Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

🤣🤣🤣 hivi una cha kutapeliwa? Hebu walete hao ambao niliwahi kuwatepeli basi!!
Nimemtapeli Kantry sababu anavyo vya kutapeliwa!! Ww choka mbaya nani akusogelee akutapeli?! Emu kwanza njoo na id yako ile nyingine ili tuelewane achana na hii kipwinte mzee wewe
Cha kumtapeli labda umtapeli kadi ya ccm tu asubuhi mpaka jioni mnashinda mnapiga kampeni
I wonder mnakula nini maskini
 
Uzuri hakuna aliyeingia cha kike ukaishia kumtapeli huyo bwege mwenzio hapo washamba wawili mmekutana maskini, sijui mliokotana wapi? Usukumani ama?

Poor
Ww bado hujanijibu, ww ni mwanaume. Mtu anakutania vipi baby mara mpenzi alafu unaridhika kweli, huoni kama ni ujinga huo?

Anakufanya ndondocha na ww unaitikia tu "baby"
 
Cha kumtapeli labda umtapeli kadi ya ccm tu asubuhi mpaka jioni mnashinda mnapiga kampeni
I wonder mnakula nini maskini
Pole sana hunijui tatizo, sasa mtu mpk anamiliki kadi ya CCM huyo unaweza kujilinganisha naye?! Ana uhakika wa mlo, kazi kwako unayemiliki pombooo zito km jiwe la mtoni na kadi yako ya MCT ya kuchukulia dawa za kupunguza makali ya VVU
 
Inasikitisha sasa na wewe ni mama au baba?
Umeikana jinsia yako eti na nyie mna familia
Bora ata baba yako angezaa mkungu wa ndizi kuliko wewe

Anyway kwaherini nyie madume mawili mliooana na nawatakia kila kheri kwenye kuzaa mtoto wenu kupitia haja kubwa

Byeee
Nakupa na mm ushauri, usikubali mwanamke afanye huo utani kwako. We ni mwanaume na naamini upo active unafanya fanya kazi na unapeleka Moto

Kataa huo utani, huyo anakuchukulia poa alafu na ww unakubali.
 
Pole sana hunijui tatizo, sasa mtu mpk anamiliki kadi ya CCM huyo unaweza kujilinganisha naye?! Ana uhakika wa mlo, kazi kwako unayemiliki pombooo zito km jiwe la mtoni na kadi yako ya MCT ya kuchukulia dawa za kupunguza makali ya VVU

Ni jinga hilo linakutaka linashindwa kkus

Hivi mtu unakubali vipi kufanywa kama anavyifanyiwa huyu jamaa

Hannah hiyo tabia acha, hapo unamdhalilisha huyo jamaa sema yeye kama boya hivi anaona raha ukimuita baby

Kuna watu ni wajinga sana
Mzee country acha nikwambie ukweli
Huyo mwenzio anabadili I'd kila siku mwanzo alikuwa anajiita katoto kazuri muulize alikuja pm kwangu kufanyeje? Kiufupi mkeo alikuwa ananitongoza mpaka picha yake ninayo sema tu niiweke hapa

Mimi nakusitikia sana bro utakuwa umepata kaswende kapime kaka huyo mwanamke umeyakanyaga use unauliza wajanja tukwambie ndugu
Niko hapa .

Byee
 
Mzee country acha nikwambie ukweli
Huyo mwenzio anabadili I'd kila siku mwanzo alikuwa anajiita katoto kazuri muulize alikuja pm kwangu kufanyeje? Kiufupi mkeo alikuwa ananitongoza mpaka picha yake ninayo sema tu niiweke hapa

Mimi nakusitikia sana bro utakuwa umepata kaswende kapime kaka huyo mwanamke umeyakanyaga use unauliza wajanja tukwambie ndugu
Niko hapa .

Byee
Unaona ulivyo sasa, kwa hiyo sio dume?

Turudi hapo alipokua anakutongoza, ulikubali au ulikataa? Kama ulikataa au ulikubali basi hakuna shida, mwanamke yoyote akiwa na hamu hutafuta namna yoyote kumaliziwa hamu zake
Kama hukuzimaliza sawa alitafuta wengine, Kama ulimaliza basi nakuoa pongezi kwa hili.

Turudi kwenye hili la hannah, unakubali vipi huyu mjinga mmoja Hannah anakufanya ndondocha? Huoni anakudharau?
 
Mzee country acha nikwambie ukweli
Huyo mwenzio anabadili I'd kila siku mwanzo alikuwa anajiita katoto kazuri muulize alikuja pm kwangu kufanyeje? Kiufupi mkeo alikuwa ananitongoza mpaka picha yake ninayo sema tu niiweke hapa

Mimi nakusitikia sana bro utakuwa umepata kaswende kapime kaka huyo mwanamke umeyakanyaga use unauliza wajanja tukwambie ndugu
Niko hapa .

Byee
Mimi nikutongeze wewe?! Una kipi?! Una maajabu yapi?!! Halafu unajisahulisha?! Si umesema mi dume?! Hebu zina PANCHA kwanza halafu uje na hiyo pic sawa?!!
Huna picha yangu yoyote zaidi utakuwa umeibeba selfika ngadu wewe?! Unafikiri me ni cheap bit*hes mliozoea kupandana hovyo hovyo
 
PANCHA andika uko na adui mpya kokote nikikukuta nakuwashia mwenge, kabila langu tunauza ng’ombe kwa kesi ya kuku upo?!!! Its Pancho umeyakanyaga hili jeshi la mtu mmoja, wanaume wenye upupu kwenye pancha zenu km wewe nawapenda sana kufanya nao ligi. Jiandae
Humu hakuna Mwanamke smart 98% ni wahuni wahuni tu, ukiondoka 2% ambao ni very decent na wanafahamika wengine wote tena wanaotajwatajwa sana ni wahuni wahuni tu
 
Unaona ulivyo sasa, kwa hiyo sio dume?

Turudi hapo alipokua anakutongoza, ulikubali au ulikataa? Kama ulikataa au ulikubali basi hakuna shida, mwanamke yoyote akiwa na hamu hutafuta namna yoyote kumaliziwa hamu zake
Kama hukuzimaliza sawa alitafuta wengine, Kama ulimaliza basi nakuoa pongezi kwa hili.

Turudi kwenye hili la hannah, unakubali vipi huyu mjinga mmoja Hannah anakufanya ndondocha? Huoni anakudharau?
Huyo kashavurugwa hajui anasimamia kipi?!! Halafu nimtongoze wa nini?! Kwanza leo ndio namuona hapa hata id yake hii ya PANCHA sijawahi kuiona jf. Hebu aje na id yake nyingine tuliyowahi kukwaana ili twende sawa
 
Back
Top Bottom