Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

Dah pole Sana πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£ Leo umekula za uso , najua apo ulipo unaweweseka

Ila waislamu mjenge hospital, shule na vyuo

Jifunzeni pia kutoa sadaka nene
Umekaa wiki unafanya kazi inafika ijumaa unaenda kutoa jero
Shule,vyuo na hospital zinazojengwa na serikali ni kwa ajili ya nani!!
 
Umeishia darasa la ngapi??
Rudi Kwanza darasani muda bado upo wa kuendelea kujifunza kuandika na kusoma
tatizo sio kurudi darasani kinacho takiwa ujumbe ukufikie wacha tabia za kike nenda kawambie wahusika hapa hawapo
 
Mtuwache tupumue, ondoeni majeshi yenu ya Uvamizi huku Zanzibar kwanza.
 
Kagame hajafuta makanisa,kaweka utaratibu kila mchungaji akasome elimu ya dini theology.

na makanisa sio utapeli,we wenyewe elimu upepewa na shule za kanisa,ebu kaa utulie.
kawadanganye mbulula wenzio mbona utapeli wao uko wazi tu kwa mwenye macho labda ww kipofu
 
Dah pole Sana πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£ Leo umekula za uso , najua apo ulipo unaweweseka

Ila waislamu mjenge hospital, shule na vyuo

Jifunzeni pia kutoa sadaka nene
Umekaa wiki unafanya kazi inafika ijumaa unaenda kutoa jero

Accumen Mo
 
wewe hivio vio vina msaada gani sasa kama luzuku inatoka serikalini kazi wizi tu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Wee unatoka wakati wanao wanasoma shule za kata sio st.francis ..Imekusaidia nn?
Pole sana leo huta lala ni kuweweseka tu , umewekwa mtu kati
ila inakuwaje unapinga maendeleo? mimi watoto wangu wanasoma shule za kanisa tena bora kabisa

NImewapa ushauri pia toeni sadaka nene , wewe ungekuwa kipindi cha Muhammad ungempelekea Jero?
Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....
 
Kujenga hospitali kunahitaji mfumo wa uchumi?

Hamuwezi kuchangishana hela kila muumini mkajenga hospitali?

Kama hizi ndio akili za waislam, basi Hii dini ina Wajinga wengi sana.
kwani nchi hii hosipitali hakuna? makanisa ndio yamejenga hositali nitajie faida unayo ipata wewe kama wewe waisilam wanayo ikosa wakiugua hawatibiwi? mtaacha lini kusifia mali za watu zisizo wanafaishi nyiyi wala ndugu zenu? huo nao ni upunguani
 
Ili uweze kumtawala binadamu mfundishe na umpe elimu itakayomjaza hofu (dini) angalia walokole na baadhi ya jamaa zetu wasabato yaani utafutaji kwao unajengwa na hofu ya dini na ndiyo maana hata Zanzibar misikiti inajegwa kwa wingi sana, so watu wanakuwa na muda mwingi kwenda kufanya ibada kuliko jambo lingine.

Na laiti Zanzibar kungekuwa na muingiliano mkubwa wa jamii nyengine basi mabadiriko yangepenya kwa ukubwa, maana mtu wa kuja haji kupoteza muda anakwenda na muda kuisaka shekeli.
 
Serekali ikijenga inaweka masharti ya serekali , kila kukicha waislamu wanalalama dini yao hairuhusu wanawake wahudumiwe na wanaume , unaonaje mngejenga muwe na masharti yenu
Serekali ndiyo nini!!?..shule,vyuo na hospitali za serikali waislam hawaruhusiwi!?
 
Wewe ni mjinga eh! Sasa kwa taarifa yako wazazi wangu hawahitaji msaada wowote wa kutoka kwangu wapo vizuri kabla hata mimi sijazaliwa..kwahiyo hapa tunaongelea mali za watu binafsi!? We mpuuzi nini...ndio shida ya kutokunywa chai hii
huna lolote wewe mvimba macho tu haya hao wanao kuzunguka umewasaidiaje? uko vizuli wakuwa vizuli atakuwa wewe wenye nazo hawasemi wasio kunazo kazi kujikweza tu
 
hacha ujinga wewe na kujiona bora hao wamejenga misikiti wewe kajenge shule na viwanda kwanza uanze na ndugu zako kisha wengine umekaza kuponda wanao jenga misikiti unakili wewe ? ndilo tatizo la kukosoa kusoa kulalama hovio wenzako wameza hilo nawe fanya jengini limbukeni wewe
 
Lengo la uislam ninkuabudu tu hizo biashara wafanye wengine Kama wamejenga na hawatuzuii kupata huduma tatizo liko wapi dunian tupo kwa ajili ya ibada na muda ni mfupi Sana hivyo Sion haja ya kukompilicate kiivo
hakika
 
Serekali ndiyo nini!!?..shule,vyuo na hospitali za serikali waislam hawaruhusiwi!?
Serikali Ina masharti yanayo kiuka Imani Yako , nimekwambia kila kukicha waislamu wanalala wanawake kuhudumiwa na wanaume , Kuna hospital za dini kila asubuhi waislamu wanasali na wakristo ibada ya kikristo
Na mashule vivyo hivyo

Mkiwa na zenu mtaweka utaratibu wenu
Kumbuka pia uwa mnajitapa Sana kwamba Uislam ni mfumo mzima wa maisha ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…