Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Kwa ukimyaa huu majina yanaweza toka mwez8 sasa sijui watakua walikua wana maana gan kutangaza izo ajira mapema tang mwez5!!πŸ€”
Watu wanaitwa kimya kimya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hivi majina ya kwenda kweny usaili yanaweza kutoka mwezi huu kweli maana sio kwa kimya hiki!
Kwa Mfano Intake Ya J3 Mchakato ulikuwa mrefu.... Ajira Zilitangazwa Mwezi Wa 12 Mwezi Wa 1 Katikati Hapo Usaili Kisha Post Za Awamu Ya Kwanza Kuitwa Kambini Zikatoka Mwezi Wa 4

SO MCHAKATO NI MREFU KIDOGO
 
Jamaa unawazaga negative sana aiseee nakuona toka mwanzo ahahahah
 
Matanga Mbushi alikupa chaka
Hapana Mimi sikupata ila niliwahi kuwalia pesa watu kama 15 kwa nyakati tofauti tofauti hivi ambao nilimpigia simu MATANGA akawa sajili jeshiniπŸ˜‚πŸ˜‚...!

Hao jamaa Hadi Leo ni maaskari mwenye cheo kidogo ni sergeant...mmoja amefariki mwanzoni mwa mwaka huu alikuwa anaitwa inspector NYOMBI {R.I.P}

Hao mamwamba niliwapiga pesa wakajiunga na POLISI Hadi Leo wanaamini kuwa Mimi ni mtu mwenye cheo kikubwa sana kumbe nilikuwa natumia fursa ya MATANGA MBUSHI


Mwaka juzi Kuna mmoja kati ya hao alikuwa yupo teyari anipe 4 milioni ili nimuunganishie ndugu yakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kama nilivyo muunganishia yeye na huyu jamaa ana nyota 2πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nikamwambia tuu ukweli hivi sasa uwezo huo Sina nipo nje ya system πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚​
 
bro unavyosema utadhani ni kweli. milioni nne kwa ajili ya upongo, na anayetaka kukupatia naye ni pongo hawa wa mishahara ya laki saba bado pancha kibaaaao!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…