Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

sasa kama ni biashara tatizo liko wapi?cha uhimu pesa tu basi hapo hakuna huduma ni biashara
USIKURUPUKE

Kwenye jibu langu hakuja mahali nimetaja neno biashara...Nimetaja neno HUDUMA.

Ndio maana nasisitiza urudi shule, upeo wako ni mdogo sana.
 
Yesu alioa na mbona mapandre hawaoi ? We unaoa kwa kumfuata Nan?

Msukuma unajielewa kweli
@Accumen Mo ndugu ukimuuliza anaoa kumfuata nani ni swali gumu sana kwake kamwe hawezi kukujibu ila blah blah....hajui anamfuata nani hakuna kitaabu na sunna kule wala salaf swalehe kwamba wanafuata.....nasema hivyo kwasababu yesu alikuwa akilisujudu na kurukuu hilo halina hata ubishi kwao wanalifahamu maana aya zao zasema alikuwa akilianguka kifudifudi kwa mola wake mlezi....je yeye au wao wanasali kama alivyokuwa akiswali yesu??? Jibu ni hapana, je wanamfuata nani?? Hutopata jibu Bali blah blah

Sasa kama kuswali tu hawamfuati je watamfuata katika mafundisho yake mengine???

Binafsi huwa najiuliza spati majibu kwamba wao ibada hasa nani aliwafundisha kwamba wafanye namna wanavyofanya Leo maana yesu hakulifanya hivyo! Na ikiwa na mafundisho ya mwanadam basi cha mwanadam kina mapungufu siku zote!

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
nilidhani kuna chazaidi unacho kipata hapo ambacho ss waisilamu tukienda hapo tunakikosa kinacho takiwa ni hela tu atuwezi jenga wote nani sasa atakakae mtibia mwenzie?
Ona sasa hii ng'ombe [emoji23]... Hivi waislam wote ndio wana akili za namna hii?

Cha zaidi ninachopata ni hizo huduma za afya ambazo nisingezipata kama kanisa lisingejenga hospitali.

Au unataka kanisa linitumie gawio kwa tigopesa?

Ndio maana nimesema mara nyingi sana hapa kuwa jamii za Waislam zina Wapumbavu wengi sana... Wewe ni mfano mzuri wa hao wapumbavu.
 
@Accumen Mo ndugu ukimuuliza anaoa kumfuata nani ni swali gumu sana kwake kamwe hawezi kukujibu ila blah blah....hajui anamfuata nani hakuna kitaabu na sunna kule wala salaf swalehe kwamba wanafuata.....nasema hivyo kwasababu yesu alikuwa akilisujudu na kurukuu hilo halina hata ubishi kwao wanalifahamu maana aya zao zasema alikuwa akilianguka kifudifudi kwa mola wake mlezi....je yeye au wao wanasali kama alivyokuwa akiswali yesu??? Jibu ni hapana, je wanamfuata nani?? Hutopata jibu Bali blah blah

Sasa kama kuswali tu hawamfuati je watamfuata katika mafundisho yake mengine???

Binafsi huwa najiuliza spati majibu kwamba wao ibada hasa nani aliwafundisha kwamba wafanye namna wanavyofanya Leo maana yesu hakulifanya hivyo! Na ikiwa na mafundisho ya mwanadam basi cha mwanadam kina mapungufu siku zote!

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hii mada haimuhusu Yesu... Mbona mmepanic kiasi hiki na mnaikwepa mada?

Mada inahusu WAISLAM na UJENZI WA MISIKITI
 
USIKURUPUKE

Kwenye jibu langu hakuja mahali nimetaja neno biashara...Nimetaja neno HUDUMA.

Ndio maana nasisitiza urudi shule, upeo wako ni mdogo sana.
wewe kwanza rudi shule ukasome unapo sema hakuna shule ya bule duniani na hosipitali ya bule unaimanisha yakwamba lazima utoe hela hili upate matababu na elimu tayali hiyo ni biashara!!msomi gani wewe usie jua nini maana ya biashara
 
Ona sasa hii ng'ombe [emoji23]... Hivi waislam wote ndio wana akili za namna hii?

Cha zaidi ninachopata ni hizo huduma za afya ambazo nisingezipata kama kanisa lisingejenga hospitali.

Au unataka kanisa linitumie gawio kwa tigopesa?

Ndio maana nimesema mara nyingi sana hapa kuwa jamii za Waislam zina Wapumbavu wengi sana... Wewe ni mfano mzuri wa hao wapumbavu.
ng,ombe mweyewe unae jivunia mali ya watu isio kusaidiwa wewe wala ndugu zako hiyo ni biashara kama zilivio nyingine bila hela huwezi tibiwa bila hela uwezi soma shele hizo

nakushagaa wewe punguani unae jivunia mali ya wachungaji na mapadiri wanao nufaika huko wewe ukiishia kupauka na michango

hazi watu kama wewe wanao jiona wasomi ndio hovio kabisa wako huko mitaani tunawaona wanavio saga lami mpaka sole za viatu zime kwisha na mifuko ya kaki kwapani kutwa kwenye mabanda ya magazeti kuchungulia kama serikali imetangaza ajira na kwenye tv kisa kutegemea mali za watu


ss waisilamu hatuna shida na kujenga shule wa hosipitali kwa sababu tukiugua tanatibiwa na watoto wetu wanasoma kwenye hizo shule za kanisha na za ummah kikubwa hela tu

wewe endelea kusifia mali za wanaume wenzio mwisho wa siku unainamishwa
 
ng,ombe mweyewe unae jivunia mali ya watu isio kusaidiwa wewe wala ndugu zako hiyo ni biashara kama zilivio nyingine bila hela huwezi tibiwa bila hela uwezi soma shele hizo

nakushagaa wewe punguani unae jivunia mali ya wachungaji na mapadiri wanao nufaika huko wewe ukiishia kupauka na michango

hazi watu kama wewe wanao jiona wasomi ndio hovio kabisa wako huko mitaani tunawaona wanavio saga lami mpaka sole za viatu zime kwisha na mifuko ya kaki kwapani kutwa kwenye mabanda ya magazeti kuchungulia kama serikali imetangaza ajira na kwenye tv kisa kutegemea mali za watu


ss waisilamu hatuna shida na kujenga shule wa hosipitali kwa sababu tukiugua tanatibiwa na watoto wetu wanasoma kwenye hizo shule za kanisha na za ummah kikubwa hela tu

wewe endelea kusifia mali za wanaume wenzio mwisho wa siku unainamishwa
ona sasa hii ng,ombe heti huyu ndio msomi (hii ng,ombe)
 
Hapa hatuzungumzii biashara, tunazungumzia HUDUMA.

Ukiwa Mwanza ukiumwa utaenda hospital ya rufaa ya Bugando...Ile ni hospital ya kanisa na ndio hospital kubwa ukanda ule.

Ukiwa Moshi/Arusha utaenda Hospitali ya rufaa KCMC, ile ni hospital ya kanisa.... na ndio kubwa kuliko zote ukanda ule.

Ninyi waislam mna nini mnachorudisha kwa Community kama huduma????
Mnatoa huduma gani kwa jamii inayowazunguka???? Hiyo ndio mada iliyopo mezani.

Note: Huduma sio bure, hata hospital ya serikali unalipa hela, ila ile ni huduma kwa jamii.

Bora hata wasijenge tu,mana kwanza vibaguzi na vibinafsi,sidhani kama hata huduma watatoa kwa wasio waislamu.,mana maandiko yao yanawataka wahudumiane wao kwa wao tu.
 
We kichwa kibovu muabudu msalaba huna ujualo sisi mfumo wetu wa Elimu ni wa kutengeneza jamii ya kumuelekea Allah na kuishi kwa kuistawisha dunia na sio mfumo wa kuielekea dunia kwa ajili ya kutimiza matamanio na matakwq ya nafsi
Na ndio utakuta mna vyuo vikuu vingi na madegree ya kutosha lakini humo vyuoni mnatengeneza feminists, Lesbians,gays n.k
Muislam haishi duniani Kama kafir kutimiza matamanio ya nafsi bali kuitengeneza dunia kuwa sehemu salama ya kuishi ndio utakuta mna vyuo vingi na ndipo Kuna cases za transmission za HIV, abortions, depression
So ni makosa kufananisha mfumo wenu wa Elimu na sisi labda kwa mtu asiye na uelewq wa uislam Kama mtoa mada

Hili ni povu,wakati huo elimu dunia ndio imekupatia hiyo smarphone na jf kuja huku kumwaga povu lako,wewe ni wa kuhurumia.
 
Sasa watu sio taasisi? Au taasisi inaundwa na ng'ombe?

Swali langu unalikwepa, ila nitakomaa na wewe mwanzo mwisho.

Nauliza: [emoji116]

Waislam mmefanya kipi cha maana kinachogusa jamii?( Usiniambie habari za muhindi Sewahaji wa mwaka 1870)

Nitajie Hospitali moja tu ya kueleweka iliyoanzishwa na Waislam au Taasisi ya Kiislam au hata wafadhili wa Kiislam..

Wao wamekuja duniani kuswali na kusubiri kufa hayo mengine hawana haja yao,hii ndio falsafa yao kuuu,na nibora iwe hivyo hivyo.
 
Mm Sidhan Kama vyuo Vikuu Vya Kiislamu Vinanyanyua Uislamu,Bali Vinananyua Waislamu Wachache Wenye Hiyo Organization.Uislamu unanyanyuliwa Kwa Kujifundisha Quran,Quran ambayo Inafundishwa madrasa Na sio Chuo Kikuu Cha Kiislamu.
Tena Quran Ina elimu Zote Ulimwenguni.Biology,Astronomy Na Kila kitu Kipo Kwenye Quran

Elimu ya jua kuzama matopeni au elimu ipi unayoiongelea?
 
BAKIIF upo sawa sana nafurahi kuona mtu anaezungumzia dini awe ana ufahamu na uelewa kama wako nimesoma nyuzi yako hii ya tatu upo sawa ustaadhi...safi sana na Mnyaazi Mungu akujaalie uendelee kutoa Elimu kwa watu wote..
 
Back
Top Bottom