Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu


Du, yaelekea huyo ticha alikuwa mkuda kama jina lake lilivyo--jina bayaaaaa!!! Hahahahahaha!!!!
 
Zuberi Hamisi aka Zediii.....Mbomayi Kati Primary School. Alikua anachapa km vile anampiga punda!
 
Ifakara high school kuna mwalimu alikua anaitwa NGUVU TGT daaah yule baba alikua chapombe afu alikua anapiga,nakumbuka tulikua tukienda shamba tunakoma 206_2008

Afu kuna huyu MAMA KAINJA mmmh huyu.mama kiukweli alikua na roho ya paka,roho mbayaaa, mnoko,akiongea anasisitiza,alikua anaogopeka kama chatu

Chuo kuna lecturer alikua anaitwa SAULE,mmh yani huyu anapenda kukomoa kwa maswalianapenda kumfanya mtu aone shule ngumu jamani
 

Hicho ndo wazazi wenu waliwatuma kufanya shule?
 
Adv. Old moshi kulikua na mwl. Machomeko
o.lvl. Forest hill kulikua na mwl. Manage
 
Mwalimu wangu wa somo la kingereza alikuwa anaitwa mwalimu Swiswi ni maremu sasa" alikuwa mnoko sana
 

dah aisee mnela mwana alikuwa kiboko,nakumbuka form one yangu nilitega paredi la asubuhi,nimetulia zangu azimio cell c,nikawa nacheki darini nawaambia masela hapa nikimsikia mnela napanda palee,ila namaliza tu mnela yuko mlangoni,daah nilichimba visiki wiki nzima karibu na masandube kule
 
shule ya msingi mapambano mwalimu mnoko Masilingi.
shule ya sekondari Al haramain mwalimu mnoko Ustadh Abdallah
Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…