sylivester makongo
JF-Expert Member
- Jun 1, 2017
- 215
- 82
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mbwanji -Rungwe Boys noma sana na hakua mwalimu kamili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mbwanji -Rungwe Boys noma sana na hakua mwalimu kamili
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu kumbe umepita kwa huyuDr Elinami Minja wa UDBS,(UDSM)
Mrs Msela.... dadeki walahi, RIP
Forodhani Secondary!
Hahahaaaaa ulikuwa uakaa ujamaa nini? halafu unyamaunyama ni a.k.a jina lake silikumbukiMazengo kuna ticha alikuwa anaitwa Unyamaunyama dah huyu mnyakyusa alikuwa na mkwara sana
Mwaka gani hiiKabobe sabasaba sec mtwara ni balaaa bora ukutane na nyati
Miongoni mwa waamuzi wa mpira wa miguu A list hapa BongoHuyu jamaa ni mnoko hatari anaendana na jina lake... Alinifundisha maths alafu anapenda sana mpira wa miguu, ni mrefu hivi mwembamba.
Sijui kama amefariki, lakini kitendo cha kumchukia mtoto wa mwanamke mwingine kiasi hicho alafu ni mtoto wa kike ni laana kubwa mbele ya Mola! I'm sure atakuwa amekufa tu!Dah namkumbuka saaaana!sikuwa najua kama alifariki!!Madam Msela!My Dear Bwoiiiiii......floor ya Kwanza enzi hizo form 1 na form 2
Sijui kama amefariki, lakini kitendo cha kumchukia mtoto wa mwanamke mwingine kiasi hicho alafu ni mtoto wa kike ni laana kubwa mbele ya Mola! I'm sure atakuwa amekufa tu!
Uyu mdegela mwili wake mnene?Pale Tumaini Dar es Salaam, Department ya Masscom kuna kichaa mmoja anaitwa Mdegela [emoji23][emoji23] huyu jamaa aise ni mnoko Kama mwanamke alieachika na bwana wake.
umemsahau na MushiMwalimu JAy Jay pale Madenge Primary school(Temeke)Mikoroshini!!!Ukiingia adhabu zote za fimbo shule ilikuwa inampa yeye achapee!!!!
sishibi kwa nini? we umesoma ZEngo au unasema tu? mulize Mwigulu anajua mziki wa Unyama unyama, Makunja na yule ticha mgogo wa Physics dah nimemsahauHushibi ww
Suruali za modo, hujachomekea kesi nzito kwake.Huyu jamaa ni mnoko hatari anaendana na jina lake... Alinifundisha maths alafu anapenda sana mpira wa miguu, ni mrefu hivi mwembamba.