General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.
Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.
Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.
Twende kaziβ¦..
ππππππ
Sijawahi kumuona ila na hisi atakuwa Pisi ya kwenda Fainancial
By profession auMimi ni mwalimu ujue!
Ndio mkuu, japo nilishawahama.By profession au
Walimu ni walezi wazuri sana basi ndio maana uko na ushauri mzuriNdio mkuu, japo nilishawahama.
Asante rafiki, umlete mwanao nimlee πWalimu ni walezi wazuri sana basi ndio maana uko na ushauri mzuri
Yaani hiyo avatar yake kuna mtu nilikutana naye hivyo hivyo kama ktk avatar one day ubungo maji akiwa ktk boda boda mi Niko ktk mwendo Kasi. Alivaa gauni refu na kilemba kama Cha wale madada ktk matangazo ya kujifunza sijui darasa la urembo. Rangi ni hiyo hiyo ya Mtume udonho wa maka. Niliamini yule ni Nifer na haya maelezo yako naona ni kweli alikuwa yeye.NIlimuona Nifah ni mzuri sanaa Aisee
Rangi ya mtume
Ntamleta kwa kweli napenda, wanao wanafaidi sana.Asante rafiki, umlete mwanao nimlee π
Kawaida tu, unasahau mimi ni muafrika? πNtamleta kwa kweli napenda, wanao wanafaidi sana.
Ewaaaa!financial services [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji736]
Uko sahihi kabisa, nishamuona mara kadhaa viwanja vya Mbeya, yuko smart pia.
Kumbe mnawajua ? Ndio maana mnawasifuUko sahihi kabisa, nishamuona mara kadhaa viwanja vya Mbeya, yuko smart pia.
Yeye hanifahamu kwa hii IDKumbe mnawajua ? Ndio maana mnawasifu
Simjui hata mmojaNdugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.
Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.
Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.
Twende kaziβ¦..
ππππππ
Umechanganya madesa;Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.
Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.
Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.
Twende kaziβ¦..
ππππππ