Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

[emoji851][emoji81][emoji23][emoji28][emoji3][emoji16][emoji74][emoji86][emoji85][emoji204][emoji205][emoji38][emoji2][emoji1787][emoji1]

Mkuu umeniacha hoi hapo kwenye differentiate constant. Means walikula zero zao saaafi kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni star inamaana hamna aliesoma na mimi huku mbona stori yangu sioni
 
Mimi ni star inamaana hamna aliesoma na mimi huku mbona stori yangu sioni
 
Vipi mkuu bado upo vizuri kwenye battle tulianzishe...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi mkuu bado upo vizuri kwenye battle tulianzishe...

Sent using Jamii Forums mobile app
You wanna battle or rat-a-tat-tat rattle?
You goatherder, go take care of your cattle
I lay laws like Cato, my blows are fatal
Come against me, boy I got forces liek NATO
You pitter-patter, I eat you like Sato
Vipi mkuu bado upo vizuri kwenye battle tulianzishe...

Sent using Jamii Forums mobile app
You wanna battle or rat-a-tat-tat rattle?
You goat herder, go take care of your cattle
I lay laws like Cato, my blows are fatal
Like I was coached by Cus D'Amato
Come against me, boy I got forces like NATO
You pitter-patter, I eat you like Sato
Saddle your...aaah
 
Duuh! Nimelianzisha vanga/
Kwa kiranga/jamani njooni mshuhudie ninavyomcharanga/na mapanga/mpaka atoke nduki Kama
Mchawi wa sumbawanga/alie kapalamia anga/

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Hatari..
 
Nimesoma na deus kaseke &Walter chilambo s/m jitegemee mbeya, deusi alikuwa mtundu mno comedy nyingi ukae naye usicheke utakuwa na
matatizo,alikuwa anapenda kunionea[emoji30]kipaji cha kucheza mpira..
Walter alikuwa anapendwa na wasichana hatarii..yaani ukiwa naye hee unajiona wewe ndo queen wa darasa[emoji1787] hadi walimu walikuwa wanampenda alikuwa na nyota ya kupendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliisoma primary na bwana mdogo anaitwa moshi katemi pale Isenga primary mwanza,,,kipindi icho nilikua naimba rap nilikua nakubalika kinoma,,,,nakumbuka niliushangaza umati siku ya kuhitimu nilivonata na biti kwenye mziki mkubwaaa na sikuwahi ifanyia mazoezi biti amabayo watu waliikalia chimbo miezi ili waje kufunika.

Washkaji hawakuamini kwa umahili niliouonesha walidhani niliwaibia kitambo kumbe walaaa.
Kipindi hicho moshi katemi (Mo-MUSIC) alikua shabiki yangu,,,leo hii mi ndo shabiki na mziki nlitupa kuleee nikapendana na shule ya medicine ndo nmezamia huko mazima
 
Nilisoma kidato cha 5&6 na wasanii wawili wa gospel na tukawa close Goodluck Gozbert-mwakavuta high school makete na Joel lwaga-njombe secondary school. kiukweli kama Good alikuwa anajuhud sana kulikuwa na mshkaj anajiita barl kiss wa mafionso ndo alikuwa mpinzani wake na jamaa alikuwa na kipaji kikubwa na walikuwa wanashindana kwenye night of talents na siku za graduations au welcome form5 cjui yeye kapotelea wapi alikuwa anaimba sanaaaa mastyle kama chege na kuhusu joel lwaga huyu wala hakuna mtu alijua atakuja kuwa msanii mana alikuwa mtu wa mpira sana, mkimya daily anashinda Gora anasali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…