Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
๐๐๐๐๐๐ Hapana wewe ni rafiki yangu mpendwaNa wewe ukiwemo๐
Wewe hutukani ila una mafumbo yanayokera, kipindi kile unagombana na intelligent kila muda unamtupia mafumbo ulikua unaniudhiii ila nikaona nikikwambia utanijumlisha humohumo nikakaa kimya๐
Tena aje hapa, yale mafumbo yao hawa watoto wa kiume hawa. Nilikuwa siwaelewi, maana chanzo kilikuwa nini? Na mwenzake sijui kaishia wapi tena.Na wewe ukiwemo๐
Wewe hutukani ila una mafumbo yanayokera, kipindi kile unagombana na intelligent kila muda unamtupia mafumbo ulikua unaniudhiii ila nikaona nikikwambia utanijumlisha humohumo nikakaa kimya๐
Intelligent alikua ni rafiki yako kipenzii na ukamgeuka sembuse mimi huku Lindi๐๐๐๐๐๐ Hapana wewe ni rafiki yangu mpendwa
Yule sio rafiki yanguIntelligent alikua ni rafiki yako kipenzii na ukamgeuka sembuse mimi huku Lindi
Intelligent kajipa likizo ya muda! Yale mafumbo ya vincenzor itakua yalimvunja moyoTena aje hapa, yale mafumbo yao hawa watoto wa kiume hawa. Nilikuwa siwaelewi, maana chanzo kilikuwa nini? Na mwenzake sijui kaishia wapi tena.
Dah๐Yule sio rafiki yangu
Dah masikini, ukute kweli. Ila kuoumzika kafanya jambo jema. Afya ya akili ni muhimu kufatilia. Humu unaweza kuwehushwa na ID fake.Intelligent kajipa likizo ya muda! Yale mafumbo ya vincenzor itakua yalimvunja moyo
Selikavu intelligent atarudi lini?
Mimi simjui yuleDah๐
Ni kweli! Hatujuani lakini unaweza ukapigwa tukio ukaichukia jf nzima na vitongoji vyakeDah masikini, ukute kweli. Ila kuoumzika kafanya jambo jema. Afya ya akili ni muhimu kufatilia. Humu unaweza kuwehushwa na ID fake.
Vibaya hivyo!Mimi simjui yule
Sana, Mwenyezi Mungu, amsaidie huko alipo awe sawa.Ni kweli! Hatujuani lakini unaweza ukapigwa tukio ukaichukia jf nzima na vitongoji vyake
Mpende rafiki yako yoyote๐๐Vibaya hivyo!
Unapomtendea mwenzako ubaya jua na wewe utalipwa! Hata ikipita miaka 100
InshallahSana, Mwenyezi Mungu, amsaidie huko alipo awe sawa.
๐๐๐๐ฅธ๐๐ค๐ช๐ผ๐โค๏ธโ๐ผWakiingilia wanaumbuka watuache
Wote tukiwa serious JF haiwezi kusonga Genge lazima lichangamke sio Genge zima limejaa nazi tupu au Genge zima limejaa ndimu tu hilo sio GengeHumu tatizo watoto wengi Mimi humu nipo Toka 2011 humu wengi hawajui kutumia jf kazi kutukana tu
NimekuulizaWote tukiwa serious JF haiwezi kusonga Genge lazima lichangamke sio Genge zima limejaa nazi tupu au Genge zima limejaa ndimu tu hilo sio Genge
Unajisifu ujinga Gen Z eti 2000 na 11 na tuliokuwepo tangu JF inaitwa Jambo Forum tusemeje?Nimekuuliza