Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

Aisee, kulikuwa na mmoja huyo alipata kuitwa Olengavuti Losujaki aka Chief (RIP) pande za Ilboru. Ni mmasai pekee mpaka sasa niliyemuoa akiwa na sauti ya bezi.

Aisee huyu jamaa ilikuwa usiombe ukutane ama upambanishwe naye kuwa umetenda kosa. Utaomba ardhi ipasuke.
 
musoma tech(alliance) kulikuwa na mwl.mikomangwa alikuwa ni noma.. lakini alikomeshwa baada kupigwa mimba mabinti zake wawili
Dah mkuu rolla, umenikumbusha mbali mikomangwa akikusonta na kale kakidole kake kalikopinda na kakidevu....ujue umepatwa siku hiyo. Discipline master
 

Ila nyie Mara sec mlikua manunda sana bila kama akina mwl Jigge mngewapanda kichwani
 
Alikua hakujui jina lakini anakusonta kukunyoshea kidole chake kile kilichopinda kama antena ya analogy tv
 
SINGE HIGH SCHOOL Babati kuna ticha alikuea anaitwa Njiku the animal a.k.a PANGEA alipewa hilo jina kutokana na kugawanyika meno yake kugawanyika [emoji23][emoji23][emoji23] aiseeh jomba alikuwa anababua asikutie kwenye 18 zake utajuta hajuagi mtu kujitetea aiseeh miaka ile tunasoma aliwai piga mtu mpaka akazimia.
 
Charles Lupemba enzi hizo Lutengano High school 2008-2010 alikuwa akikuona na demu aliyemkatalia atakuchafua assembly kuwa ni mshika mapembe,kwa sasa yuko songea st.patrick sijui nako anaendeleza ujinga huo
 
Man Shida na Kihongosi ni balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…