Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.

Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.

Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.

Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇
Kwani wenyewe wapo wapi hata tuwapigie kura🤗.Basii tupiaamoo tupicha twao,tupigemo kura🫠
 
Kwani wenyewe wapo wapi hata tuwapigie kura🤗.Basii tupiaamoo tupicha twao,tupigemo kura🫠
IMG-20240627-WA0004.jpg
 
😂Hawa wangekua wanajuana siri zao ugomvi ungenoga na mods wameharibu kugawa ban najua tu Vincenzo Jr alishiriki kureport kwa mods
Eti kanifata 😂😂🤣😂🤣 mjinga huwa hajibiwi. Ukigombana na kichaa, wote mnaonekana vichaa.
Yes wasingepewa ban, hawajui wanachangamsha jukwaa. Maana ni mambo ya picha tu sijui za kudownload 😆😆😆😆
 
Eti kanifata 😂😂🤣😂🤣 mjinga huwa hajibiwi. Ukigombana na kichaa, wote mnaonekana vichaa.
Yes wasingepewa ban, hawajui wanachangamsha jukwaa. Maana ni mambo ya picha tu sijui za kudownload 😆😆😆😆
Wasingepewa ban kwasababu wote walikua tayari kwa ugomvi, pande mbili zilikubaliana kugombana

Ban zitolewe kwa wale ambao wanaforce ugomvi kwa wengine😂
 
Humu tatizo watoto wengi Mimi humu nipo Toka 2011 humu wengi hawajui kutumia jf kazi kutukana tu
Na wewe ukiwemo😂
Wewe hutukani ila una mafumbo yanayokera, kipindi kile unagombana na intelligent kila muda unamtupia mafumbo ulikua unaniudhiii ila nikaona nikikwambia utanijumlisha humohumo nikakaa kimya😂
 
Back
Top Bottom