Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

Nakuambia mfumo wa uchumi wetu hatuufuati ndo maana izo pesa zinatoka wapi za kujenga .


Ivyo vyuo watu wanasoma bure au wanapewa huduma bure.
Unalalamika sana mkuu instead utafute suluhisho,mleta mada hayo yote ameshayazungumza pale juu sasa ni wewe kama kijana msomi wa kiislamu uichukue hii ili uipeleke msikiti unaoswalia iwe ni kila siku au ijumaa mpe imamu awasomee waumini ili nao waone kama itawafaa waifanyie kazi.

Watu watasomaje bure lectures,huduma za maji na umeme vitalipwaje,majengo yatafanyiwa ukarabati vipi?muhimu kwanza hivyo vitu viwepo vitajihudumia kwa ada za watahiniwa wakristo na wapagani wakiwepo tatizo lako wewe na dini yako ni umimi unataka tena hivyo vyuo wasisome wasiokuwa waislam kwamba watavitia unajisi hali ya kuwa watawaingizia hela.

Mna safari ndefu,ndefu mnoo ndugu zangu.
 

Hii dini imekuja kuharibu dunia,china wamewashitukia wamewapiga ban.
 
Maskini wee,....hata ku-type tu tena kwa kutumia maandishi ambayo tayari yashawekwa huwezi sasa sijui utakuwa na elimu gani,kama siyo la tatu B sijui!

Ila nilichogundua wewe mada imekuingia kisawasawa bahati mbaya kuielewa ndo hutaki.
 
Nakuambia mfumo wa uchumi wetu hatuufuati ndo maana izo pesa zinatoka wapi za kujenga .


Ivyo vyuo watu wanasoma bure au wanapewa huduma bure.
Kujenga hospitali kunahitaji mfumo wa uchumi?

Hamuwezi kuchangishana hela kila muumini mkajenga hospitali?

Kama hizi ndio akili za waislam, basi Hii dini ina Wajinga wengi sana.
 
Wewe JF's member unayejiita 25000q nakushauri kwanza kama kata uliyopo kuna uwezekano wa kupata darasa la watu wazima rudi kajipige msasa ujue angalao kuandika vizuri ndo urudi hapa.

Hisia zangu zinaniambia kama wewe siyo wa Ikwiriri basi utakuwa wa Nanjilinji.
 
wewe usikodoe macho wewe kama wewe umeleta maedeleo gani kijijini kwenu hata kwa wazazi wako ndugu zako kazi kusifia mali za watu
Wewe ni mjinga eh! Sasa kwa taarifa yako wazazi wangu hawahitaji msaada wowote wa kutoka kwangu wapo vizuri kabla hata mimi sijazaliwa..kwahiyo hapa tunaongelea mali za watu binafsi!? We mpuuzi nini...ndio shida ya kutokunywa chai hii
 
uzuli wake nini? kusifia mali za kanisa ambazo hazina tija hata kwa wakiristo,na kuwa wabeza waisilamu kuwa awana maendeleo mada hii uzuli wake ni upi haswa ulio uona wewe?
Tukisema tuwekeze kwenye sekta nyingine za maendeleo tuachane na misikiti mingi katika eneo moja tunamaanisha hivi..Imagine mtu hajui hata kuandika hajui wapi kwa kuweka r na wapi kwa kuweka L halafu anakaza fuvu kwelikweli

Huyu jamaa anawakilisha wapumbavu wengi wanaohitaji ukombozi wa kifikra
 
Lengo la uislam ninkuabudu tu hizo biashara wafanye wengine Kama wamejenga na hawatuzuii kupata huduma tatizo liko wapi dunian tupo kwa ajili ya ibada na muda ni mfupi Sana hivyo Sion haja ya kukompilicate kiivo
 
[emoji120]
 
wisilamu afadhiri wake ni muisilam nenda wewe kajenge shule hositali kisha waisilam watibiwe bule kama unavio taka kazi kulaumu tu hata huko msikitini kwanza upajui
Yani bro unavyo-type kiboya boya unazidi kudhihirisha uwezo wako wa ku-reason hata mambo ya msingi.

Tusizungumzie waislam tu tuzungumze kwanini wagonjwa watibiwe bure?yeyote yule hata mimi Mkatoliki sitegemei kutibiwa bure au mwanangu kusoma bure kwenye hospital au shule iliyojengwa kwa mchango wangu(kwanza nitakuwa mwendawazimu nikiwaza hivyo),mule kuna wanaowezesha mimi nipate huduma bora hawa watakuwaje na moyo wa kufanya kazi yao ya kitabibu kama hawakulipwa vizuri?dawa zitanunuliwa vipi?bills mbalimbali zitalipwaje ikiwa mgonjwa hakuchangia matibabu yake?

Wakaibe ili hayo yote yafanyike?hiyo serikali yako inayokusanya kodi zooote na ina mpaka access ya kukopa ilipe baadae haijafanya hivyo leo likafanye Kanisa?em ongea kama mtu mzima bwana.
 
Utapeli eti akasome mbona yamefungwa wengi walikuwa vilaza ,wanatumia ujinga wa waumini kuwadanganya ila kichwani zero
Dah pole Sana πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£ Leo umekula za uso , najua apo ulipo unaweweseka

Ila waislamu mjenge hospital, shule na vyuo

Jifunzeni pia kutoa sadaka nene
Umekaa wiki unafanya kazi inafika ijumaa unaenda kutoa jero
 
Tengua kauli hapo juu kwenye bold unaamsha taharuki bila sababu.

Hawakupendelewa na wizara sema wamewahi kukiwa bado gizani,Vikindu mpaka leo bado vipo viwanja vya 1.5mill 50Γ—50 assume kama RC walinunua eneo sehemu pana viwanja vya bei hiyo leo early 2000 unadhani miaka ile heka ilikuwa bei gani?

Ni watu wamebarikiwa kutumia upeo wao vizuri japo najua wengi hawapendi kusoma nilichoandika hapa.
 
Hapa IKWIRIRI unamkuta Mzee ana SIGDA Ila anaomba-omba tu mtaan na KANZU+KOBAZi


Mwenyezi Mungu tunakuomba msaidie kila anayekuamini abarikiwe kwa pesa na Mali kama baba yetu Ibrahimu

Ukimjua Mungu na kuheshimu sheria zake halafu ukawa huna kiti unadharaulika sana haswa na wale wanaoabudu mashwetani
 
Dah pole Sana πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£ Leo umekula za uso , najua apo ulipo unaweweseka

Ila waislamu mjenge hospital, shule na vyuo

Jifunzeni pia kutoa sadaka nene
Umekaa wiki unafanya kazi inafika ijumaa unaenda kutoa jero
πŸ˜‚πŸ˜‚ Wee unatoka wakati wanao wanasoma shule za kata sio st.francis ..Imekusaidia nn?
 
hiyo michango hao watoaji inawdaidia nn?
Wewe uliye nje huwezi kuona lakini kama siyo hiyo michango aliyeandika hii mada hapa ange-compare uislam na serikali lakini kwa sababu ameona huko kuna tofauti na uislam ndiyo maana tupo hapa tunapeana elimu.

Well,japokuwa wewe elimu haikuingii.
 
Ndio mali ni za kanisa,na wala si zangu wala mchungaji.

Kama kuna mchungaji alikupanga ana hisa kwenye mradi wa kanisa,alikuwa anataka akupate tu kisha asepe.
mali ya haina msaada kwa wakiristo wala watu baki wapia dili tu hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…