Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

kwani tabora wapo waisilamu peke yake?taja mkoa wilaya au kijiji wakirisito au kanisa walipo jenga shule maji hosipitali barabala kisha watu wakawa wananufaika ukiweza taja vijiji waakoishi wakirito tu
Ukifika maeneo walifikia wamisheni wa Kikristo kuna maendeleo mazuri kupita maeneo walikofikia Waarabu Waislamu.
Walijenga Hospitali Vyuo na Secondali kwa ajiri ya wananchi wa pale.

Waarabu wao walijaza Musikiti tu basi.
Mfano Ndanda, Lituhi, Peramiho, huko kusini.
 
Huwa nawaambia vijana KUWA msipotoshwe na waarabu KWA kushika Dini wakati wao wanashika uchumi na huo uislamu umebaki kama utamaduni siyo dini tena kwao!

Nawaambia wakati nyie masikini mmekalia elimu akhera wenzenu wanakomaa na elimu za computer,udaktari,geology,Biashara na no na KUWA matajiri!!

Pole VIJANA!
 
Uislamu unaongoza kwa maendeleo ?

1.Taja idadi ya vyuo vikuu vya kiislamu hapa Tz.
vio vilivio jengwa na makanisa ndio ni vingi vina faida gani hasa kwa nyiyi wakirito? unaweza nitajia wakiristo wanao soma bule au kutibiwa ? je unajua kuwa serikali inawapa ruzuku kutoka kwenye kodi yetu? unasifia mali za watu ambazo azikusaidii wewe wala ndugu zako,hapa nikipo ni songea natoka nyasa walipo wakirito wengi nilicho kiona huku ni makanisa tu kazi yake kubwa kuwapola hela wakirito wenzao wasio jitambua lakini wakirito wengiwao huku wamepauka haswa ukirisito hauna faida katika jamii tufaoti na unyonyaji
 
Jamaa kwa misikiti wana bidii kiukweli. Kitaani kwetu misikiti ipo minne. Ya maskini waafrika upo wanapaita Kibrateni, waarabu nao wanao wa kwao mzuri kuliko Kibrateni. Afu kuna wa wapemba wanavaa suruali "njiwa" nao wameujenga siku sio nyingi. Walinunua nyumba mbili kibabe wakazivunja kujenga msikiti.
Pembeni ya msikiti kulikuwa bar wakanunua nyumba kibabe wakavunja wakajenga madrasa humo watoto wanajifungia na wengine hatujuagi wanapotoka waanaishi hapo hapo na Mwalimu wao. Kuna fimbo balaa hapo madrasa, watoto wanakula bakora hataree.
Wajenge ila waache ubaguzi kwenye misikiti. Maskini waafrika wanasali Kibra, Matajiri wanasali "Msikiti wa waarabu" wale wenye imani kali wana msikiti wao.
 
Pamoja ya yesu kuwa muisrael ila dini yenu imetokea Italy na uingereza sio Israel .


Nyie ni matapeli taasisi za wazungu kijana fanya kutubu acha kufuata wazungu
 
Kuna kijiji chaitwa Njopeka kiko kati ya Jaribu na Mkiu.
Kiko karibu na Kiwanda cha Vigae na Vioo

Ile sehemu misikiti ni mingi sana, wenyeji hawataki pale pajengwe guest house kwamba zitasababisha uzinzi eneo hilo, hiyo yafanya watu walale jaribu au mkiu au kimanzi
 
Vyuo local sana hivyo

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Wasiowaislam wanajenga hospital za kuhudumia watu wote wewe unasema za kuhudumia waislam...Hamuwezi kufanikiwa kwa mawazo hayo

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
First priority ya Muislam ni Muislam mwenzake popote pale na ktk hali yoyote ile.

Muislam mkiwa ktk hatari wewe na Muislam mwenzake hata kama wewe upo karibu yake na ni rahisi zaidi kwa wewe kuokolewa itambidi kwanza aende kwa yule hata kama nafasi ya yeye kuokolewa ni ndogo ajaribu akishindwa ndiyo akurudie.

Upendo wanaousema ni baina yao wao kwa wao usiyekuwa muislam silimu kwanza ndo na wewe wakujali.
 
kwani tabora wapo waisilamu peke yake?taja mkoa wilaya au kijiji wakirisito au kanisa walipo jenga shule maji hosipitali barabala kisha watu wakawa wananufaika ukiweza taja vijiji waakoishi wakirito tu
NI jukumu lako wewe sio mimi
 
Usije kwa kujifanya uko upande fulani then kumbe tunakuja fikra hata avatar yako iko against.

Tambua hakuna chuo cha dini sio UDSM, SUA, UDOM ,ARDHI ivyo vya st. Sijui ni takataka wala sio vya maana
Mkuu una matatizo siyo Bure. CUHAS, SAUT, st JOHN, KCMC etc
 
Mada nzuri sana,mikoa au maeneo yenye waislam wengi kuna hali duni za maisha hali iyo maranyingi huwa inazaa vibaka,singeli,vigodoro na wazazi kupuuzia malezi na elimu kwa watoto wao.
Ukweli mtupu,shida iko kwa viongozi waliopshika mpini elimu ziro na kijana anapoenda kusoma akarejea kujaribu kuleta mageuzi hapo ataonekana adui,
Unaweza kuingia msikiti wenye miaka Mia hata hao waumini wanaofanya ibada humo zaidi ya miaka 20 hawajui kitu,
 
Msikiti ndio kituo Cha uislam,ndio msingi wa kuhuisha uislam
Tatizo ni kuwa uislam halisi umeachwa, pasipo kusimamisha utawala wa kiislam hayo uongeayo ni ndoto
Simamisha uislam msikiti isimame
Illogical!!!

Umeambiwa pamoja na dini kuwepo mzingatie pia masuala ya msingi ya jamii zenu (wewe ukiwepo) ila nashangaa unakata kata viuno hapa eti simamisha utawala wa kiislamu kwamba muingie vitani nchi isilimishwe ili wote tuendelee kuwa wajinga siyo?
 
Misikiti inatakiwa kuimarishwa na hii ndio amri ya allah, ufafanuzi wa kuimarisha upo na je makusudio ya maendeleo ya waumini unakusudia maendeleo gani? na maendeleo yao yanahusiana nini na kujenga misikiti?.

BAKIIF Islamic
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Uislam haumini kwenye shirk,dhambi ya kwanza kubwaa ni shirk ,shirk inamtoa straight Muslim kwenye dini,hakuna jinni mzuri Wala Nini majini wote wabaya,muislam anaeamini shirk huyo ni kafiri,ramli haramu,uchawi haramu kuabdu majini haramu
,"Sikuwaumba majini na watu isipokua mniabudu Mimi"
 
Nchi nzima haina maendeleo
Tuko nyuma na katika nchi masikini tuko mwisho mwisho kabisa

Wanaopokea misaada wanakula peke yao wakati ni misaada ya wote

Wanaokusanya sadaka wanajineemesha peke yao na wakitoa huduma ni mwendo wa kulipisha masikini maana hata maji mnauziwa masikini

Umasikini umetamalaki kwa sababu serikali ni masikini na viongozi hawana mbinu zozote bali ni wizi na kejeli kutwa

Misikiti inasaidia kwa watu kuswali ila pia watu wajitambue kwani Kazi ni IBADA pia
 
Uliyoyazungumza yana mashiko ila mtu mwenye mtazamo hasi hataichukulia hii katika uchanya wake, mtoa mada kazungumzia mengi ikiwemo suala la jumuiya na kukutana ili kuweza kusaidiana masuala mbalimbali, hiki ni kitu chema cha kuiga kwa hao ambao wamefanikiwa.

Suala la kiuchumi haliepukiki, ni muhimu kuwekeza ili muwe na miradi ya maendeleo itakayowanufaisha mfano ni Bakwata Bukoba wanajenga jengo la bilioni 5.2 ambalo litawezesha kuingiza mapato ambayo yatawasaidia katika shughuli zake. Sasa na hii ikienda katika maeneo mengine kama shule,zahanati, na huduma jamii mutaweza kuwagusa waumini wenu na pia kuisaidia jamii kwa ujumla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…