25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
hata ifakala mahenge makanisa ya meota mizizi kabla ya uhuru lakini wandamba na wapogolo masikini viongozi wao ndio mtajiriNahisi wangeenda Mtwara wangejionea waislam walivyo na vijumba vya ajabu ila misikiti imepauliwa na Msauzi
nenda nyasa kwa kina kolimba komba kunjombe njoo mpaka songea wakirisito huko niwao tu na nguluwe wao lakini umasikini ulioko huko hatari na uchawi njoo sumba wabawanga mpanda umasikini mtu na uchawi tena huko ndiko waliko wakirito tu njoo mbeya iringa njombe kazi kuchuna ngozi watu tu huko hakuna waisilam kaangalie umasikini ulivio kithiri mkiristo mshamba usio tembea kazi kusifia mali za kanisa tu mbona azikuaidii