Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Haya sasa,leteni na uzi wa kama mlisoma na watu mashuhuri kitaaluma mfano mwanasheria,wahandisi wanasayansi
Madokta wafanyabiaahara wakubwa

Ova

Umeshindwa nini kuanzishwa wewe!!!.. nitag 🤗
 
Write your reply...moni central zone nimekula nae sana mafeg na makush pale udom kuna siku tulidakwa na mlinzi tunachoma tukamwomba fair akatuambia tukavutie mbali na hostel
 
Kwanza kabisa Diamond alinichoma na spoke ya baiskeli akilitaka barafu la sh 20 nililokuwa nikilinyonya Kijitonyama Kisiwani pale uwanja wa mpira miaka ya 1997-99 (sikumbuki the exact year). Tulikuwa tuna kawaida ya kucheza mpira tukitoka mazoezi ya uministrant kigangoni kabla ya kujengwa kanisa lililopo sasa. Mashindano ni kati ya watoto tunaotokea upande wa Knyama kuu na wale wanaoishi kuanzia kijitonyama kisiwani mpaka Tandale huko. Padre alikuwa akitokea parokia ya mwananyamala kuja kusalisha kigangoni.

Haha nikaja kukutana nae kwenye event yake 2014-15 pale Mlimani City keshakuwa maarufu, isingekuwa Ruge na mdogo wangu ambaye yuko THT clue yakina Linah, Rachel, Barnabas, Ditto na wengine asingenikumbuka. Tulikumbushana, tukacheka na tumeshayasahau hayo

Pili Nimeisoma na Feruzi wa Daz Nundas Kizuka TPDF Sec. School Moro hiyo, kama atasoma hii post alikuwa anapenda sana kuniita toto tundu maana nilikuwa napenda sana kuimba nyimbo zao. Tatu mtaani kwetu akahamia Mangwear akiwa chini ya jamaa mmoja anaitwa Evans na mdogo wake Nancy Kijitonyama wakiwa wanapigisha simu (ile ya waya TTCL unatoa hela kwa dakika kama sijasahau ilikuwa 250). Hapo ndipo lilipozaliwa kundi la East Zoo

Prof J usimsahau dogo lako uliyekuwa ukimshauri maliza kwanza shule ndio uingie kwenye sanaa maana wewe ndio ulikuwa rol modal wangu mpaka kwenda kwa MI Kamwamba Upanga kurekodi. Nilifuata ushauri wako na namshukuru Mungu now ni mhasibu na ni muajiriwa, mambo ya bongo flavor nilishatupa kule
Kwa leo tuishie hapo...
Nimekumbuka kitu.
Marehemu CowBiz na Dark Master walikuwa wanakuja kupiga simu za "TTCL" home miaka hiyo, then nawarudisha East Zoo - Kikuyu.

Hapo ndipo nikafahamiana na madogo wa East Zoo.
Mez B.
Mangwair.
Rest Easy wadongo zangu.
 
Hivi Mh. JMK ni msanii ama sio msanii!!?
Mimi nilisoma naye TTSS.
 
Tupo Mzee Baba...Duuh Makongo mastaa walikua wengi sana...Kipindi Naaanza form 1 pale mAkongo kwenye korido na Canteen nilikua napishana na hii list hapa
1.Irene Ngowi
2.Amina Chifupa (R.I.P)
3.Mc Babu Ayoub
4.Juma Kaseja
5.Bonifas Pawasa
6.Hasheem Thabit (huyu tulianza wote form 1)
7.Seki
8.Daz Baba

Walikua wengi sana wengine nimewasahau
Dataz umemsahau
 
Elizabeth Michael, Lulu. Tulisoma naye Perfect Vision pale ubungo. Kwa kweli kwenye ukicheche demu alianza kitambo. Kuna wakati alizua skendo ya kutembea na mkurugenzi wa shule, Mwalimu Kadeghe huyu huyu mnayemfahamu. Naona walimu wakashindwa namna ya kumfukuza. Hakakumaliza form four pale....
 
Maishaa yanaendaa kasi sanaaa. Nimesomaa na kanye west chuo chicago mwamba alikuwaa anajikubaliii sanaaa cofidence kama zotee. Ila hakumaliza college ali drop.
 
Elizabeth Michael, Lulu. Tulisoma naye Perfect Vision pale ubungo. Kwa kweli kwenye ukicheche demu alianza kitambo. Kuna wakati alizua skendo ya kutembea na mkurugenzi wa shule, Mwalimu Kadeghe huyu huyu mnayemfahamu. Naona walimu wakashindwa namna ya kumfukuza. Hakakumaliza form four pale....
Ndio kakakimbilia kwenye sanaa. Kamshukuru sana Kanumba kukaingiza huko baada ya kukalamba mzigo alafu akajimilikisha. Ila wasanii wa bongo bhana dah🤣🙌
 
Ndio kakakimbilia kwenye sanaa. Kamshukuru sana Kanumba kukaingiza huko baada ya kukalamba mzigo alafu akajimilikisha. Ila wasanii wa bongo bhana dah[emoji1787][emoji119]
Lulu kaanza kuigiza akiwa ana miaka 8, alipelekwa Kaole na Dr. Cheni, huyo mbakaji Kanumba kamjua Lulu tangu hajaota maziwa na hatujui alianza kumbaka lini,
Huko shule tayari Lulu alikua maarufu,

'Fame at the young age' ndio ilimponza.
 
Lulu kaanza kuigiza akiwa ana miaka 8, alipelekwa Kaole na Dr. Cheni, huyo mbakaji Kanumba kamjua Lulu tangu hajaota maziwa na hatujui alianza kumbaka lini,
Huko shule tayari Lulu alikua maarufu,

'Fame at the young age' ndio ilimponza.
Oh kumbe, ndio nakumbuka baadhi ya michezo ya akina Dr. Cheni, JB na Rich Mtambalike walikuwa wanakitumia Lulu kikiwa kidogo. Thanks for reminding me
 
Wahuni kibao ila ndo hawajatoboa ningesimulia ila wanaweza badili majina wakijipata nikawa mwongo.
 
Nikitulia ntaipangia ratiba nzuri hii thread japo nipitie page kadhaa kila siku kama Maths ni tamu sana.
 
hahaha mkuu inaonekana uliingia kipindi kwayu hayupo maana kwayu alikua hakuzuii kuinhia au kutoka shule muda unaotaka ila anachotaka ufaulu na hapo ndipo wabafunzi wa azania wakawa ni watu wa kujitafutia sana and thats performance ikawa juu ila baada ya kwayu kuondoka overall performance ya school ikaanza kushuka to date, chavila was smart ila alishindwa kuendana na legacy aliyoiacha kwayu ila ngozye ni jau la maaana haha

kuhusu kung'oa haha azania ilikua chata sana nakumbuka siku moja naenda kigamboni wanafunzi wanazuiwa kuingia lakini mimi konda aliniita mwenyewe akisema "wewe dogo wa azania njoo upande"

amsr.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi alikuwa pia mkuu wa shule Ilboru,Principle zake hizo hizo,wewe toka toka tu na school uniform
 
Huyu dogo sio maarufu ila anajua sana.Sijui anakwama wapi?. (Diamond platnumz alishawah kuuliza hili swal)

IBRANATION

Huyu dogo nilimuacha darasa la 5 pale Ilala primary school Iringa.Enz hizo mkwawa high scul bado hakijawa chuo.Alikua dogo mpple na mtaratibu tu.mama ake alikua ni frnd zake sana na maza.Bro ake anaitwa athuman (last time nakugana nae kitambo kidogo kabla sijaondoka iringa alikuaga Diwani).huyu bro ake athuman alisoma na Bro angu mmoja.Alikua na dada yake anaitwa Zaina huyu alisoma na bro wangu first born.
Mama yake (almaarufu kama mama zaina) nae alishakuaga diwani mtaa wa Kajificheni.
Dingi yao (Mpogole) alikua dereva wa malori

Du unamfahamu Mzee Mpogole RIP basi hata mwanae Venusta unamjua
 
Back
Top Bottom