Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

Lengo la uislam ninkuabudu tu hizo biashara wafanye wengine Kama wamejenga na hawatuzuii kupata huduma tatizo liko wapi dunian tupo kwa ajili ya ibada na muda ni mfupi Sana hivyo Sion haja ya kukompilicate kiivo
Hapa hatuzungumzii biashara, tunazungumzia HUDUMA.

Ukiwa Mwanza ukiumwa utaenda hospital ya rufaa ya Bugando...Ile ni hospital ya kanisa na ndio hospital kubwa ukanda ule.

Ukiwa Moshi/Arusha utaenda Hospitali ya rufaa KCMC, ile ni hospital ya kanisa.... na ndio kubwa kuliko zote ukanda ule.

Ninyi waislam mna nini mnachorudisha kwa Community kama huduma????
Mnatoa huduma gani kwa jamii inayowazunguka???? Hiyo ndio mada iliyopo mezani.

Note: Huduma sio bure, hata hospital ya serikali unalipa hela, ila ile ni huduma kwa jamii.
 
kwani biblia ni kitabu cha nani hata kisichambuliwe ?

kashifa gani juu ya ukristo ?? unaweza kutuambia ??
nasema uongo ndugu zangu?
1.jpg
 
Hapa hatuzungumzii biashara, tunazungumzia HUDUMA.

Ukiwa Mwanza ukiumwa utaenda hospital ya rufaa ya Bugando...Ile ni hospital ya kanisa na ndio hospital kubwa ukanda ule.

Ukiwa Moshi/Arusha utaenda Hospitali ya rufaa KCMC, ile ni hospital ya kanisa.... na ndio kubwa kuliko zote ukanda ule.

Ninyi waislam mna nini mnachorudisha kwa Community kama huduma????
Mnatoa huduma gani kwa jamii inayowazunguka???? Hiyo ndio mada iliyopo mezani.

Note: Huduma sio bure, hata hospital ya serikali unalipa hela, ila ile ni huduma kwa jamii.

 
kwani nchi hii hosipitali hakuna? makanisa ndio yamejenga hositali nitajie faida unayo ipata wewe kama wewe waisilam wanayo ikosa wakiugua hawatibiwi? mtaacha lini kusifia mali za watu zisizo wanafaishi nyiyi wala ndugu zenu? huo nao ni upunguani
Hospital zilizopo hazitoshi. Ndio manaa Kanda ya ziwa Hospital kubwa wanayotegemea ni Hospitali ya rufaa Bugando(mali ya kanisa) na Kanda ya Kaskazini ni KCMC(mali ya kanisa)

Faida ninayoipata mimi ni huduma bora ya afya ambayo nisingeipata hizi hospitali zisingekuwepo.

Mfano halisi: Kanda ya Kaskazini hospital ya rufaa KCMC (Mali ya Kanisa langu KKKT) ndiyo hospital pekee ya rufaa kanda hiyo inayohudumia mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro.

Una hoja nyingine?
 
Wewe utakuwa umetumwa bila shaka hauwezi kuwa muislam kwa mwandiko wako huu unasema uislam hauna chuo cha maana hivi zanzibar university na morogoro muslim university ni zenu wagalatia au ni baba yako kajenga hebu tupumzisheni jamani.
Morogoro Muslim University cha toka enzi ya mkapa (mlipewa msaada na Mkapa)... mpaka leo mnacho hicho kimoja tu?

Wakristo wao wana Vyuo vikuu visivyopungua TISA hapa nchini.
 
Mara ya mwisho kwenda kanisani ni 2018
Na hapo nilipelekwa nilichokuja kugundua huku dar es salaam mbinu za kutafuta hela ni nyingi sana
Wachungaji uchangie sadaka na kinachonishangaza hawajali hio hela umeipata pataje
Na kinachoshangaza mtu akipata hela anatafuta umaarufu kwa bidii sana kisha anafungua kanisa
Hivi hili swala la kutoa sadaka kwa njia ya mitandao huu si wizi kabisa huu
Wanamke na fashion kalio lionekane mabinti ambao wanatafuta waume utastaajabu sana
Hakika kondoo ni wachache kwenye kundi ila wengi ni mbwa mwitu

Tusiache kusali
 
Ya Lutheran inaitwa Tumaini. Ina matawi autonomous kwy Ma-dayosisi e.g. Dayosisi za Kaskazini, Mashariki na Pwani na Iringa.

Hubert Kairuki iko chini ya mission (Kanisa) Assemblies of God.

Serious.
Actually Makumira ni Branch ya Tumaini University ambayo ni mali ya KKKT


Wasabato wao wana University of Arusha
 
Morogoro Muslim University cha toka enzi ya mkapa (mlipewa msaada na Mkapa)... mpaka leo mnacho hicho kimoja tu?

Wakristo wao wana Vyuo vikuu visivyopungua TISA hapa nchini.
hata wawe navio 100 ngoma duroo bila hela asomi mtu bila mkopo wa serikali hasomi mtu hakuna cha mkiristo wala muisilam ni hela mbele kama tai makanisa yako kibishara zaidi
 
Mara ya mwisho kwenda kanisani ni 2018
Na hapo nilipelekwa nilichokuja kugundua huku dar es salaam mbinu za kutafuta hela ni nyingi sana
Wachungaji uchangie sadaka na kinachonishangaza hawajali hio hela umeipata pataje
Na kinachoshangaza mtu akipata hela anatafuta umaarufu kwa bidii sana kisha anafungua kanisa
Hivi hili swala la kutoa sadaka kwa njia ya mitandao huu si wizi kabisa huu
Wanamke na fashion kalio lionekane mabinti ambao wanatafuta waume utastaajabu sana
Hakika kondoo ni wachache kwenye kundi ila wengi ni mbwa mwitu

Tusiache kusali
Maybe hilo Kanisa unaloabudu wewe lisilo na utaratibu
 
Morogoro Muslim University cha toka enzi ya mkapa (mlipewa msaada na Mkapa)... mpaka leo mnacho hicho kimoja tu?

Wakristo wao wana Vyuo vikuu visivyopungua TISA hapa nchini.
Ni makosa ya kiuelewa kufananisha uislam na ukristo, uislam una mfumo wake wa kielimu tofauti kabisa na ukristo, huwezi kushindanisha uislam na nyanja ambayo Haina asili nayo ni makosa makubwa
 
Maendeleo ndiyo haya ya kumbeba mchungaji

[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

Pastor agoma kutembea kwa miguu akidai ardhi ni ya dhambi
Mada haizungumzii wachungaji kubebwa...
Ukitaka tujadili hilo, anzishia uzi wake tutakuja kuchangia.

Mada inazungumzia WAISLAM KUJENGA VITUO VYA HUDUMA(shule, vyuo, hospital) na sio kukomaa na misikiti tu.

Hebu Bakini kwenye Hoja.... au imekuwa ya moto sana?
 
hata wawe navio 100 ngoma duroo bila hela asomi mtu bila mkopo wa serikali hasomi mtu hakuna cha mkiristo wala muisilam ni hela mbele kama tai makanisa yako kibishara zaidi
- Hakuna chuo kikuu/shule ya bure dunia hii.

- Hakuna hospital ya bure dunia hii.

Ni lazima ulipie ili hiyo taasisi iweze kujiendesha.

- Hata mwendokasi ni huduma ya serikali ila unalipia. Hata hospital za serikali ni huduma ila unalipia. Hata chuo kikuu cha serikali ni huduma ila unalipia

Tunarudia tena, Msiishie tu kujenga misikiti.. jengeni na vituo vya huduma kama Shule, vyuo na hospitali muhudumie jamii.
 
Ni makosa ya kiuelewa kufananisha uislam na ukristo, uislam una mfumo wake wa kielimu tofauti kabisa na ukristo, huwezi kushindanisha uislam na nyanja ambayo Haina asili nayo ni makosa makubwa
Huo mfumo wa kielimu wa kiislam umefanya nini cha maana utuoneshe?

Kuendesha tu chuo kikuu cha Morogoro imekuwa kazi, mnasuasua miaka nenda rudi, ndio mtakuwa na mfumo nyie....
 
Hili ni zao la ile wanaita i-lim akhera huyo ukimwambia akuandikie kiarAbu yale maandishi ya kutoka kulia kurudi kushoto atakushangaza ila lugha mama yake kuandika inamsumbua.

Mimi hizo namba alizoweka hapo tu sijajua hata amemaanisha nini!
We kaka spare my ribs naumwa sana kichwa...sipendi kucheka ujue😆😆😆😆🤭🤭🤭🤭
 
Sewahaji hakuwa taasisi/jumuiya, alikuwa mtu binafsi.

Hapa tunazungumzia WAISLAM KAMA JUMUIA/TAASISI na sio mtu binafsi.

Elewa mada.
Taasisi ni Bakwata iliundwa na Laanatullahi Nyerere.
Ni vizuri ukawaulize wao

Soma vizuri thread inaongea nini
Umeandika mwenyewe nakunukuu
Mada inazungumzia WAISLAM KUJENG

Hujasema taasisi
 
Huo mfumo wa kielimu wa kiislam umefanya nini cha maana utuoneshe?

Kuendesha tu chuo kikuu cha Morogoro imekuwa kazi, mnasuasua miaka nenda rudi, ndio mtakuwa na mfumo nyie....
We kichwa kibovu muabudu msalaba huna ujualo sisi mfumo wetu wa Elimu ni wa kutengeneza jamii ya kumuelekea Allah na kuishi kwa kuistawisha dunia na sio mfumo wa kuielekea dunia kwa ajili ya kutimiza matamanio na matakwq ya nafsi
Na ndio utakuta mna vyuo vikuu vingi na madegree ya kutosha lakini humo vyuoni mnatengeneza feminists, Lesbians,gays n.k
Muislam haishi duniani Kama kafir kutimiza matamanio ya nafsi bali kuitengeneza dunia kuwa sehemu salama ya kuishi ndio utakuta mna vyuo vingi na ndipo Kuna cases za transmission za HIV, abortions, depression
So ni makosa kufananisha mfumo wenu wa Elimu na sisi labda kwa mtu asiye na uelewq wa uislam Kama mtoa mada
 
We kichwa kibovu muabudu msalaba huna ujualo sisi mfumo wetu wa Elimu ni wa kutengeneza jamii ya kumuelekea Allah na kuishi kwa kuistawisha dunia na sio mfumo wa kuielekea dunia kwa ajili ya kutimiza matamanio na matakwq ya nafsi
Na ndio utakuta mna vyuo vikuu vingi na madegree ya kutosha lakini humo vyuoni mnatengeneza feminists, Lesbians,gays n.k
Muislam haishi duniani Kama kafir kutimiza matamanio ya nafsi bali kuitengeneza dunia kuwa sehemu salama ya kuishi ndio utakuta mna vyuo vingi na ndipo Kuna cases za transmission za HIV, abortions, depression
So ni makosa kufananisha mfumo wenu wa Elimu na sisi labda kwa mtu asiye na uelewq wa uislam Kama mtoa mada
Wewe ni mfano halisi wa waislam anaowazungumzia mtoa mada.
 
Back
Top Bottom