Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Hii sio rocket science mtoa hoja,center of power ipo Lumumba street, full stop,kuna kipindi fulani nchi hii tulikua na chairman wa ccm na president wa nchi, kulitokea mvurugano mkubwa ndio maana ccm wakaamua kuwa kofia mbili zitawaletea matatizo, wakaziunganisha ,elewa pale SA kuna 2 presidents hawakumaliza muda wao, baada ya kupoteza uongozi wa chama, chama ndicho kinachounda serikali, yes makonda ana uwezo wa kumwita PM pale Lumumba street,maana sera zinatungwa Lumumba street na sip magogoniTulikua tunabishana hapa mtaani kuhusu mgawanyo wa madaraka ndani ya chama na serikali.
Mimi bado nilikua nimeshikiria kwamba viongozi wa chama wakiamua wanaweza kuwa na nguvu kuliko mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya.
Nimerudi hapa jukwaani nataka kupata majibu juu ya swali langu hili:
Turudi kwenye vikao vya chama kati ya Waheshimiwa mawaziri na Mh. Makonda ni nani anakaa viti vya mbele kuwahutubia wenziwe?
Hata mimi nina maswali kama hayahaya. Mbona unaniuliza tena mkuuKwani Mawaziri wote wanaingia kwenye hizo vikao vya Chama? Pia tueleze Makonda anaingia kama nani na hao mawaziri pia wanaingia kama nani...then tuanze kujadili
Wewe ndo umeleta swali...Sasa weka swali lako vizuri kwanza then ndo urudi,siyo kutuletea discussion isiyokuwa na framework.Hata mimi nina maswali kama hayahaya. Mbona unaniuliza tena mkuu
Sera za nini zinatungwa Lumumba?Hii sio rocket science mtoa hoja,center of power ipo Lumumba street, full stop,kuna kipindi fulani nchi hii tulikua na chairman wa ccm na president wa nchi, kulitokea mvurugano mkubwa ndio maana ccm wakaamua kuwa kofia mbili zitawaletea matatizo, wakaziunganisha ,elewa pale SA kuna 2 presidents hawakumaliza muda wao, baada ya kupoteza uongozi wa chama, chama ndicho kinachounda serikali, yes makonda ana uwezo wa kumwita PM pale Lumumba street,maana sera zinatungwa Lumumba street na sip magogoni
Mkuu yaani mpaka tuelewane katika hii mada wakuu.Hii sio rocket science mtoa hoja,center of power ipo Lumumba street, full stop,kuna kipindi fulani nchi hii tulikua na chairman wa ccm na president wa nchi, kulitokea mvurugano mkubwa ndio maana ccm wakaamua kuwa kofia mbili zitawaletea matatizo, wakaziunganisha ,elewa pale SA kuna 2 presidents hawakumaliza muda wao, baada ya kupoteza uongozi wa chama, chama ndicho kinachounda serikali, yes makonda ana uwezo wa kumwita PM pale Lumumba street,maana sera zinatungwa Lumumba street na sip magogoni
Wanaingia inategemea na kikakaoKwani Mawaziri wote wanaingia kwenye hizo vikao vya Chama? Pia tueleze Makonda anaingia kama nani na hao mawaziri pia wanaingia kama nani...then tuanze kujadili
Haupo objective, wewe unaongelea hisia zako sasa. Swali ni kuwa mawaziri wote wanaingia kwenye vikao vyote vya chama? Na wakiingia wanaingia kama nani mawaziri au wanachama ? Na kama wakiingia kama wanachama ukiangalia structure wa CCM kipi ni kipi na nani ni nani?Hii sio rocket science mtoa hoja,center of power ipo Lumumba street, full stop,kuna kipindi fulani nchi hii tulikua na chairman wa ccm na president wa nchi, kulitokea mvurugano mkubwa ndio maana ccm wakaamua kuwa kofia mbili zitawaletea matatizo, wakaziunganisha ,elewa pale SA kuna 2 presidents hawakumaliza muda wao, baada ya kupoteza uongozi wa chama, chama ndicho kinachounda serikali, yes makonda ana uwezo wa kumwita PM pale Lumumba street,maana sera zinatungwa Lumumba street na sip magogoni
Tueleweshe vizuri ujue katiba inatuchanganya sana.Hii nchi siku ujinga ukiwaondoka wananchi ndo tutapata maendeleo ya kweli.
Tokea uzaliwe ulishawahi kuona au kusikia mtu akiingia kwenye kikao cha ccm kwa kofia ya uwaziri?
Hiyo sukari unayo izungumzia inaletwa na Chama. Ndio maana unaona vyama vinaandama. Anzia kwenye chama mkuu. Bila chama hizo sukari haziwezi kuja.TAIFA halina umeme n sukari.mnawaza nani akae mbele ya wengine.takataka tu
Hapa kunahitajika ufafanuziHaupo objective, wewe unaongelea hisia zako sasa. Swali ni kuwa mawaziri wote wanaingia kwenye vikao vyote vya chama? Na wakiingia wanaingia kama nani mawaziri au wanachama ? Na kama wakiingia kama wanachama ukiangalia structure wa CCM kipi ni kipi na nani ni nani?
Wapi kwenye katiba psmeandikwa chama kitakuwa juu ya Serikali?Tueleweshe vizuri ujue katiba inatuchanganya sana.
Ngoja tuendelee kunywa chaiWapi kwenye katiba psmeandikwa chama kitakuwa juu ya Serikali?