Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

Nyari wa shule ya msingi Kibaoni kule Boma wilaya ya Hai miaka ya mwishoni mwa tisini na 2001 nilihama shule ile. Alikuwa na mzuzu umesimama kidevuni, nahisi fimbo ndiyo ilikuwa mlo wake yule mwalimu
 
Kaishozi Dom. Sec huyu mzee alikuwa na uwezo wa kukukalili kisogo tuu akakutafuta na kukupata
 
old moshi ticha anaitwa kinunda asee kwanza akiingia tu class unahisi kampuni ya fegi imeungua. Ila yuko deep sana kwenye math.
Pale Old Moshi kulikuwa na kitu Rambau huyu jamaa mpaka tulimwita Snoop. Huyu jamaa alikuwa hatari sana.
 
Mlokozi mwalimu wa Azania dar es salaam alikuaa mnoko hasa ukutwe na kosaa halafuu ofisini mwakee utasikia livuta bangee mhayaa huyoi nisheeedaah
 
Ila nyie Mara sec mlikua manunda sana bila kama akina mwl Jigge mngewapanda kichwani
Hahaha! Ni kweli kabisa mkuu, pale kulikuwa na manunda hatari. Bila shaka wewe ulikuwa Musoma Alliance au Mwembeni. Unakumbuka lile bifu kati ya Mara Sec na Musoma Alliance? Lile bifu ni la kihistoria....tulilikuta lakini hadi tunamaliza shule lile bifu tuliliacha na nafikiri linaendelea hadi leo....uadui wa milele!
 
Ila nyie Mara sec mlikua manunda sana bila kama akina mwl Jigge mngewapanda kichwani
Jigge akifukuzwa kazi kwa sababu ya hizo adhabu zake za kipuuzi kwa wanafunzi....alisimama juu ya mgongo wa mwanafunzi; picha ilipotoka gazetini akafukuzwa kazi na kutimkia Mwembeni Sec.
 
Charles Lupemba enzi hizo Lutengano High school 2008-2010 alikuwa akikuona na demu aliyemkatalia atakuchafua assembly kuwa ni mshika mapembe,kwa sasa yuko songea st.patrick sijui nako anaendeleza ujinga huo
Hakumzidi Mwafu enzi zake kuna suti akivaa siku hiyo mjue kuna mtiti
 
huyo muhuni ni habar nyingine kabisa wanafunz wa ndanda boys(ndanda jkt ) wamekuwa wapole kama wamemwagiwa maji ya baridi. miongon mwa event kubw aliyofanya ni kumfukuza mwanafunz ambaye alibakiza mitihan mi3 (PCM) kwa ajili ya wizi.
kaka yule mkurya ni hatari haogopi chochote-kupigana ngumu na mwanafunzi ni kitu cha kawaida sana kwake.
 
Back
Top Bottom