs akagive up kuhusu kuolewa, akaamua atafute mtoto.. katka kutafuta mtoto akakutana na jamaa kumbe ni hiv +. So nesi nae akaukwaa. Mimba akipata zinatoka. Hadi sahv bado hajapata.. (Hizi story nazipata kwa shosti yake ambae me ni rafiki)
Duh mkuu inatisha sana mtafute umuombe msamaha ikiwezekana omba toba kwa muumba wako hii dhambi haitokuacha salama itatafuna kizazi kacho inauzunisha sana kwa nesi
 
Baada ya kumaliza chuo, nikatafuta kashule kujishikiza nikisubiri ajira ya nilichosomea. Kuna wiki nilikua mwalimu wa zamu, ukiwa zamu unakaa skuli hadi weekends jmos na j2.

Sasa jumamosi hiyo akaja huyo binti. Aliwahi soma hapo kabla sijaja, kaja kufata vyeti vyake.. nkamwambia vyeti vinakaa ofisi ya mkuu, na mkuu yupo siku za kazi. Nikachukua namba kwamba jumatatu kabla hajaja nimcheki kama mkuu yupo au laa.

Siku ile ile nkaanza mtongoza kwa simu. Na wakati huo plan yangu ilikua nipite tuu maana nilikua na mchumba wangu nesi ambae nasubiri nipate ajira rasmi nioe.

Siku nyingine ya kazi kaja kuchukua cheti, jioni kapitia geto, ingawa alininyima mzigo kisa bado mapema.. ila weekend inayofata alikuna geto na akanipa mzigo.

So nikawa na mademu wawili rasmi. Tatzo likaanza, nkaona namna anavonihendo huyu denti, ni tofauti na mchumba wangu nesi.
Denti akawa so romantic, ananiita mume wangu, ananijali mno. Basi nkawa naendelea kumla. Ghafla mimba hii hapa. Na nilijiwekeaga kwamba sitakuja kutoa mimba yangu. Nkasema usitoe ntaitunza.

Nahisi kwao walimshawishi ahamie maana nkaona anahamishia kimoja kimoja. Siku akija geto anaondoka baada ya siku 3, mara wiki mara akahamia mazima..

Nkafanya process za posa, nkalipa mahali, akajifungua sahv dogo ana 4yrs. Mwaka jana 2019 nmefunga nae ndoa. Na sahiv ni mama k.

Back to nesi, ile me kuoa ilimvuruga sana. Sababu anasema alikataa wengi kisa alikua na uhakika na mimi. Age ilikua imesonga alkua na 27yrs ile 2017. Mwaka jana nilipofunga ndoa yeye akiwa na 29yrs akagive up kuhusu kuolewa, akaamua atafute mtoto.. katka kutafuta mtoto akakutana na jamaa kumbe ni hiv +. So nesi nae akaukwaa. Mimba akipata zinatoka. Hadi sahv bado hajapata.. (Hizi story nazipata kwa shosti yake ambae me ni rafiki)
Dah, ulifanya umafia sana 😎
 
Miaka ya nyuma kidogo kuna jamaa yangu alienda mbeya huko vijijini ndani ndani kuna mishe gani sijui alikua anapiga huko. Sasa jamaa kutokana na hali ya kule baridi na nini akakamatia guluguja moja matata akawa anasogeza nalo siku kiaina. Mara paap.. likanasa ujauzito! Jamaa kapambana nalo sana litoe likagoma kabisaa na likaamua kuhamia geto anapokaa mshkaji likadai limefukuzwa kwao.

Jamaa kuona ivyo akaona isiwe tabu akali taimu akabeba vitu vyake vichache akaliachia geto yeye akarudi zake chuga maskani. Maisha yakaendelea kama kawaida jamaa akasahau kabisa kuhusu lile guluguja tukawa tunagombania magoli kitaa.

Siku ya siku tumekaa zetu kibarazani tunapiga stori mbili tatu na mwana mara tunaona polygon shape moja ina tumbo kubwaa inakuja uelekeo wetu. Kadri ilivyokua inatusogelea ndio mwana anazidi kuwa mwekundu maana jamaa alikua mweupe. Aisee jamaa hakuamini lile guluguja limekuja likiulizia mpaka likafika home!! Jamaa ndio kukalishwa na wazee pale akabanwa akakubali kweli yeye ni mhusika. Basi ikabidi jamaa awe mpole tuu na guluguja lake sasa atafanyaje? Mtoto amekuja kuzaliwa yaani ni fotokopi huulizi kitu. Mpaka leo tunavyoongea jamaa yuko na guluguja lake maisha yanaenda.
We jamaa umenichekesha sana, hivi huyo jamaa yako amewahi kusikia unamuita mke wake guluguja au ni kiwakilishi tu umekitumia hapa [emoji3][emoji23]

(Najaribu kumuumbia picha huyu guluguja lakini nashindwa, naishia kucheka tu)
 
Mkuu uligundua lini huyo ni wa hayo majina unayomuita?

Hata kama humtaki huyo anabaki kuwa mzazi mwenzako.

Umheshimu.
Miaka ya nyuma kidogo kuna jamaa yangu alienda mbeya huko vijijini ndani ndani kuna mishe gani sijui alikua anapiga huko. Sasa jamaa kutokana na hali ya kule baridi na nini akakamatia guluguja moja matata akawa anasogeza nalo siku kiaina. Mara paap.. likanasa ujauzito! Jamaa kapambana nalo sana litoe likagoma kabisaa na likaamua kuhamia geto anapokaa mshkaji likadai limefukuzwa kwao.

Jamaa kuona ivyo akaona isiwe tabu akali taimu akabeba vitu vyake vichache akaliachia geto yeye akarudi zake chuga maskani. Maisha yakaendelea kama kawaida jamaa akasahau kabisa kuhusu lile guluguja tukawa tunagombania magoli kitaa.

Siku ya siku tumekaa zetu kibarazani tunapiga stori mbili tatu na mwana mara tunaona polygon shape moja ina tumbo kubwaa inakuja uelekeo wetu. Kadri ilivyokua inatusogelea ndio mwana anazidi kuwa mwekundu maana jamaa alikua mweupe. Aisee jamaa hakuamini lile guluguja limekuja likiulizia mpaka likafika home!! Jamaa ndio kukalishwa na wazee pale akabanwa akakubali kweli yeye ni mhusika. Basi ikabidi jamaa awe mpole tuu na guluguja lake sasa atafanyaje? Mtoto amekuja kuzaliwa yaani ni fotokopi huulizi kitu. Mpaka leo tunavyoongea jamaa yuko na guluguja lake maisha yanaenda.
 
Kila
Dah,huu sio miasa wangu ila ni wa mtu ninayemjua. Jamaa alikua ana tabia flani ya kiboya ya kutoa chasing a.k.a chabo...ilikua miaka ya 2006 alikuja na mwanamke akaingia naye geto akaandaa utopolo wake wa kuweka watu dirishani wakasikilizia sauti na miguno kwanza badae akalifungua kimtindo panzia huku akiwa yeye chini mwanamke juu lakini mpaka leo hii ni mkewe halali wa ndoa na watoto wawili wamepata.
Dah,huu sio miasa wangu ila ni wa mtu ninayemjua. Jamaa alikua ana tabia flani ya kiboya ya kutoa chasing a.k.a chabo...ilikua miaka ya 2006 alikuja na mwanamke akaingia naye geto akaandaa utopolo wake wa kuweka watu dirishani wakasikilizia sauti na miguno kwanza badae akalifungua kimtindo panzia huku akiwa yeye chini mwanamke juu lakini mpaka leo hii ni mkewe halali wa ndoa na watoto wawili wamepata.
😀😀😀 Kila kosa unalofanya kwa makusud razma tu utalilipia
 
Miaka ya nyuma kidogo kuna jamaa yangu alienda mbeya huko vijijini ndani ndani kuna mishe gani sijui alikua anapiga huko. Sasa jamaa kutokana na hali ya kule baridi na nini akakamatia guluguja moja matata akawa anasogeza nalo siku kiaina. Mara paap.. likanasa ujauzito! Jamaa kapambana nalo sana litoe likagoma kabisaa na likaamua kuhamia geto anapokaa mshkaji likadai limefukuzwa kwao.

Jamaa kuona ivyo akaona isiwe tabu akali taimu akabeba vitu vyake vichache akaliachia geto yeye akarudi zake chuga maskani. Maisha yakaendelea kama kawaida jamaa akasahau kabisa kuhusu lile guluguja tukawa tunagombania magoli kitaa.

Siku ya siku tumekaa zetu kibarazani tunapiga stori mbili tatu na mwana mara tunaona polygon shape moja ina tumbo kubwaa inakuja uelekeo wetu. Kadri ilivyokua inatusogelea ndio mwana anazidi kuwa mwekundu maana jamaa alikua mweupe. Aisee jamaa hakuamini lile guluguja limekuja likiulizia mpaka likafika home!! Jamaa ndio kukalishwa na wazee pale akabanwa akakubali kweli yeye ni mhusika. Basi ikabidi jamaa awe mpole tuu na guluguja lake sasa atafanyaje? Mtoto amekuja kuzaliwa yaani ni fotokopi huulizi kitu. Mpaka leo tunavyoongea jamaa yuko na guluguja lake maisha yanaenda.
Hahaaa wadada wa huko Wana sura personal Sana, Ila jamaa avumilie tu hamna namna
 
Baada ya kumaliza chuo, nikatafuta kashule kujishikiza nikisubiri ajira ya nilichosomea. Kuna wiki nilikua mwalimu wa zamu, ukiwa zamu unakaa skuli hadi weekends jmos na j2.

Sasa jumamosi hiyo akaja huyo binti. Aliwahi soma hapo kabla sijaja, kaja kufata vyeti vyake.. nkamwambia vyeti vinakaa ofisi ya mkuu, na mkuu yupo siku za kazi. Nikachukua namba kwamba jumatatu kabla hajaja nimcheki kama mkuu yupo au laa.

Siku ile ile nkaanza mtongoza kwa simu. Na wakati huo plan yangu ilikua nipite tuu maana nilikua na mchumba wangu nesi ambae nasubiri nipate ajira rasmi nioe.

Siku nyingine ya kazi kaja kuchukua cheti, jioni kapitia geto, ingawa alininyima mzigo kisa bado mapema.. ila weekend inayofata alikuna geto na akanipa mzigo.

So nikawa na mademu wawili rasmi. Tatzo likaanza, nkaona namna anavonihendo huyu denti, ni tofauti na mchumba wangu nesi.
Denti akawa so romantic, ananiita mume wangu, ananijali mno. Basi nkawa naendelea kumla. Ghafla mimba hii hapa. Na nilijiwekeaga kwamba sitakuja kutoa mimba yangu. Nkasema usitoe ntaitunza.

Nahisi kwao walimshawishi ahamie maana nkaona anahamishia kimoja kimoja. Siku akija geto anaondoka baada ya siku 3, mara wiki mara akahamia mazima..

Nkafanya process za posa, nkalipa mahali, akajifungua sahv dogo ana 4yrs. Mwaka jana 2019 nmefunga nae ndoa. Na sahiv ni mama k.

Back to nesi, ile me kuoa ilimvuruga sana. Sababu anasema alikataa wengi kisa alikua na uhakika na mimi. Age ilikua imesonga alkua na 27yrs ile 2017. Mwaka jana nilipofunga ndoa yeye akiwa na 29yrs akagive up kuhusu kuolewa, akaamua atafute mtoto.. katka kutafuta mtoto akakutana na jamaa kumbe ni hiv +. So nesi nae akaukwaa. Mimba akipata zinatoka. Hadi sahv bado hajapata.. (Hizi story nazipata kwa shosti yake ambae me ni rafiki)
Mungu akulipe.
 
Katika maisha ya vijana wengi mahusiano mengi yanakiwaga ni mwanaume kumtamani zaidi mwanamke hivyo mwanamke hugeuzwa chombo cha kustarehesha viungo vya mwanaume,

Hapo mwanaume nae mara nyingi anakuwa na plan zake kwamba hapa najipigia tu, nikimchoka naenda kwengine.

Hali inaweza kuwa tofauti mwanaume ukakolea kweli kweli kwa huyo binti unaemchukulia poa ambae huwa unajipigiaga tu,

Baada ya muda waweza kuta mazingira yamekufanya tu uvute kabisa jiko ndani.

Tupe mkasa wako
Kuna demu nilipiga nikiwa chuo halafu nikamkimbia, baada ya miaka kadhaa nakutana nae kwenye ofisi flani amekua matata, chura kama loote, nikasema ngoja nirushe tena ndoano, mtoto akaingia kingi nikaanza kujipigia kilainiii mpaka hapa ninapoongea ni my precious wife, mama wa watoto watatu na ni mke bora kabisaa
 
Kuna jamaa yangu mmoja alikuwa na house girl wake. Akawa anakwenda home kwake asubuhi na kuondoka jioni. Mara akahamia. Akawa anakaa na bosi wake. Nilipowatembelea tena baada ya muda mrefu nikakuta ana mtoto na wameoana!
 
Back
Top Bottom