Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks.Pole sana aisee.. Am a girl and proud [emoji3526][emoji3526]
Barikiwa sana kiongozi 🙏Thanks.
So sorry.
Asante sana Mkuu, I’m humble you know! 😅😅Wapo wengi sana pongezi ziende kwao kulingana na michango yao humu jukwaani.
Kwenye list yangu kwa uchangiaji mzuri na wenye tija wapo wengi wanajitahidi sana ila kwa upande wangu namba moja ni binti kiziwi .
Chukua maua yako mama 💐🌺 unastahili, michango yako huwa imenyooka kuliko rula.
Una madini sana hasa kwenye malezi.Asante sana Mkuu, I’m humble you know! 😅😅
Napokea maua. 😊
Dah bro mi ni mwanaume
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah bro mi ni mwanaume
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Katika hao uliowataja hapo kuna wanaume kadhaa nawajua.
Kumbe huyu chizi ni manziMpwayungu village
Mambo vipi Dejane? Mafuriko hayajakugusa huko?😊Comment za humu zinachekesha sanaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema kweliii?Cocasti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaweza kuwa smart ila sio mrembo. Huyo yupo ila simtaji.
Anaweza kuwa mrembo ila sio smart. Pia yupo sitamtaja.
Anavyote ni mrembo na smart ila ana arrogance (kiburi) fulani hivi. Huyu nitamtaja ngoja narudi.