Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@Evelyn SaltNdugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.
Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.
Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.
Twende kazi…..
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Usiombee hvy tunataka kuona mwaka unaishaje.Huu uzi unaweza usiwe na maisha marefu.
Hidden msg detectedIkifika zamu ya kutaja wanaume Smart msisahau kunitag
Hatari sanaDah bro mi ni mwanaume
Oya sponsor wa visungura una yumba😂🤣🤣🤣Dah bro mi ni mwanaume
Sky EclatNdugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.
Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.
Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.
Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇
Madam speaker.Spika ikimaanisha?
Dah leo Ume ongea point, acha nimu ite best ako cocastic aone🤔🙄.ila wizo unamtetea sana mmeo kantri, hata akivurunda unamkingia kifua SIJAPENTAA
Oyaa cocastic ona maajabu 😃😀🤔We DC una gubu sana! Ndo shida ya maandunje.
Hebu muache binti wa watu kabla sijakushughulikia.
Shukran, nilikumiss mzima wewe?