Hata hivo hamna mwanaume hapo😂😂sasa mwanaume anaonaje wivu kisa nimesifiwa ni mzuri, anatamani angekuwa yeye eti. Ila simlaumu maybe I am so cute that it’s hard to believe au nasema uongo babe
Its Pancho?
Yaani huyo nilimpa emotional damage ni lazima aruke ruke kama popcorn 🍿. Sidhani pia kama anapata hata muda wa kufanya mapenzi maana akilala ni Hannah akiamka ni Hannah na muda wa kufanya mapenzi ndio anautumia kuja kujamba jamba huku si unaona hata hiyo comment ni ya saa ngapi….. usiku wa manane while I was busy giving my husband “head “😂😂😂