Malaika-Hakika
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 238
- 232
Kijazi Tanga Technical School,siwezi msahau huyu ikiwezekana akitokea mbele yangu nampanda na tairi aisee....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah!! Vipi Mkuu alikufanyia mbwayaeeee, umemsahau kale ka kiingilishi Lissu hahhaDr. Tibategeza SAUT -Tabora
Pale Old Moshi kulikuwa na kitu Rambau huyu jamaa mpaka tulimwita Snoop. Huyu jamaa alikuwa hatari sana.old moshi ticha anaitwa kinunda asee kwanza akiingia tu class unahisi kampuni ya fegi imeungua. Ila yuko deep sana kwenye math.
Huyu ndo alikuwa ticha wetu wa bweni pale kibo house Old Moshiukisikia KIMBI kimbia maana mziki wake utaucheza bila beat
Hahaha! Ni kweli kabisa mkuu, pale kulikuwa na manunda hatari. Bila shaka wewe ulikuwa Musoma Alliance au Mwembeni. Unakumbuka lile bifu kati ya Mara Sec na Musoma Alliance? Lile bifu ni la kihistoria....tulilikuta lakini hadi tunamaliza shule lile bifu tuliliacha na nafikiri linaendelea hadi leo....uadui wa milele!Ila nyie Mara sec mlikua manunda sana bila kama akina mwl Jigge mngewapanda kichwani
Jigge akifukuzwa kazi kwa sababu ya hizo adhabu zake za kipuuzi kwa wanafunzi....alisimama juu ya mgongo wa mwanafunzi; picha ilipotoka gazetini akafukuzwa kazi na kutimkia Mwembeni Sec.Ila nyie Mara sec mlikua manunda sana bila kama akina mwl Jigge mngewapanda kichwani
Hakumzidi Mwafu enzi zake kuna suti akivaa siku hiyo mjue kuna mtitiCharles Lupemba enzi hizo Lutengano High school 2008-2010 alikuwa akikuona na demu aliyemkatalia atakuchafua assembly kuwa ni mshika mapembe,kwa sasa yuko songea st.patrick sijui nako anaendeleza ujinga huo
Mm siyo yule wa Biolojia, mwembamba siku hizi yupo wizarani....da kama ni yeye huyo alikuwa nomaMwalimu Ambonisye a.k.a broo Amboo ...IYUNGA TECH.....huyuu ilkuwa ukiingiaa 18 zake lazma akupiege pa ..
kaka yule mkurya ni hatari haogopi chochote-kupigana ngumu na mwanafunzi ni kitu cha kawaida sana kwake.huyo muhuni ni habar nyingine kabisa wanafunz wa ndanda boys(ndanda jkt ) wamekuwa wapole kama wamemwagiwa maji ya baridi. miongon mwa event kubw aliyofanya ni kumfukuza mwanafunz ambaye alibakiza mitihan mi3 (PCM) kwa ajili ya wizi.