Tupeane maujanja ya Excel

Tupeane maujanja ya Excel

Umefanikiwa?
Nimefanikiwa mkuu kuandaa hii
Screenshot_2016-11-22-18-00-11.png

Ila nachoshindwa hapo katika hyo miezi nataka niandik jan to dec ila natka niandike jan then ni drag ijipange miezi mingine automatically, alafu natak ni comment hpo kama biashara yangu imepata faida au hasara mkuu, na jinsi ya kutafuta max month receipts na max months payments mkuu. ahsanteh
 
Asante na Hongera kwa kuonesha bidii katika kujifunza
Kuhusu miezi andika JANUARY kwenye CELL ya kwanza halafu drag mpaka mwisho itakuletea mpamgaliao wote...

Andika =MAX(D5:16) itakuletea moja kwa moja amount kubwa yaani kuanzia D5 hadi D16 ndio kama unataka ikuletee amount ndogo basi unaandika =MIN(D5:16)
Simply andika =MAX(Range ya data)

Kuhusu faida ninaovoona hapo itakuwa ni sawa na kufanya RECEIPTS - PAYMENTS kwa hiyo andika =D19-K19 lakini kumbuka kiuhasibu hiyo siyo faida kamili tunaiita GROSS PROFIT kumbuka kuna gharama nyingine kama Usafiri, Kodi nk ndio upate faida kamili kwa hiyo zingatia hilo pia katika hesabu zako

Kuhusu kukupa maoni hapo tunaweza fanya conditional formatting ili faida ikupe rangi ya kijani na hasara iandike rangi nyekundu
 
Nimefanikiwa mkuu kuandaa hiiView attachment 437991
Ila nachoshindwa hapo katika hyo miezi nataka niandik jan to dec ila natka niandike jan then ni drag ijipange miezi mingine automatically, alafu natak ni comment hpo kama biashara yangu imepata faida au hasara mkuu, na jinsi ya kutafuta max month receipts na max months payments mkuu. ahsanteh
Asante na Hongera kwa kuonesha bidii katika kujifunza
Kuhusu miezi andika JANUARY kwenye CELL ya kwanza halafu drag mpaka mwisho itakuletea mpamgaliao wote...

Andika =MAX(D5:16) itakuletea moja kwa moja amount kubwa yaani kuanzia D5 hadi D16 ndio kama unataka ikuletee amount ndogo basi unaandika =MIN(D5:16)
Simply andika =MAX(Range ya data)

Kuhusu faida ninaovoona hapo itakuwa ni sawa na kufanya RECEIPTS - PAYMENTS kwa hiyo andika =D19-K19 lakini kumbuka kiuhasibu hiyo siyo faida kamili tunaiita GROSS PROFIT kumbuka kuna gharama nyingine kama Usafiri, Kodi nk ndio upate faida kamili kwa hiyo zingatia hilo pia katika hesabu zako

Kuhusu kukupa maoni hapo tunaweza fanya conditional formatting ili faida ikupe rangi ya kijana na hasara iandike rangi nyekundu
Yeah unaweza nisaidie hiyo mkuu ya conditional formating inakuaje na chochote kingine ambacho kinabidi kiwe katika mfumo mzuri unaweza nielekeza mkuu.ahsanteh
 
Asante na Hongera kwa kuonesha bidii katika kujifunza
Kuhusu miezi andika JANUARY kwenye CELL ya kwanza halafu drag mpaka mwisho itakuletea mpamgaliao wote...

Andika =MAX(D5:16) itakuletea moja kwa moja amount kubwa yaani kuanzia D5 hadi D16 ndio kama unataka ikuletee amount ndogo basi unaandika =MIN(D5:16)
Simply andika =MAX(Range ya data)

Kuhusu faida ninaovoona hapo itakuwa ni sawa na kufanya RECEIPTS - PAYMENTS kwa hiyo andika =D19-K19 lakini kumbuka kiuhasibu hiyo siyo faida kamili tunaiita GROSS PROFIT kumbuka kuna gharama nyingine kama Usafiri, Kodi nk ndio upate faida kamili kwa hiyo zingatia hilo pia katika hesabu zako

Kuhusu kukupa maoni hapo tunaweza fanya conditional formatting ili faida ikupe rangi ya kijana na hasara iandike rangi nyekundu
Screenshot_2016-11-22-20-22-57.png

Na hii party mkuu jinsi ya kufanya counting mkuu inagoma check hapo hyo formula inakataa hii ikoje mkuu
 
View attachment 438029
Na hii party mkuu jinsi ya kufanya counting mkuu inagoma check hapo hyo formula inakataa hii ikoje mkuu
Kwanza nimefurahi sana umeweza kutumia VLOOKUP kupata bei ya TV hapo na bidhaa zingine big up sana mkuu...

Kuhusu swali lako labda ningependa kujua Unataka kupata nini hapo ulipoandika COUNTIF? Ili niweze kukuelekeza kadiri ya uhitaji
 
Kwanza nimefurahi sana umeweza kutumia VLOOKUP kupata bei ya TV hapo na bidhaa zingine big up sana mkuu...

Kuhusu swali lako labda ningependa kujua Unataka kupata nini hapo ulipoandika COUNTIF? Ili niweze kukuelekeza kadiri ya uhitaji

Asanthe sana Ethos
 
Kwanza nimefurahi sana umeweza kutumia VLOOKUP kupata bei ya TV hapo na bidhaa zingine big up sana mkuu...

Kuhusu swali lako labda ningependa kujua Unataka kupata nini hapo ulipoandika COUNTIF? Ili niweze kukuelekeza kadiri ya uhitaji
Mchele mkuu!!
 
Msaada wa jinsi ya kugrade matokeo na jinsi ya kuweka nafasi
 
Asante na Hongera kwa kuonesha bidii katika kujifunza
Kuhusu miezi andika JANUARY kwenye CELL ya kwanza halafu drag mpaka mwisho itakuletea mpamgaliao wote...

Andika =MAX(D5:16) itakuletea moja kwa moja amount kubwa yaani kuanzia D5 hadi D16 ndio kama unataka ikuletee amount ndogo basi unaandika =MIN(D5:16)
Simply andika =MAX(Range ya data)

Kuhusu faida ninaovoona hapo itakuwa ni sawa na kufanya RECEIPTS - PAYMENTS kwa hiyo andika =D19-K19 lakini kumbuka kiuhasibu hiyo siyo faida kamili tunaiita GROSS PROFIT kumbuka kuna gharama nyingine kama Usafiri, Kodi nk ndio upate faida kamili kwa hiyo zingatia hilo pia katika hesabu zako

Kuhusu kukupa maoni hapo tunaweza fanya conditional formatting ili faida ikupe rangi ya kijani na hasara iandike rangi nyekundu

Hii part mkuu bado asee nikiandika january hapo mwanzo thn niki drag cell inajirudia january mpka chini hivo inapoteza maana, na hapo kwenye MIN kama umenielewa vizuri mkuu nachoataka ni vipi nitaunda formular ambayo itanifanya niweze kutafuta MIN ambaye kwenye cell isisome ile no min bali usome mwezi ambao receipts zilikuwa min hyo ndo aim yangu mkuu.Naomba msaada wa hizo mambo muheshimiwa
 
Gurudumu linaendelea...

Nitajibu maswali yaliyo ulizwa hapo juu hivi pande...
 
Hii part mkuu bado asee nikiandika january hapo mwanzo thn niki drag cell inajirudia january mpka chini hivo inapoteza maana, na hapo kwenye MIN kama umenielewa vizuri mkuu nachoataka ni vipi nitaunda formular ambayo itanifanya niweze kutafuta MIN ambaye kwenye cell isisome ile no min bali usome mwezi ambao receipts zilikuwa min hyo ndo aim yangu mkuu.Naomba msaada wa hizo mambo muheshimiwa
Inategemea na version unayotumia..

Andika JANUARY then FEBRUARY halafu drag vibox vyote viwili Kwa pamoja
 
Hii part mkuu bado asee nikiandika january hapo mwanzo thn niki drag cell inajirudia january mpka chini hivo inapoteza maana, na hapo kwenye MIN kama umenielewa vizuri mkuu nachoataka ni vipi nitaunda formular ambayo itanifanya niweze kutafuta MIN ambaye kwenye cell isisome ile no min bali usome mwezi ambao receipts zilikuwa min hyo ndo aim yangu mkuu.Naomba msaada wa hizo mambo muheshimiwa
Swali la pili hapo kuna njia nyingi.. Labda nikuelekeze kwanza hii ya kutumia VLOOKUP maana nimeona kama umeielewa
 
Back
Top Bottom