Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.

Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.

Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.

Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇

Sijawahi kumuona ila na hisi atakuwa Pisi ya kwenda Fainancial
 
NIlimuona Nifah ni mzuri sanaa Aisee
Rangi ya mtume
Yaani hiyo avatar yake kuna mtu nilikutana naye hivyo hivyo kama ktk avatar one day ubungo maji akiwa ktk boda boda mi Niko ktk mwendo Kasi. Alivaa gauni refu na kilemba kama Cha wale madada ktk matangazo ya kujifunza sijui darasa la urembo. Rangi ni hiyo hiyo ya Mtume udonho wa maka. Niliamini yule ni Nifer na haya maelezo yako naona ni kweli alikuwa yeye.
 
Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.

Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.

Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.

Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇
Simjui hata mmoja
 
Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.

Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.

Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.

Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇
Umechanganya madesa;
1. Smart sio lazima awe mrembo
2. Mrembo huwezi kumtambua kwa komenti.

Huu uzi ni batili
 
Back
Top Bottom