Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Papaa mushipaa..tajiri ya mapesa😂😂Tajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Papaa mushipaa..tajiri ya mapesa😂😂Tajiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na Mimi[emoji1373][emoji1373]
Mutu ya watuPapaa mushipaa..tajiri ya mapesa[emoji23][emoji23]
Teach me to speak fluent English[emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Piga keleleeeee🔊🔊🔊🔊Mutu ya watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Piga keleleeeee[emoji344][emoji344][emoji344][emoji344]
hongera sana mkuu, ni wadada wachache sana hua wababe vipi bado unaendelea na ubabe au ushaachanilikua naitwa mjeda kwakua nilikua mbabe sana,
after uchaguzi ataanza rasmi mkuuMlete kwangu ni sehemu salama
dah! kumbe unabonge la chura mkuu?Mimi nilikuwa naitwa wa kunyewa,hapo tuanelewana kwa wale wapenda nnye
hongera mkuu nadhani nick name itakua inaakisi uhalisiaTajiri
Sawaafter uchaguzi ataanza rasmi mkuu
Tulia tulia mambo mazuri hayataki haraka[emoji1787]Teach me to speak fluent English[emoji4]
mkuu usisahau kusalimisha matunguli yote ili tujue upo serious na wokovuAmina mtumishi
itakua ushamkonyeza maana nae kagoma kusemaAki huyo atanisingzia tu, sio wa kumuamini
Hahaaa ila nmekumbuka kipindi cha nyuma baba yangu alikua anapenda sana kuniita mkungumuya, half too bad hata sikuwahigi kumuuliza maana yake ni nini so hata sikujua lina maana gani.itakua ushamkonyeza maana nae kagoma kusema