Tupeane mbinu: Ni uwekezaji gani wa zao la kudumu ambalo nikilima linaweza kunipa kipato toshelezi?

minazi for how long chief?
Kwa Korosho kama mfukoni upo vizuri ningekushauri uwekeze kwenye zao Hilo,ila linagharama kulihudumia mpaka kipindi cha kuanza kuvuna, N,B ila usilime sehemu ambayo UPO peke Yako kwa zao Hilo, wekeza kuanzia mkoa wa pwani,Lindi,na Mtwara,kwa uzoefu wangu KWENYE zao hilo, nikutakie maono mema,ukishakuwa tayari Anza kutafuta mapori,fursa zingine utaziona ukishakuwa una ardhi ya kutosha,[emoji16]
 
Kwa mkoa wa kigoma lima parachichi
Hapo utapiga hela

Kuna jamaaa analima huko kakonko zaidi ya. Ekari 20 za parachichi anapiga hela noma
 
thanks chief
 
Korosho kwa sasa ni pasua kichwa! sisi tuliopo kwenye korosho tumekimbilia kwenye ufuta! na wengine wamefyeka mikorosho yote wamepanda miembe.
 
Nenda maeneo ya manyovu ( Munanila, mwayaya, nyakimue na muhinda) tafuta shamba si chini ya hekari 3 - 5 Lima ndizi na kahawa baada ya Miaka 3/2 utakuja kunishukuru
 
Kumbuka Kilimo ni Lifestyle; Ukipenda Kilimo na maisha ya Mkulima basi utakuwa umeshinda wala hautakosa kipato cha kujitosheleza...; Ila ukiingia sababu umeambiwa kinaweza kukulipa / kutajirika huenda ukaishia kwenye stress....

Hakuna kitu hakilipi kama kuna soko na kama soko unalo unalijua sio lazima uanzie kwenye kulima unaweza ukawa middleman
 
Korosho kwa sasa ni pasua kichwa! sisi tuliopo kwenye korosho tumekimbilia kwenye ufuta! na wengine wamefyeka mikorosho yote wamepanda miembe.
Na hili ndio linafanya watu waendelee kuwa Duni Ni vigumu kukimbizana na Soko cha kufanya wewe jikite kwenye unachofanya tengeneza contacts na wanunuzi long term wakiamini mzigo wako hata kama sio mwaka huu au mwaka kesho mwisho wa siku watakuja......

Ukifukuzana na Bei ya mwaka jana mwaka huu utajikuta unapishana na Bei - Watu walime wanacholima sehemu ambapo kinastawi na sio bei ya mwaka jana ilikuwaje...
 

[emoji419]
 
Enzi hizo nilikuwa nafikiri ukishapata kazi serikalini umetoboa. Kumbe kuna walioko humo wanatamani kuchomoka?
Inapidi ufanye comparison as opposed to who ? Serikalini kuna Security mtu akiishi within his means na hata akizeeka atakuwa pensionable sasa linganisha na mbangaizaji machinga kitaa ambaye anaamka asubuhi hajui kama atapata pesa za kula jioni na siku nguvu zikikata hana hata pension ya kununua panadol....

In short hali sio shwari na it's gonna get worse.... Serikalini kukosekana ajira zenye ujira zimeondoa kabisa middle income (na hawa katika jamii yenye ustawi inabidi wawe wengi)
 
Naweza kupata picha yake mkuu, nimezoea kulima kahawa ya kawaida
 
Hongera Kwa kuthubutu,hayo ni maamuzi magumu sana ,ujasiri mkubwa Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…