Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Nikipiga kura kuwa wadada wote ni smart , itakua imeharibika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you big brother Loading failed 🥰👊👊Leejay49 brandina financial services Ms eyes To yeye
Hawa mademu wako smart sana mpaka sauti zao zimepangilika na wenye busara mno.
Unique Flower yupo pouwa isipokua anajaziba wakati mwingine na hii akipata mwanaume mkorofi naona atakua wife material moja kwa moja
I miss You
Tupe maana ya urembo maana kwanaa hata hips zao hatuzijuiNdugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.
Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.
Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.
Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇
Nikikutaja kwenye hiyo elfu 10 utanipa sh ngap jirani ?Alete kabla hater’s hawajatia timu 😂😂😂
I don't why siku zote najuaga ni meThank you big brother Loading failed [emoji3059][emoji109][emoji109]
Hii ... bado ipogo humu jukwaan?Cute wife 🤩
Thank you so much dear😘Leejay49 brandina financial services Ms eyes To yeye
Hawa mademu wako smart sana mpaka sauti zao zimepangilika na wenye busara mno.
Unique Flower yupo pouwa isipokua anajaziba wakati mwingine na hii akipata mwanaume mkorofi naona atakua wife material moja kwa moja
Pole sana aisee.. Am a girl and proud ☺️☺️I don't why siku zote najuaga ni me