Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Kaz kwako na mwili wakoNdio maana na mimi huwa navuruga kwelikweli huko nje babake...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaz kwako na mwili wakoNdio maana na mimi huwa navuruga kwelikweli huko nje babake...
Eroo unakula mtu? SheeeNiseme tuu hizo mbinu ni old school maana kwangu hazinizuii chochote...
Na kama mpaka leo unaogopa damu ya hedhi basi bado umelala...
Mimi mke wangu huwa namla mpaka siku ya mwisho ya mimba yake... Mimba 2 zilizopita ilihappen ivo, namla usiku kabla hatujalala kisha alfajiri anashikwa na uchungu anaenda kujifungua.
Mkuu kuna watu wengine ni kama mafisi vile, yani hiyo harufu ndo inampa andasi zaidi....[emoji85][emoji85]Ile harufu tu
Daah mkuu umenitisha Sana....kwahiyo damu ya hedhi kwako unaona poa Tu....huyo aliyemuumba mwanadamu anasema...wanawake wakiwa ktk hedhi mjitenge nao kwani Hio hedhi ni uchafu...dah Jamani hivi huwa tunajizima data au ?Niseme tuu hizo mbinu ni old school maana kwangu hazinizuii chochote...
Na kama mpaka leo unaogopa damu ya hedhi basi bado umelala...
Mimi mke wangu huwa namla mpaka siku ya mwisho ya mimba yake... Mimba 2 zilizopita ilihappen ivo, namla usiku kabla hatujalala kisha alfajiri anashikwa na uchungu anaenda kujifungua.
Vijana wa siku hizi mbona mnazama chumvini na kwenye nnya za wanawake?Daah mkuu umenitisha Sana....kwahiyo damu ya hedhi kwako unaona poa Tu....huyo aliyemuumba mwanadamu anasema...wanawake wakiwa ktk hedhi mjitenge nao kwani Hio hedhi ni uchafu...dah Jamani hivi huwa tunajizima data au ?
Alikuambia lini na wapi kuwa hedhi ni uchafu?Daah mkuu umenitisha Sana....kwahiyo damu ya hedhi kwako unaona poa Tu....huyo aliyemuumba mwanadamu anasema...wanawake wakiwa ktk hedhi mjitenge nao kwani Hio hedhi ni uchafu...dah Jamani hivi huwa tunajizima data au ?
Hayo sitaki kuyazungumzia ingawa ni machafu vile vile....unajua maradhi mengi yanakaa kwenye damu au sio? Sisemi Kwa niaba ya mungu...Ila yeye alisema ni uchafu...naamini kabisa damu Ile inakuwa sio salama Kwa maana sio lazima isiwe na vvu au maradhi mengine yanayojulikana lkn Muumba wenu anajua kwanini anasema ni uchafuVijana wa siku hizi mbona mnazama chumvini na kwenye nnya za wanawake?
Mbona mnafanya uchafu zaidi ya hiko ninachofanya mimi....
Nina Mwana ( Rafiki ) Jina lake la mwanzo ni kama la Yule Comedian maarufu wa Kenya Yeye si tu analamba sehemu ya Haja Kubwa ya Demu wake wa Benki Moja ya Kishua bali anasema huwa anapanyonya na akinogewa hata kuyavuta Mavi yenyewe na kuyarudisha yanapokaa na huyo Demu hufurahi na anampenda Jamaa na kumpa Pesa atakazo na Duka Kubwa kamfungulia Sinza.Vijana wa siku hizi mbona mnazama chumvini na kwenye nnya za wanawake?
Mbona mnafanya uchafu zaidi ya hiko ninachofanya mimi....
فَاعْتَزِلُوا النِّسَاءَ فِي الْمَحِيضِ ۖ وَلَا تَقْرَبُوهُنَّ حَتَّىٰ يَطْهُرْنَ ۖ فَإِذَا تَطَهَّرْنَ فَأْتُوهُنَّ مِنْ حَيْثُ أَمَرَكُمُ اللَّهُ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ التَّوَّابِينَ وَيُحِبُّ الْمُتَطَهِّرِينَAlikuambia lini na wapi kuwa hedhi ni uchafu?
Acha kukaririshwa ujinga!
Hizo ni propaganda zilizoenezwa na waislam kuhalalisha manyanyaso kwa wanawake! Mungu hawezi kutoa amri ya kijinga kama hiyo wakati kuna wanawake ambao hedhi zao ni fupi (siku21) na yai lao la uzazi linatoka wakiwa kwenye hedhi. Kumbuka yeye ndiye aliyewaumba hawezi kufanya manyanyaso kwa viumbe wake!فَاعْتَزِلُوا النِّسَاءَ فِي الْمَحِيضِ ۖ وَلَا تَقْرَبُوهُنَّ حَتَّىٰ يَطْهُرْنَ ۖ فَإِذَا تَطَهَّرْنَ فَأْتُوهُنَّ مِنْ حَيْثُ أَمَرَكُمُ اللَّهُ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ التَّوَّابِينَ وَيُحِبُّ الْمُتَطَهِّرِينَ
Na wanakuuliza juu ya hedhi. Waambie, huo ni uchafu. Basi jitengeni na wanawake wakati wa hedhi. Wala msiwaingilie mpaka wat'ahirike. Wakisha t'ahirika basi waendeeni alivyo kuamrisheni Mwenyezi Mungu. Hakika
Hiyo ni Aya katika Qur'an...hata kama wewe si mwislamu lakini haufanyi ukweli kuwa uwongo
Huwa sibishani na wavulana!Hizo ni propaganda zilizoenezwa na waislam kuhalalisha manyanyaso kwa wanawake! Mungu hawezi kutoa amri ya kijinga kama hiyo wakati kuna wanawake ambao hedhi zao ni fupi (siku21) na yai lao la uzazi linatoka wakiwa kwenye hedhi. Kumbuka yeye ndiye aliyewaumba hawezi kufanya manyanyaso kwa viumbe wake!
Huna unachojua zaidi ya kukariri!Huwa sibishani na wavulana!
19 “ ‘Ikiwa mwanamke atatokwa na damu ya kawaida ya mwezi, atakuwa najisi kwa siku saba, na yeyote atakayemgusa atakuwa najisi mpaka jioni.Huna unachojua zaidi ya kukariri!
Kwa taarifa yako yote uliyoyanakili hapo hayajawahi kufuatwa wala kuzingatiwa na wakristo na ndiyo sababu wanayaita agano la kale!19 “ ‘Ikiwa mwanamke atatokwa na damu ya kawaida ya mwezi, atakuwa najisi kwa siku saba, na yeyote atakayemgusa atakuwa najisi mpaka jioni.
20“ ‘Chochote atakacholalia wakati wake wa hedhi kitakuwa najisi, na chochote atakachokikalia kitakuwa najisi. 21Yeyote atakayegusa kitanda chake ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni. 22Yeyote atakayegusa chochote atakachokalia ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni. 23Kiwe ni kitanda ama chochote alichokuwa amekikalia, ikiwa mtu yeyote atakigusa, atakuwa najisi mpaka jioni.
24 “ ‘Ikiwa mwanaume atalala naye na ile damu ya mwezi ikamgusa, atakuwa najisi kwa siku saba; kitanda chochote atakachokilalia huyo mwanaume kitakuwa najisi.
25 “ ‘Ikiwa mwanamke atatokwa na damu kwa siku nyingi zaidi ya siku zake za mwezi, au amekuwa na damu inayoendelea zaidi ya kipindi chake, atakuwa najisi kwa kipindi chote cha shida hiyo, kama ilivyokuwa katika siku za hedhi yake. 26Kitanda chochote atakachokilalia huyo mwanamke wakati anaendelea kutokwa na damu kitakuwa najisi, kama kilivyokuwa kitanda chake wakati wa siku zake za hedhi, na chochote atakachokalia kitakuwa najisi, kama wakati wake wa hedhi. 27Yeyote agusaye vitu hivyo atakuwa najisi; ni lazima afue nguo zake na kuoga kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
28“ ‘Wakati atakapotakasika kutoka hedhi yake, ni lazima ahesabu siku saba, na baada ya hapo atakuwa safi kwa kawaida ya ibada. 29Siku ya nane ni lazima achukue hua wawili au makinda mawili ya njiwa, na kumletea kuhani kwenye mlango wa Hema la Kukutania. 30Kuhani atatoa dhabihu, mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na huyo mwingine kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Kwa njia hii, atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za Bwana kwa sababu ya unajisi wa kutokwa damu kwake.
31 “ ‘Ni lazima uwatenge Waisraeli kutokana na vitu ambavyo vinawafanya najisi, ili wasife katika unajisi wao kwa kunajisi makao yangu, ambayo yapo katikati yao.’ ”
32Haya ni masharti kwa ajili ya mtu mwenye kutokwa na usaha, kwa ajili ya yeyote atakayetokwa na shahawa, 33kwa ajili ya mwanamke katika siku zake za hedhi, kwa ajili ya mwanaume au mwanamke atokwaye na usaha, na kwa ajili ya mwanaume alalaye na mwanamke ambaye ni najisi kwa kawaida ya ibada
Hiyo ni Walawi 15:32
Je unasemaje hapo
Ndio maana nasema huwa sibishani na wavulana....kama hamfuati ni tatizo lenu sio kutafuta sababu sijui agano la kale au jipya .....upumbavu mtupu.Kwa taarifa yako yote uliyoyanakili hapo hayajawahi kufuatwa wala kuzingatiwa na wakristo na ndiyo sababu wanayaita agano la kale!
Kwa kifupi wakristo wanatii na kuzingatia mambo machache sana katika agano la kale! Kuna wachache wanajifanya kuyafuata mfano wasabato kutokula nguruwe na samaki wasio na magamba lakini wamefeli kwa mengi
Ndiyo sababu nikasema umekaririshwa ujinga! Hizi ni zama za sayansi na teknolojia hatuwezi kuendelea kuaminishwa ujinga wakati ukweli tunauona!Ndio maana nasema huwa sibishani na wavulana....kama hamfuati ni tatizo lenu sio kutafuta sababu sijui agano la kale au jipya .....upumbavu mtupu.
Mbona Qur'an ndio Kitabu cha Mwisho na Mwenyezi Mungu amesema usemi ule ule kuwa hedhi ni uchafu.
Naweza weka ligi na wewe kukuonyesha kuwa Yesu alisema hakuja kufuata hata nukta moja ya torati na nikakupa na mistari kabisa.
Sina Mda Tu WA kubishana na wewe...Mimi nimemaliza.
Mvulana atabakia kuwa mvulana Tu...usiku mwema nawe piaNdiyo sababu nikasema umekaririshwa ujinga! Hizi ni zama za sayansi na teknolojia hatuwezi kuendelea kuaminishwa ujinga wakati ukweli tunauona!
Usiku mwema!
Hicho kitabu kimejaa sheria zinahusu wanawake tu19 “ ‘Ikiwa mwanamke atatokwa na damu ya kawaida ya mwezi, atakuwa najisi kwa siku saba, na yeyote atakayemgusa atakuwa najisi mpaka jioni.
20“ ‘Chochote atakacholalia wakati wake wa hedhi kitakuwa najisi, na chochote atakachokikalia kitakuwa najisi. 21Yeyote atakayegusa kitanda chake ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni. 22Yeyote atakayegusa chochote atakachokalia ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni. 23Kiwe ni kitanda ama chochote alichokuwa amekikalia, ikiwa mtu yeyote atakigusa, atakuwa najisi mpaka jioni.
24 “ ‘Ikiwa mwanaume atalala naye na ile damu ya mwezi ikamgusa, atakuwa najisi kwa siku saba; kitanda chochote atakachokilalia huyo mwanaume kitakuwa najisi.
25 “ ‘Ikiwa mwanamke atatokwa na damu kwa siku nyingi zaidi ya siku zake za mwezi, au amekuwa na damu inayoendelea zaidi ya kipindi chake, atakuwa najisi kwa kipindi chote cha shida hiyo, kama ilivyokuwa katika siku za hedhi yake. 26Kitanda chochote atakachokilalia huyo mwanamke wakati anaendelea kutokwa na damu kitakuwa najisi, kama kilivyokuwa kitanda chake wakati wa siku zake za hedhi, na chochote atakachokalia kitakuwa najisi, kama wakati wake wa hedhi. 27Yeyote agusaye vitu hivyo atakuwa najisi; ni lazima afue nguo zake na kuoga kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
28“ ‘Wakati atakapotakasika kutoka hedhi yake, ni lazima ahesabu siku saba, na baada ya hapo atakuwa safi kwa kawaida ya ibada. 29Siku ya nane ni lazima achukue hua wawili au makinda mawili ya njiwa, na kumletea kuhani kwenye mlango wa Hema la Kukutania. 30Kuhani atatoa dhabihu, mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na huyo mwingine kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Kwa njia hii, atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za Bwana kwa sababu ya unajisi wa kutokwa damu kwake.
31 “ ‘Ni lazima uwatenge Waisraeli kutokana na vitu ambavyo vinawafanya najisi, ili wasife katika unajisi wao kwa kunajisi makao yangu, ambayo yapo katikati yao.’ ”
32Haya ni masharti kwa ajili ya mtu mwenye kutokwa na usaha, kwa ajili ya yeyote atakayetokwa na shahawa, 33kwa ajili ya mwanamke katika siku zake za hedhi, kwa ajili ya mwanaume au mwanamke atokwaye na usaha, na kwa ajili ya mwanaume alalaye na mwanamke ambaye ni najisi kwa kawaida ya ibada
Hiyo ni Walawi 15:19-32
Je unasemaje hapo
Sory sijui unamaanisha niniHicho kitabu kimejaa sheria zinahusu wanawake tu