Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Afande,umetisha
 
Mbona hayo mambo kama jkt tuu aiseee nahisi kwa sisi wa jkt hapo kinachoongezeka ni masomo tni

Mbona hayo mambo kama jkt tuu aiseee nahisi kwa sisi wa jkt hapo kinachoongezeka ni masomo tuu
IPO HIVI,SIKU ZOTE MAFUNZO YA UASKARI(POLISI/MAGEREZA/JWTZ/ZIMAMOTO) HUWA YANAFANANA KWA ROBO TATU.YAANI 70% NI YALE YALE.UKITOKA JKT UKAENDA CCP,KIWIRA,AU KIHANGAIKO AU MAFINGA UTAKUTA MIPANGILIO YA MAFUNZO NI YALE YALE NA VINAFANANA.DRILL KOTE ZIPO,DARASANI HATA JWTZ WANAKAA AMBAPO NDO KUSOMA KIUELEWA ZAIDI SIO NGUVU.KINACHOONGEZEKA HAPO NI ILEEEE ELIMU YA JESHI HUSIKA,YAANI MFANO POLISI UTAJIFUNZA CRIMES KAMA UKAMATAJI..KUPAMBANA NA UHALIFU UPELELEZI..USALAMA BARABARANI..,MAGEREZA UTAJIFUNZA KUTUNZA WAHALIFU TABIA ZAO NA NAMNA YA KUWAKABILI,SASA UKIJA NJE YA DARASA UTAONA KUNA MAMBO YA MEDANI ZA KIVITA AMBAYO JKT,MAGER, POLISI,NK WANAYAPITIA.
 
Mkuu wewe hapa ndo umeongea....
Maana kuna jamaa kaja kuongea mambo deep kihisia sana ety mara nidhamu mara jkt jau..

Yani jamaa ni kuponda jkt tuu
 
Yaaani kuhusu majina kutokea kwenye pdf Haina shida ila kutoboa kwenye interview ndo kipengere coz naskia apa kupita ni karibia wote walioomba Kwa usahihi issue kwenye interview tuuu
Hapo kwenye interview tutavunjana mbavu mpaka kieleweke
 
Au mkufunzi akufichie bunduki
 
Sasa ilo bogi si limeingia mwez wa12 sasa litatokaje mwezi huu? means yani wanatoka wamepiga kozi miez7!! Mbona kama sio kweli
Usiangalie bog limeingia muda gan asikudanganye mtu jeshini bog linaweza kupiga miez 9 lingne mwaka, lingne miez5 kulingana na uhitaji
 
Mbona kuna mishahara ya ajabu ajabu hivo..
Sasa mimi askari wa kawaidi si nitakua napata laki na nusu aisee
yaani mshahara wa msaidizi(superintendent) ndio unafikia private aa jwtz aisee ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ