USIKURUPUKEsasa kama ni biashara tatizo liko wapi?cha uhimu pesa tu basi hapo hakuna huduma ni biashara
Kwenye jibu langu hakuja mahali nimetaja neno biashara...Nimetaja neno HUDUMA.
Ndio maana nasisitiza urudi shule, upeo wako ni mdogo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USIKURUPUKEsasa kama ni biashara tatizo liko wapi?cha uhimu pesa tu basi hapo hakuna huduma ni biashara
@Accumen Mo ndugu ukimuuliza anaoa kumfuata nani ni swali gumu sana kwake kamwe hawezi kukujibu ila blah blah....hajui anamfuata nani hakuna kitaabu na sunna kule wala salaf swalehe kwamba wanafuata.....nasema hivyo kwasababu yesu alikuwa akilisujudu na kurukuu hilo halina hata ubishi kwao wanalifahamu maana aya zao zasema alikuwa akilianguka kifudifudi kwa mola wake mlezi....je yeye au wao wanasali kama alivyokuwa akiswali yesu??? Jibu ni hapana, je wanamfuata nani?? Hutopata jibu Bali blah blahYesu alioa na mbona mapandre hawaoi ? We unaoa kwa kumfuata Nan?
Msukuma unajielewa kweli
Ona sasa hii ng'ombe [emoji23]... Hivi waislam wote ndio wana akili za namna hii?nilidhani kuna chazaidi unacho kipata hapo ambacho ss waisilamu tukienda hapo tunakikosa kinacho takiwa ni hela tu atuwezi jenga wote nani sasa atakakae mtibia mwenzie?
Hii mada haimuhusu Yesu... Mbona mmepanic kiasi hiki na mnaikwepa mada?@Accumen Mo ndugu ukimuuliza anaoa kumfuata nani ni swali gumu sana kwake kamwe hawezi kukujibu ila blah blah....hajui anamfuata nani hakuna kitaabu na sunna kule wala salaf swalehe kwamba wanafuata.....nasema hivyo kwasababu yesu alikuwa akilisujudu na kurukuu hilo halina hata ubishi kwao wanalifahamu maana aya zao zasema alikuwa akilianguka kifudifudi kwa mola wake mlezi....je yeye au wao wanasali kama alivyokuwa akiswali yesu??? Jibu ni hapana, je wanamfuata nani?? Hutopata jibu Bali blah blah
Sasa kama kuswali tu hawamfuati je watamfuata katika mafundisho yake mengine???
Binafsi huwa najiuliza spati majibu kwamba wao ibada hasa nani aliwafundisha kwamba wafanye namna wanavyofanya Leo maana yesu hakulifanya hivyo! Na ikiwa na mafundisho ya mwanadam basi cha mwanadam kina mapungufu siku zote!
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Pale Bagamoyo ndiyo walivyoandikaNdivyo alivyokuambia au ulivyoambiwa kanisani?
Walivyoandika nani?Pale Bagamoyo ndiyo walivyoandika
wewe kwanza rudi shule ukasome unapo sema hakuna shule ya bule duniani na hosipitali ya bule unaimanisha yakwamba lazima utoe hela hili upate matababu na elimu tayali hiyo ni biashara!!msomi gani wewe usie jua nini maana ya biasharaUSIKURUPUKE
Kwenye jibu langu hakuja mahali nimetaja neno biashara...Nimetaja neno HUDUMA.
Ndio maana nasisitiza urudi shule, upeo wako ni mdogo sana.
ng,ombe mweyewe unae jivunia mali ya watu isio kusaidiwa wewe wala ndugu zako hiyo ni biashara kama zilivio nyingine bila hela huwezi tibiwa bila hela uwezi soma shele hizoOna sasa hii ng'ombe [emoji23]... Hivi waislam wote ndio wana akili za namna hii?
Cha zaidi ninachopata ni hizo huduma za afya ambazo nisingezipata kama kanisa lisingejenga hospitali.
Au unataka kanisa linitumie gawio kwa tigopesa?
Ndio maana nimesema mara nyingi sana hapa kuwa jamii za Waislam zina Wapumbavu wengi sana... Wewe ni mfano mzuri wa hao wapumbavu.
ona sasa hii ng,ombe heti huyu ndio msomi (hii ng,ombe)ng,ombe mweyewe unae jivunia mali ya watu isio kusaidiwa wewe wala ndugu zako hiyo ni biashara kama zilivio nyingine bila hela huwezi tibiwa bila hela uwezi soma shele hizo
nakushagaa wewe punguani unae jivunia mali ya wachungaji na mapadiri wanao nufaika huko wewe ukiishia kupauka na michango
hazi watu kama wewe wanao jiona wasomi ndio hovio kabisa wako huko mitaani tunawaona wanavio saga lami mpaka sole za viatu zime kwisha na mifuko ya kaki kwapani kutwa kwenye mabanda ya magazeti kuchungulia kama serikali imetangaza ajira na kwenye tv kisa kutegemea mali za watu
ss waisilamu hatuna shida na kujenga shule wa hosipitali kwa sababu tukiugua tanatibiwa na watoto wetu wanasoma kwenye hizo shule za kanisha na za ummah kikubwa hela tu
wewe endelea kusifia mali za wanaume wenzio mwisho wa siku unainamishwa
Hapa hatuzungumzii biashara, tunazungumzia HUDUMA.
Ukiwa Mwanza ukiumwa utaenda hospital ya rufaa ya Bugando...Ile ni hospital ya kanisa na ndio hospital kubwa ukanda ule.
Ukiwa Moshi/Arusha utaenda Hospitali ya rufaa KCMC, ile ni hospital ya kanisa.... na ndio kubwa kuliko zote ukanda ule.
Ninyi waislam mna nini mnachorudisha kwa Community kama huduma????
Mnatoa huduma gani kwa jamii inayowazunguka???? Hiyo ndio mada iliyopo mezani.
Note: Huduma sio bure, hata hospital ya serikali unalipa hela, ila ile ni huduma kwa jamii.
kwani biblia ni kitabu cha nani hata kisichambuliwe ?
kashifa gani juu ya ukristo ?? unaweza kutuambia ??
Maendeleo ndiyo haya ya kumbeba mchungaji
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Pastor agoma kutembea kwa miguu akidai ardhi ni ya dhambi
We kichwa kibovu muabudu msalaba huna ujualo sisi mfumo wetu wa Elimu ni wa kutengeneza jamii ya kumuelekea Allah na kuishi kwa kuistawisha dunia na sio mfumo wa kuielekea dunia kwa ajili ya kutimiza matamanio na matakwq ya nafsi
Na ndio utakuta mna vyuo vikuu vingi na madegree ya kutosha lakini humo vyuoni mnatengeneza feminists, Lesbians,gays n.k
Muislam haishi duniani Kama kafir kutimiza matamanio ya nafsi bali kuitengeneza dunia kuwa sehemu salama ya kuishi ndio utakuta mna vyuo vingi na ndipo Kuna cases za transmission za HIV, abortions, depression
So ni makosa kufananisha mfumo wenu wa Elimu na sisi labda kwa mtu asiye na uelewq wa uislam Kama mtoa mada
Juma Juma daah....Hapa IKWIRIRI unamkuta Mzee ana SIGDA, wake watatu Ila anaomba-omba tu mtaan na KANZU+KOBAZi
Sasa watu sio taasisi? Au taasisi inaundwa na ng'ombe?
Swali langu unalikwepa, ila nitakomaa na wewe mwanzo mwisho.
Nauliza: [emoji116]
Waislam mmefanya kipi cha maana kinachogusa jamii?( Usiniambie habari za muhindi Sewahaji wa mwaka 1870)
Nitajie Hospitali moja tu ya kueleweka iliyoanzishwa na Waislam au Taasisi ya Kiislam au hata wafadhili wa Kiislam..
Mm Sidhan Kama vyuo Vikuu Vya Kiislamu Vinanyanyua Uislamu,Bali Vinananyua Waislamu Wachache Wenye Hiyo Organization.Uislamu unanyanyuliwa Kwa Kujifundisha Quran,Quran ambayo Inafundishwa madrasa Na sio Chuo Kikuu Cha Kiislamu.
Tena Quran Ina elimu Zote Ulimwenguni.Biology,Astronomy Na Kila kitu Kipo Kwenye Quran
Huyo mwana mama ndio mtu wa kwanza kuanzisha chuo kikuu duniani.Fatma Al Fihri
Ndiyo kashifa dhidi ya wakristo hiyo umeleta ?Sina haja ya kujieleza kwako,kashfa nyingi sana mnazo dhidi ya ukristo.