Tupia moja ya Mbinu wanayoitumia hasa Wake / Mademu za Watu wakijua Kesho wanaenda 'Kukusaliti' na Mwanaume Mwenzako....

Tupia moja ya Mbinu wanayoitumia hasa Wake / Mademu za Watu wakijua Kesho wanaenda 'Kukusaliti' na Mwanaume Mwenzako....

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Nizijuazo.....

1. Usiku ukirejea atakutafutia Kosa la Makusudi ili Mgombane na apate sababu ya Kukunyima Nyuchi yake.

2. Usiku atajifanya Kuumwa ghafla na hata Kulazimisha muende Hospitali ya Karibu ila Asubuhi atakupa Mrejesho kuwa anajisikia vizuri.

3. Ukiwa nae Unakula Sebuleni au Mnaangalia Runinga atampanga Shoga yake ajifanye anampigia Simu na kuna Jambo Muhimu na Kesho anatakiwa akamuone na hapo hapo atajifanya anakujali kwa Kukutajataja katika Mazungumzo yao ili akuteke Akili na uone anakujali na Kukuheshimu.

4. Mkienda Kulala kwa Makusudi utaona anatafuta Pedi na anavaa mbele yako huku akikudanganya kuwa anaona kama vile Tarehe zake zimebadilika hivyo anachukua Tahadhari mapema.

Niseme tu kwamba katika Kiumbe ambaye ni Mjanja na ana Akili na Mbinu Kubwa ya Kukuchenga Mwanaume ili akakusaliti ni Mwanamke na Wanaume hatuna uwezo wa Kuwadhibiti katika hili hivyo yatupasa tuwe Wapole na tukubaliane na Matokeo.

Akiwa ndani wako na nje wa Wote!!!!!
 
Niseme tuu hizo mbinu ni old school maana kwangu hazinizuii chochote...

Na kama mpaka leo unaogopa damu ya hedhi basi bado umelala...

Mimi mke wangu huwa namla mpaka siku ya mwisho ya mimba yake... Mimba 2 zilizopita ilihappen ivo, namla usiku kabla hatujalala kisha alfajiri anashikwa na uchungu anaenda kujifungua.
 
Niseme tuu hizo mbinu ni old school maana kwangu hazinizuii chochote...

Na kama mpaka leo unaogopa damu ya hedhi basi bado umelala...

Mimi mke wangu huwa namla mpaka siku ya mwisho ya mimba yake... Mimba 2 zilizopita ilihappen ivo, namla usiku kabla hatujalala kisha alfajiri anashikwa na uchungu anaenda kujifungua.
Na unamla kwenye hedhi pia?? Kuliwa akiwa mjamzito ni kawaida mno.
 
Nizijuazo.....

1. Usiku ukirejea atakutafutia Kosa la Makusudi ili Mgombane na apate sababu ya Kukunyima Nyuchi yake.

2. Usiku atajifanya Kuumwa ghafla na hata Kulazimisha muende Hospitali ya Karibu ila Asubuhi atakupa Mrejesho kuwa anajisikia vizuri.

3. Ukiwa nae Unakula Sebuleni au Mnaangalia Runinga atampanga Shoga yake ajifanye anampigia Simu na kuna Jambo Muhimu na Kesho anatakiwa akamuone na hapo hapo atajifanya anakujali kwa Kukutajataja katika Mazungumzo yao ili akuteke Akili na uone anakujali na Kukuheshimu.

4. Mkienda Kulala kwa Makusudi utaona anatafuta Pedi na anavaa mbele yako huku akikudanganya kuwa anaona kama vile Tarehe zake zimebadilika hivyo anachukua Tahadhari mapema.

Niseme tu kwamba katika Kiumbe ambaye ni Mjanja na ana Akili na Mbinu Kubwa ya Kukuchenga Mwanaume ili akakusaliti ni Mwanamke na Wanaume hatuna uwezo wa Kuwadhibiti katika hili hivyo yatupasa tuwe Wapole na tukubaliane na Matokeo.

Akiwa ndani wako na nje wa Wote!!!!!
Huyu atakuwa mwanamke wako tu!!
 
Back
Top Bottom